slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

vdcasino

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

mavibet

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

meritking

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

jojobet giriş

matbet

sekabet

pusulabet

vdcasino giriş

kingroyal

betist

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

Featured Kitaifa

VYAMA VYA SIASA, SERIKALI NA TUME YA UCHAGUZI WASAINI MAADILI YA UCHAGUZI

Written by Alex Sonna

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akisaini maadili ya Uchaguzi kwa niaba ya Tume.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi akisaini maadili ya uchaguzi kwa niaba ya Serikali.

Na. Mwandishi Wetu
Vyama 18 vya siasa vyenye
usajili kamili, Serikali na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wamesaini Kanuni za
Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025 leo tarehe 12
Aprili, 2025 jijini Dodoma.
Vyama hivyo ni pamoja na Chama
cha Mapinduzi (CCM), Civic United Front (CUF), National Convention for
Construction and Reform (NCCR), Union for Multiparty Democracy (UMD), National
League for Democracy (NLD), United Peoples’ Democratic Party (UPDP) na National
Reconstruction Alliance (NRA), African Democratic Alliance Party (ADA-TADEA).Vyama vingine ni Tanzania
Labour Party (TLP), United Democratic Party (UDP), Madini Kilimo Nishati (MAKINI),
Democratic Party (DP), Sauti ya Umma (SAU), Alliance for African Farmers Party
(AAFP), Chama cha Kijamii (CCK), Alliance for Democratic Change (ADC) na Chama
cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na Alliance for Change and Transparency
(ACT-Wazalendo).Kwa upande wa Serikali Kanuni
hizo za maadili zilisainiwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge
na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi na kwa upande wa Tume alisaini Mwenyekiti wa Tume
Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani, Mhe. Jacobs Mwambegele.Awali akizungumza kabla ya utiaji
saini, Jaji. Mwambegele alivishukuru vyama vya siasa kwa ushirikiano wao wakati
wote wa uandaaji wa kanuni hizo za maadili.

“Tunawashukuru viongozi wote
wa Vyama vya Siasa kwa namna ambavyo mmekuwa mkiipa ushirikiano Tume katika
utekelezaji wa majukumu yake mbalimbali hususan yale yanayohusu mchakato wa
maandalizi ya uchaguzi, ikiwemo uandaaji wa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi
ambazo tupo hapa leo kwa ajili ya kutia saini kwa ajili ya uchaguzi wa Rais, Wabunge
na Madiwani wa mwaka 2025,” alisema Jaji Mwambegele.

Amesema Tume imeandaa kanuni
hizo za maadili ambazo zitatambulika kama Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa
Rais, Wabunge na Madiwani za mwaka 2025 kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha
162 cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, Na. 1 ya Mwaka 2024.

“Baada ya kukamilisha
maandalizi ya rasimu ya Kanuni hizo, Tume iliziwasilisha kwenu (vyama vya siasa
na Serikali) kwa ajili ya kupitia na kutoa maoni yenu kuanzia tarehe 1 Machi,
2025 hadi tarehe 14 Machi, 2025.  Maoni
yenu yamejumuishwa katika Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na
Madiwani za Mwaka 2025 tutakazotia saini hii leo.  Napenda kutoa shukrani za dhati kwenu kwa
ushiriki wenu katika kuandaa rasimu hiyo kwa kutoa maoni yenu na kuyawasilisha
Tume kwa wakati,” alisema Jaji Mwambegele.

Aliongeza kuwa baada ya
kukamilisha rasimu ya Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na
Madiwani za mwaka 2025, Tume iliwarejeshea tena wahusika Rasimu ya Kanuni hizo
tarehe 4 Aprili, 2025 na kuwaalika kwa ajili ya utiaji saini leo tarehe 12
Aprili, 2025 na kwamba hakuna maoni tofauti yaliyotolewa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa
Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndugu Kailima, R. K wakati akifafanua
mambo muhimu yaliyomo kwenye kanuni hizo amesema vyama vya siasa vina wajibu wa
kufanya kampeni za kistaarabu na kujiepusha na mambo yanayoweza kupelekea
uvunjifu wa amani.


Ameongeza kuwa Serikali kwa
upande wake ina wajibu wa kutoa fursa sawa ya vyama vya siasa kufanya kampeni,
kutumia vyombo vya habari vya umma na kuhakikisha kuwa kunakuwepo na hali ya
utulivu na amani.
Kwa upande wa Tume, Kailima
amesema inawajibika kwenye mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha uchaguzi
unakuwa wa huru na wa haki na kuhakikisha kunakuwa na usawa katika mchakato wa
uchaguzi.Amesisitiza kuwa chama ambacho
hakijasaini maadili hayo hakitopata fursa ya kushiriki kwenye uchaguzi mkuu na
chaguzi ndogo nyingine zote zitakazofanyika kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Katibu Mkuu wa Chama cha AAFP, Ndg. Rashid Mohamed Ligania Rai akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

 

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndg. Ado Shaibu  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

 

Katibu Mkuu wa Chama cha ADA-TADEA, Ndg.Selemani Mohamed Msumari  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha ADC, Ndg Mwalimu Hamad Aziz  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha CCK, Ndg. Masoud Ali Abdallah  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha CCM, Balozi Dkt. John Nchimbi  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha CHAUMA, Ndg. Mohamed Masoud Rashid  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, Ndg. Husna Mohamed Abdallah  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha MAKINI, Ameir Hassan Ameir  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha DP, Ndg. Abdul Juma Mluya  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR – MAGEUZI, Ndg. Evelyn Munisi  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Ndg. Hassan Almas  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha SAU, Ndg. Majalio Paul Kyara  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha TLP, Ndg. Yustus Rwamgila  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha UDP, Ndg. Saum H. Rashid  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 
Katibu Mkuu wa Chama cha UMD, Ndg. Moshi Rashid Kigundula  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Katibu Mkuu wa Chama cha UPDP, Ndg. Hamadi Mohamed Ibrahim  akisaini Maadili ya Uchaguzi. 

Picha ya pamoja ya Tume, Serikali na vyama vya siasa vilivyosaini maadili ya Uchaguzi.

About the author

Alex Sonna