slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

deneme bonusu

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

deneme bonusu veren siteler

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

DKT. NCHEMBA: HAKUNA SEKTA ITAKAYOKOSA FEDHA KUTOKANA NA MABALILIKO YA SERA

Written by Alex Sonna
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akijibu hoja za wabunge zilizojitokeza katika Bunge la Kumi na mbili, mkutano wa 19 katika kikao cha sita bungeni jijini Dodoma. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha)
Na. Peter Haule, WF, Dodoma
Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakutakuwa na sekta itakayokosa fedha kwa sababu ya mabadiliko ya sera ya baadhi ya mataifa zinazolenga kupunguza kuyasaidia mataifa yanayoendelea ikiwemo Tanzania.
Hayo yamebainishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), wakati akijibu hoja za wabunge zilizojitokeza katika Bunge la Kumi na mbili, mkutano wa 19 katika kikao cha sita.
Alisema Serikali imefanya tathmini katika sekta zote kupitia Timu iliyochini ya Waziri Mkuu na kuanza kuchukua hatua baada ya baadhi ya mataifa kubadili sera zao ili kupunguza fedha kwa nchi zinazoendelea kama Tanzania.
“Tulikuwa na mahitaji ya takribani shilingi bilioni 220 kwenye sekta ya Afya ili kuziba pengo la fedha ambazo tulikuwa tunazitarajia kutoka kwa wadau wa maendeleo, Serikali tayari imetoa kiasi cha shilingi bilioni 98 kwenda kwenye sekta ya afya ili kufidia pengo lililojitokeza na tathmini hiyo inaendelea katika maeneo mengine na utoaji wa fedha utaendelea katika maeneo mengine ambayo yanahitaji fedha”, alisema Dkt. Nchemba.
Aidha, Dkt. Nchemba alimpongeza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi kubwa anayoifanya kwa kuwa ameweza kuivusha nchi kipindi ambacho dunia nzima imekuwa ikipita kwenye msukosuko ya kiuchumi ambayo imekuwa ikitokea mfululizo kwa kipindi cha miaka minne.
Alisema kuwa kulitokea changamoto ya Uviko 19, uhaba wa fedha za kigeni na sasa sera za nje za baadhi ya mataifa ambazo tayari Serikali imeanza kuchukua hatua na  kama taifa linaamini litavuka.
Dkt. Nchemba alisema kuwa sekta ya Afya ndiyo iliyoguswa zaidi ambapo Serikali itaendelea kuchukua hatua zaidi ikiwemo kuwekeza fedha kwenye uzalishaji ndani ya nchi wa madawa na vifaa tiba vilivyokuwa vinapatikana kupitia wabia.
Alisema kuwa Mpango wa Maendeleo na Bajeti itakayosomwa katika Bunge linaloendelea, sehemu ya fedha itaelekezwa kwenye viwanda vinavyozalisha madawa ndani ya nchi ili kuweza kujitegemea kama nchi katika eneo hilo.
“Nchi yetu na umri wake na uwezo wake na uwekezaji uliofanyika kwenye sekta ya afya tunaweza kujitegemea kumaliza ugonjwa wa Malaria, magonjwa ya TB, vitenganishi na madawa mengine”, alieleza Dkt. Nchemba.
Alisema kuwa fedha zingine zitaelekezwa kwenye Bima ya Afya kwa wote kama ambavyo Mhe. Rais alivyotoa maelekezo.
Dkt. Nchemba alisema Serikali itatengeneza mkakati wa kubana matumizi kwenye maeneo yenye uhitaji mdogo na kupeleka fedha kwenye maeneo yenye uhitaji mkubwa na ya lazima kama miundombinu, afya, elimu, maji, umeme na sekta zingine za uzalishaji.
Aidha, alibainisha kuwa Tanzania imeingia kwenye kumbukumbu ya kupanga jambo kubwa na kulitekeleza kama mradi wa umeme wa Mwalimu Nyerere, Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) ambao hata baadhi ya mataifa makubwa hawana mradi kama huo ambao kwa sasa zaidi ya kilomita 722 zinaonekana na sehemu kubwa imeanza kufanya kazi hususani kipande cha Dar es Salaam hadi Dodoma.
Alisema vipande vilivyosalia tayari vina Wakandarasi na upatikanaji wa fedha upo katika hatua za mwisho ambapo kuanzia mwaka wa fedha huu fedha katika vipande hivyo itapatikana ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika.
Aliitaja miradi mingine kuwa ni pamoja na Mradi wa Daraja la Kigongo Busisi ambao umekamilika na sasa upo tayari kwa matumizi na mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Tanga ambapo Tanzania imetekeleza wajibu wake kwa kiasi kikubwa.
Vilevile alisema kuwa tayari amefanya mazungumzo na mawaziri wa kisekta kwenye eneo la barabara, maji, kilimo na sekta nyingine na tayari fedha zimetolewa na na zitaendelea kutolewa
Amesema mambo yote hayo yanahitaji kuongeza mapato, hivyo Serikali imekubaliana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza elimu kwa mlipa kodi ili kuweza kulipa kodi kwa hiari kama Mhe. Rais alivyoelekeza ambapo elimu itatolewa kwenye michezo, mashuleni na maeneo mengine.

About the author

Alex Sonna