Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

MEJA JENERALI MABELE: MAFUNZO YA JKT YANALENGA KUKUZA UZALENDO NA MAADILI

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.

NA EMMANUEL MBATILO, PWANI

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele amewataka wahitimu wa mafunzo ya kijeshi kutunza afya zao kwani wakiwa na afya njema watapata fursa nyingi zilizopo nchini ikiwemo kupata nafasi katika kada mbalimbali za ulinzi.

Amewaagiza wahitimu hao kujiepusha na matumizi ya vileo mbalimbali ikiwemo matumizi ya dawa za kulevya kwani si sehemu ya maadili ya mafunzo ya kijeshi.

Tamko hilo amelitoa Aprili 17,2025 katika Kambi ya RUVU JKT 832 KJ alipokuwa akihitimisha Ufungaji wa Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT.

Amesema madhumuni ya mafunzo hayo ni kulea vijana wakitanzania katika maadili na kushiriki katika mafunzo ya ulinzi wa nchi pamoja na kukuza moyo wa kizalendo.

“Malengo makuu kwenye mafunzo haya ni pamoja na kuhakikisha vijana wanasifa nne kuu za msingi ambazo ni nidhamu, uaminifu, utiifu kwa viongozi na nchi yao, lakini pia kuwafanya kuwa hodari katika kazi, hali ambayo vijana hawa  ambao wamehitimu wanayo”. Amesema Meja Jenerali Mabele.

Kwa upande wake, Brigedia Jenarali Aboubakar Charo, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amesema amethibitisha kuwa vijana hao wamepokea mafunzo hayo na wameiva kwani wamekuwa na ukakamavu, uzalendo, uhodari, uvumilivu na kujiamini.

Aidha Jenerali Charo amewataka vijana hao kuwa tayari kwaajili ya mafunzo ya stadi za kazi na maisha  katika kipindi cha miezi 20 ijayo.

Hata hivyo Jenerali Charo amewakumbusha wahitimu hao kukumbuka falsafa ya kazi iendelee ikiwa ni kuunga juhudi za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuleta Maendeleo ya nchi.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akikagua gwaride wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.
Mwakilishi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Brigedia Jenarali Aboubakar Charo akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.
Mkuu wa Tawi la Mafunzo JKT- Kanali Longinus Nyingo akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.
Kamanda wa Kikosi Ruvu JKT, Peter Mnyani akizungumza wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.




Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akitoa zawadi kwa wahitimu wa Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT waliofanya vizuri katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ iliyopo Mlandizi mkoani Pwani. Hafla hiyo imefanyika Aprili 17, 2025.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Mabele akifurahi na wahitimu wa Mafunzo ya Vijana wa Kujitolea OP Miaka 60 ya Muungano Ruvu JKT katika kambi ya RUVU JKT 832 KJ wakati wa hafla ya kuhitimisha Mafunzo hayo Aprili 17, 2025 Mlandizi mkoani Pwani.
(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

About the author

Alex Sonna