marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

grandpashabet

palacebet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

celtabet, celtabet giriş

jasminbet, jasminbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

trendbet

padişahbet

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

porno izle

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

imajbet

lunabet

holiganbet

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

türk porno

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

zirvebet giriş

superbetin

deneme bonusu

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

tipobet

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casinomilyon

betist

Featured Kimataifa

TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA 62 WA BODI YA KIMATAIFA YA EITI MACHI 13 – 14, 2025 JIJINI ARUSHA.

Written by Alex Sonna

 Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika usimamizi wa Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia Tanzania(TEITI) Bi. Mariam Mgaya,akitoa taarifa kuelekea Mkutano wa 62 wa Bodi ya Kimataifa ya TEITI utaotarajiwa kufanyika Machi 13 hadi 14 jijini Arusha.

Na.Mwandishi Wetu _Dodoma. 

Ikiwa zimebaki siku kadhaa kuelekea kufanyika kwa Mkutano wa 62 wa Bodi ya EITI, Jijini Arusha, leo Machi, 10,2025 Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika usimamizi wa Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia Tanzania(TEITI) Bi. Mariam Mgaya ametoa taarifa kwa umma juu ya mkutano wa Bodi ya EITI nchini utakaofanyika tarehe 13 – 14 Machi, 2025.

“Mtakumbuka Mwezi Aprili, 2024, Tanzania ilipokea ugeni kutoka ujumbe wa Bodi ya EITI. Ujumbe huo uliongozwa na Mwenyekiti ya Bodi ya EITI, Mhe. Helen Clark ambaye alikuwa ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Newzealand na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mipango ya Maendeleo la Umoja wa Mataifa(UNDP). Ujumbe huo ulifanya kikao na viongozi mbalimbali wa Serikali akiwemo Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania- Dkt. Samia Suluhu Hassan ambapo ilikubalika Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 62 wa Bodi ya Kimatifa ya EITI” amesema Bi. Mariam. 

Ameendelea kwa kusema, “Mkutano wa 62 wa Bodi ya EITI utafanyika kuanzia tarehe 13 hadi 14 Machi, 2025 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha. Mkutano huo utahudhuriwa na washiriki zaidi ya mia moja ikiwa ni wajumbe wa Bodi ya EITI kutoka mataifa mbalimbali duniani ikijumuisha wawakilishi wa kampuni kubwa zinazojihusisha na shughuli za uchimbaji na utafutaji wa rasilimali madini, mafuta na gesi asilia, Asasi za Kiraia zinazojihusisha na shughuli za uziduaji, Sekretarieti ya EITI na wawakilishi wa nchi wanachama wa EITI duniani”

Kwa upande mwingine, Bi Mariam Mgaya amesisitiza kuwa, kufanyika kwa mkutano huu hapa nchini ni fursa adhimu ya kuonesha jinsi gani nchi yetu inavyotekeleza vigezo vya kimatifa vya uwazi na uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali madini, mafuta na gesi asilia kwa kuzingatia kuwa Tanzania ni moja ya nchi wanachama wa EITI inayotekeleza masuala ya uwazi na uwajibikaji kisheria kupitia Sheria inayosimamia uwazi na uwajibikaji ( Sheria ya uwazi na uwajibikaji katika katika rasilimali madini, mafuta na gesi asilia Tanzania, 2015, SURA 447). Aidha, Ujio wa Bodi hiyo pia ni matokeo mazuri ya tathmini ya EITI uliofanyika mwaka 2023 ambapo Bodi hiyo ilipongeza juhudi za Serikali ya Tanzania na wadau mbalimbali katika kufanikisha utekelezaji wa shughuli za EITI hapa nchini. Matokeo ya tathmini hiyo yanaonesha kuwa Tanzania imepata alama 77/100 katika kutekeleza vigezo vya EITI vya mwaka 2019 kwa kuzingatia maeneo matatu Stakeholder engagement (82.5), Transparency(73.5) na Outcome and impact (75.5). 

Mkutano huo wa Bodi ya EITI utafunguliwa rasmi tarehe 13 Machi, 2025 na Mhe. Doto Mashaka Biteko- Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Baada ya Ufunguzi wa Bodi hiyo, kutafanyika dhifa ya mapokezo ya ugeni huo na Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Anthony Peter Mavunde, Waziri wa Madini. Hata hivyo, Mkutano huo utatanguliwa na Mikutano ya Kamati Ndogo za Bodi hiyo kuanzia tarehe 12 Machi, 2025. 

Mkutano huo wa Bodi ni fursa kwa nchi na Watanzania kwa ujumla kwa kuwa Tanzania itapokea ugeni wa zaidi ya washiriki mia moja ikijumuisha wawakilishi wa Makapuni Makubwa duniani yanayojihusisha na Sekta ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia hivyo ni Kivutio cha Uwekezaji katika nchi yetu, Vilevile, ni fursa kuongeza fedha za kigeni kwa kuwa wageni hao watatumia bidhaa na huduma hapa nchini. Alisema Bi. Mariam Mgaya. 

About the author

Alex Sonna