Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

SANGU AUMIZWA NA MWAMKO MDOGO WA ELIMU MKOANI RUKWA

Written by Alex Sonna

■Ahimiza Wazazi kusimamia elimu ya watoto wao ipasavyo

Na.Mwandishi Wetu -SUMBAWANGA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe.Deus Sangu ameonesha kuumizwa na mwitikio mdogo wa elimu Mkoani Rukwa huku akiwaonya wazazi wenye tabia ya kuwaelekeza watoto wao kujikosesha au kuchora picha katika mitihani yao kwa lengo la kujihusisha na shughuli za kilimo na ufugaji.

Mhe.Sangu ambaye pia ni Mbunge wa Kwela ametoa kauli hiyo leo wakati alipotembelea na kuzungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Miangalua iliyopo katika wilaya ya Sumbawanga, Mkoani Rukwa.

Amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan amefanya uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya elimu huku akitaja ujenzi Shule za Sekondari kila Kata pamoja na Shule ya Wasichana ya Rukwa, lengo ni kuhakikisha hakuna mtoto anayeachwa nyuma.

Hata hivyo, Mhe.Sangu amesema kutokana na msukumo mdogo kutoka kwa wazazi, watoto walio wengi wamekuwa wakiishia darasa la saba na wale wanaoendelea na Sekondari wamekuwa hawafanyi vizuri kwenye mitihani yao ya mwisho.

Kufuatia hali hiyo, Mhe.Sangu amesema Mkoa huo umekuwa kinara kwa idadi kubwa ya watoto wa kike kukatishwa masomo kutokana na kupata mimba, utapiamlo pamoja na tabia ya utapeli.

Amesisitiza kuwa elimu ndio injini ya maendeleo ya familia yoyote na kutoa angalizo kwa wazazi kuwa yoyote anayecheza na elimu ya mtoto wake atabaki kuwa nyuma huku fursa za kiuchumi za Mkoa huo zikiendelea kuporwa na wananchi wa Mikoa mingine.

” Mkoa wa Rukwa umejaaliwa rasilimali za kila aina ikiwemo madini pamoja kuwa ya pili kwa kuzalisha chakula lakini hali zetu ni duni kutokana na kukosekana kwa elimu” amesisitiza Mhe.Sangu

Kwa upande wake, Diwani wa Kata ya Miangalua, Mhe.Didas Kayanda amesema jamii yoyote iliyostarabika ni lazima ikumbatie elimu, hivyo amewataka waumini hao kuwa mstari wa mbele kuwahimiza watoto wao juu ya umuhimu wa elimu.

Amesema wazazi ambao hawapeleki watoto shule wachukuliwe hatua kali za kisheria ili iwe funzo kwa wazazi wengine huku akisema Serikali imejitahidi sana kujenga shule nyingi katika Jimbo la Kwela tofauti na hapo awali

About the author

Alex Sonna