Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO WA KUDHIBITI FEDHA HARAMU

Written by mzalendoeditor

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akifungua Mkutano Kati ya  Ujumbe wa Tanzania na Kikosi Kazi cha Kimataifa  cha Kudhibiti  Fedha  Haramu uliofanyika kwenye ukumbi wa Benki Kuu  ya Tanzania jijini Dar es Salaam, Aprili 14, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akifungua Mkutano Kati ya  Ujumbe wa Tanzania na Kikosi Kazi cha Kimataifa  cha Kudhibiti  Fedha  Haramu uliofanyika kwenye ukumbi wa Benki Kuu  ya Tanzania jijini Dar es Salaam, Aprili 14, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Baadhi ya  washiriki wa  Mkutano Kati ya  Ujumbe wa Tanzania na Kikosi Kazi cha Kimataifa  cha Kudhibiti  Fedha  Haramu wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipofungua mkutano huo  kwenye ukumbi wa Benki Kuu  ya Tanzania jijini Dar es Salaam, Aprili 14, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania , Dkt.  Emmanuel Tutuba alipowasili kwenye ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam  kufungua Mkutano Kati ya  Ujumbe wa Tanzania na Kikosi Kazi cha Kimataifa  cha Kudhibiti  Fedha  Haramu, Aprili 14, 2025. Kushoto ni Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  viongozi alipowasili kwenye ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam  kufungua Mkutano Kati ya  Ujumbe wa Tanzania na Kikosi Kazi cha Kimataifa  cha Kudhibiti  Fedha  Haramu, Aprili 14, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

mzalendoeditor