Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

betsat

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

lunabet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

betasus

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

jojobet

grandpashabet

casinomilyon

holiganbet

betewin

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

meritking

marsbahis

mavibet

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking güncel giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

betsalvador

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

pokerklas

pokerklas

meritbet

meritbet giriş

meritbet

meritbet giriş

meritbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

jojobet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

betsalvador

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

parmabet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

lunabet giriş

grandpashabet

ligobet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet giriş

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Starzbet

Starzbet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet güncel giriş

kingroyal

jojobet

amgbahis

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

parmabet

marsbahis

marsbahis giriş

marsbahis güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

mavibet

mavibet giriş

aresbet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

Featured Kitaifa

WASAIDIZI WA SHERIA 300 WAPEWA MAFUNZO MAALUM KUHUSU MSAADA WA KISHERIA NCHINI

Written by Alex Sonna

 

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akizungumza  wakati akifungua mafunzo maalum kwa wasaidizi wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akizungumza  wakati akifungua mafunzo maalum kwa wasaidizi wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Legal Services Facility (LSF),Bw. Amani Manyelezi,akizungumza  wakati wa mafunzo maalumkwa wasaidizi wa kisheria kuhusu msaada wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula (hayupo pichani),akizungumza  wakati akifungua mafunzo maalum kwa wasaidizi wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt.Franklin Rwezimula,akipokea zawadi kutoka kwa Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Legal Services Facility (LSF),Bw. Amani Manyelezi,mara baada ya kufungua mafunzo maalum kwa wasaidizi wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua mafunzo maalum kwa wasaidizi wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua mafunzo maalum kwa wasaidizi wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua mafunzo maalum kwa wasaidizi wa kisheria leo Februari 26,2025 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA
JUMLA ya wasaidizi wa kisheria 300 wanatarajiwa kupatiwa mafunzo maalum kuhusu sheria zilizopo, kanuni, miongozo, na sera zinazohusiana na utoaji wa msaada wa kisheria nchini.
Akizungumza leo Februari 26,2025 jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo hayo Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,amesema  serikali inaendelea kuboresha mifumo ya msaada wa kisheria kwa kuanzisha Madawati ya Msaada wa Kisheria katika halmashauri zote nchini.
Dkt. Rwezimula ameeleza lengo la mafunzo hayo nikuwajengea uwezo wasaidizi hao, maarufu kama paralegals, ili waweze kuendelea kutoa elimu na huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi bila malipo, hususan katika maeneo ya pembezoni.
“Lengo la serikali ni kuhakikisha kila kata inakuwa na msaidizi wa kisheria. Hadi sasa idadi yao bado ni ndogo, lakini jitihada zinaendelea ili kufanikisha azma hii na mafunzo hayo yatafanyika kwa awamu nne, ambapo awamu ya kwanza inahusisha washiriki 42 kutoka mikoa ya Arusha, Dodoma, Singida, Manyara, na Tanga. Mafunzo hayo yatadumu kwa siku 15.,” amesema  Dkt. Rwezimula.
Aidha ametoa wito kwa washiriki wa mafunzo hayo kutumia fursa hiyo kuimarisha ujuzi wao na kutoa huduma kwa wananchi kwa moyo wa kujitolea, hasa kwa makundi yenye uhitaji mkubwa wa msaada wa kisheria.
 “Nataka taasisi kushirikiana na Wizara katika kuwezesha wasaidizi wa kisheria kwa kuwajengea uwezo katika masuala mbalimbali ya kisheria. Pia, aliwataka kuandaa na kufanya Kongamano la Mwaka la Wasaidizi wa Kisheria, ambalo litakuwa fursa ya kujadiliana kuhusu changamoto na fursa wanazokutana nazo katika utoaji wa huduma za msaada wa kisheria nchini.”amesema
Kwa upande wake, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Legal Services Facility (LSF),Bw. Amani Manyelezi, amesema mfuko huo umekuwa ukiunga mkono msaada wa kisheria kwa zaidi ya miaka 12 kwa kushirikiana na mashirika 184 na wasaidizi wa kisheria zaidi ya 3,000 nchini.
“Tunalenga kuweka mazingira wezeshi kwa wasaidizi wa kisheria kwa kushirikiana na Wizara ya Katiba na Sheria, huku tukizingatia usawa wa kijinsia na kupambana na ukatili wa kijinsia, hasa dhidi ya wanawake na watoto,” amesema Bw.Manyelezi.
Hata hivyo amefafanua kuwa kila mwaka wasaidizi wa kisheria wanawafikia zaidi ya wananchi milioni 6, wengi wao wakiwa wa maeneo ya vijijini ambako huduma za msaada wa kisheria ni adimu.
Takwimu zinaonyesha kuwa asilimia 59 ya kesi zinazowasilishwa kwa wasaidizi wa kisheria hutolewa na wanawake, huku asilimia 41 zikihusisha wanaume. Kesi nyingi zinahusiana na masuala ya ndoa na mgawanyo wa mali.
Naye Msajili wa Watoa Huduma za Msaada wa Kisheria, Laurent Burilo-Mwakilfehi, amesema licha ya kuwepo kwa wasaidizi wa kisheria 2,205 waliosajiliwa, bado kuna upungufu mkubwa wa wataalamu hao, hususan vijijini.
“Huduma ya msaada wa kisheria ni bure, hivyo tunawasihi wasaidizi wa kisheria kufanya kazi kwa uzalendo na moyo wa kujitoa. Hii ni kazi ya kiuchungaji, malipo yake ni kuona haki inatendeka kwa jamii,” amesema  Burilo-Mwakilfehi.
Mafunzo hayo yatadumu kwa muda wa miezi miwili na nusu, ikiwa ni sehemu ya programu ya miezi mitatu ya mafunzo kwa vitendo, kabla ya wahitimu kupatiwa vyeti rasmi na kusajiliwa kama wasaidizi wa kisheria.

About the author

Alex Sonna