Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

WADAU WAIANGUKIA SERIKALI KURIDHIA MKATABA WA MASUALA YA WATU WENYE ULEMAVU AFRIKA

Written by Alex Sonna

 

Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na masuala ya watu wenye ulemavu,Wakili Gideon Mandes, alizungumza na waandishi wa habari mara baada ya semina ya Waandishi wa habari na wadau kutoka vyama vya watu wenye ulemavu yaliyoandaliwa na Shirika la Sightsavers yaliyolenga kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa itifaki hiyo.

Na.Mwandishi Wetu

KATIKA kukabiliana na mila, imani potofu na ushirikina unaodhuru watu wenye ulemavu, wadau wameiangukia serikali kukamilisha mchakato wa kuridhia Itifaki ya masuala ya watu wenye ulemavu Afrika kabla ya kuvunjwa kwa Bunge la 12 ili kulinda haki zao.

Itifaki hiyo inatokana na Mkataba wa Afrika wa Haki za Binadamu na Watu uliopitishwa na Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Umoja wa Afrika katika Mkutano wa 30 wa kawaida wa Bunge mnamo Januari 2018 na hadi sasa Tanzania bado haijaridhia.

Rai hiyo ilitolewa jana jijini Dodoma na wadau kutoka vyama vya watu wenye ulemavu na waandishi wa habari katika mafunzo yaliyoandaliwa na Shirika la Sightsavers yaliyolenga kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa itifaki hiyo.

Akizungumza kuhusu faida za itifaki hiyo, Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na masuala ya watu wenye ulemavu,Wakili Gideon Mandes, alisema katika mkataba huo kuna haki za watu wenye ulemavu katika masuala ya elimu, ajira, afya, fursa za kiuchumi na miundombinu inayofikika.

Pia, alisema mkataba huo unaongelea masuala ya uwakilishi wa watu wenye ulemavu katika shughuli za kisiasa na umma, haki za wanawake, wasichana na watoto.

“Tanzania bado hatujaridhia kwasababu moja kwanza ilitakiwa mchakato upitie serikalini na serikali zote mbili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar tupate maoni ili kwenda kwenye hatua nyingine za michakato ya itifaki,”alisema.

Naye, Mjumbe wa Shirikisho la Vyama Vya Watu Wenye Ulemavu (Shivyawata) Dodoma, Sophia Mhando, alisema wanawake wenye ulemavu wanaomba serikali iridhie mkataba huo ili kuweka uchechemzi wa haki zao za kiafya kwenye sera na sheria zinazotungwa.

Mratibu wa mradi wa macho wa Shirika la Sightsavers, Upendo Minja, alisema shirika hilo limetambua mchango wa vyombo vya habari katika kutoa hamasa kuhakikisha haki za watu wenye ulemavu zinalindwa na mkataba huo kuridhiwa.

Alisema hadi sasa nchi 16 zimeridhia na kwa kupitia vyombo vya habari wananchi watajua umuhimu wa mkataba huo kwa Tanzania na kuhamasisha serikali kuridhia mkataba huo.

Awali, Ofisa wa Sera, uchechemuzi na ushawishi Kanda ya Afrika Mashariki Kati na Kusini wa Sightsavers, Neema Kalole, alisema ni muhimu kwa Tanzania kuridhia mkataba huo ambao unakwenda kuhakikisha haki za watu wenye ulemavu kwa Afrika zinalindwa kwa kuwa kuna mambo hayafanani na nchi zingine zilizoendelea.

“Mfano mauaji ya watu wenye ulemavu wa Ngozi (albino) ni kitu ambacho kinatokea kwenye nchi zetu za Afrika na mkataba huu utaenda kuongelea kinagaubaga mazingira yaliyopo kwenye nchi zetu yatatuliwe, mkataba huu una manufaa mengi sana,”alisema.

Alisema mkataba huo unaendana na jitihada zinazofanywa na serikali za kuweka kipaumbele kutetea haki za watu wenye ulemavu na kwamba tayari kuna mapitio ya Sera ya Mwaka 2004 ambayo yanachochea utetezi huo na mkataba huo ukiridhiwa utaongeza nguvu na Tanzania itaonesha namna ilivyojizatiti kukomesha vitendo vya ukiukwaji wa haki za watu wenye ulemavu.

About the author

Alex Sonna