slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

telegram ifşa

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

jojobet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

Casibom

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

betist

Featured Kitaifa

TANESCO:UZALISHAJI UMEME UMEONGEZEKA NCHINI MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo – Hanga akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa shirika hilo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 26, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.

Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo – Hanga (hayupo pichani) wakati akiwasilisha kuhusu mafanikio na mwelekeo wa shirika hilo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita leo Machi 26, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

KATIKA  kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya sita,Shirika  la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema hali ya uzalishaji umeme kwenye gridi ya Taifa imeongezeka mara mbili zaidi baada ya kutekeleza miradi ya ufuaji umeme maeneo mbalimbali nchini.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo – Hanga,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa Shirika hilo  katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan leo Machi 26, 2025, katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.
Amesema kuwa hadi kufikia mwezi Februari 2025 uwezo wa mitambo ya kufua umeme kwenye Gridi ya Taifa ulifikia jumla ya Megawati 3,796.71 wakati mahitaji ya juu kabisa ya umeme kwenye Gridi ya umeme ya Taifa kwa yakiwa ni Megawati 1,908.
“Mwaka 2021 uwezo wetu wa kuzalisha ulikuwa megawati 1,573.6 na sasa hivi uzalishaji umeongezeka zaidi ya mara mbili ya uwezo wa kuzalisha umeme kwa kipindi kifupi cha miaka minne,” amesema Mhandisi Nyamo – Hanga
Aidha amesema kuwa  wataendelea kutekeleza na kukamilisha miradi mbalimbali ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji umeme nchini katika kuwapatia watanzania umeme wa uhakika miradi inayoendelea ya uzalishaji ni pamoja na Malagarasi MW 49.5, Kakono MW 87.8, Kishapu Solar awamu ya pili MW 100, Ruhudji Megawati MW 358 na Rumakali MW 222.
Pia amesema kuwa wataongeza zaidi ya Uzalishaji umeme kwa Gesi asilia na Makaa ya mawe.
Hata hivyo amesema kuwa wataendelea na utekelezaji wa umeme kwa nishati ya jotoardhi ambapo kwa mara ya kwanza Tanzania imepata mashine ya kuchoronga miamba (rig) mtambo ambao unaendelea kwa sasa kufanya kazi ya kuchoronga eneo la Ngozi Mbeya kwa lengo na kuhakiki hifadhi ya nishati ya jotoardhi, huku tafiti za awali zikionesha kunaweza kuwa na nishati ya jotoardhi yenye uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawati 70 katika eneo la Ngozi Mbeya.
“Kuendelea kuimairisha miradi ya Usafirishaji na usambazaji umeme kuendana na ongezeko la mahitaji ya umeme nchini na Kuunga Mfumo wa Gridi ya Umeme ya Tanzania na nchi za Uganda, Congo, DRC, Malawi na Msumbiji” amesema Mhandisi Nyamo – Hanga
 Mhandisi Nyamo – Hanga,amesema kuwa  kukamilisha njia za usafirishaji umeme za Sumbawanga-katavi-Kigoma, Mkuranga-Mtwara-Kupitia Kibiti na Somangafungu na Lindi.Kukamilisha Miradi ya kusafirisha umeme ya Chalinze segera 400KV, Segera same Arusha 400kv, Segera Tanga 220 KV Chalinze Bagamoyo 220KV, Chalinze, Kinyerezi Mkuranga 400KV na ukamilishaji wa miradi ya Gridi Imara.
Vilevile kujenga Miradi ya usambazaji kuimarisha upatikanaji wa umeme kwenye Maeneo ya Madini, Kilimo na Viwanda.
Aidha amesema kuwa watatekeleza Mpango wa Kitaifa wa Nishati Tanzania.Serikali iliandaa na kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wa Nishati (African Heads of States Energy Summit) uliofanyika tarehe 27-28 Januari, 2025 Jijini Dar es salaam. 
“Mkutano huo uliwakutanisha Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika, Wakuu wa Taasisi za Fedha za Kimataifa pamoja na Wadau wengine wa Maendeleo kwa lengo la kuweka mikakati ya namna bora ya kuwafikishia umeme watu milioni 300 katika Bara la Afrika ifikapo mwaka 2030” amesema
 Pamoja na mambo mengine Mkutano huo uliwezesha kuzinduliwa kwa Mpango wa Kitaifa wa Nishati wa Tanzania (National Energy Compact 2025-2030) ambao unalenga kuongeza kiwango cha upatikanaji wa umeme kutoka cha sasa cha asilimia 78.4 hadi kufikia asilimia 100 ifikapo mwaka 2030.
Hata hivyo amesema kuwa mafanikio ya TANESCO katika kipindi cha miaka minne chini ya Uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan yameleta mabadiliko makubwa katika Sekta ndogo ya Umeme Nchini.
” Wananchi wananufaika na upatikanaji wa umeme wa uhakika na kwa sasa Shirika linaendelea na Utekelezaji wa Miradi na maboresho mbalimbali ya miundombinu ya umeme kwenye maeneo mbalimbali nchini kama nilivyoeleza ili kuhakikisha watanzania wanapata Umeme wa Uhakika ambayo ni azma kubwa ya Serikali ya awamu ya sita”amesisitiza

About the author

Alex Sonna