Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

WATANO WASHIKILIWA KWA KUFANYA BIASHARA YA UPATU MTANDAONI BILA KIBALI.

Written by Alex Sonna

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watano, Gerald Masanya [31] Meneja wa Kampuni ya LBL    – Mbeya, mkazi wa Nsalaga, Saphina Mwamwezi [23] Sekretari, mkazi wa Ituha, Edda William [29] mkazi wa Uwanja wa Ndege wa Zamani, Yohana Mkinda [29] mkazi wa Tukuyu na Macrine Sinkala [23] mkazi wa Nsalaga kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya upatu mtandaoni bila kuwa na kibali.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya lilipata taarifa za uwepo wa kampuni iitwayo LBL MBEYA MEDIA LIMITED inayojihusisha na biashara ya upatu mtandaoni na ndipo Februari 18, 2025 lilifanya ufuatiliaji kwa kushirikiana na Maafisa kutoka Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Mbeya na Idara nyingine ambapo walifika maeneo ya Mwanjelwa Jijini Mbeya karibu na duka la nguo liitwalo VUNJA BEI zilipo ofisi za Kampuni hiyo na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa watano akiwemo Meneja wa Kampuni hiyo.

Watuhumiwa kupitia kampuni hiyo wamekuwa wakijihusisha na biashara ya upatu mtandaoni na kueleza kuwa wamekuwa wakituma “link” maalum kwa wateja ili kujiunga mtandaoni na kisha wateja hutakiwa kulipa fedha kuanzia Tsh 50,000/= hadi Tsh 540,000/= na kutakiwa kuangalia matangazo ya “movies” mbalimbali zilizowekwa kwenye “Platform” hiyo kwa madai kwamba watapata faida baada ya kuwekeza fedha zao kwa kipindi fulani. Uchunguzi wa awali umebaini kuwa Kampuni ya LBL MBEYA MEDIA LIMITED imekuwa ikukusanya fedha kwa kutumia mtandao kutoka kwa wananchi pasipo kufuata taratibu zozote za kisheria.

MMOJA ASHIKILIWA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA RAFIKI YAKE.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mussa Basuka [30] mchimbaji mdogo, mkazi wa Manyanya Wilayani Chunya kwa tuhuma za mauaji ya aliyekuwa rafiki yake aitwaye Issa Mohamed [30] aliyekuwa mchimbaji mdogo na mkazi wa Kitongoji cha Manyanya Wilayani Chunya mkoani Mbeya. 

Tukio hilo limetokea Februari 18, 2025 Kitongoji cha Manyanya, Wilaya ya Chunya baada ya mtuhumiwa Mussa Basuka [30] kumpiga ngumi kichwani aliyekuwa rafiki yake aitwaye Issa Mohamed [30] ambaye walikuwa wakiishi naye chumba kimoja.

Chanzo cha tukio hili ni mzozo uliotokea baina yao wakiwa kwenye chumba walichopanga uliotokana na ulevi wakibishania zamu ya kupika chakula cha jioni ambapo marehemu alikuwa na jukumu la kupika na mtuhumiwa alikuwa na jukumu la kuchota maji.  

JELA MIAKA 30 KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA.

Mahakama ya Wilaya ya Kyela imemhukumu Owen Uswege Mwambera [20] Mkazi wa matenki border kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kupatikana na kusafirisha dawa za kulevya aina ya bhangi zenye uzito wa zaidi ya kilogramu 7.

Hukumu hiyo imetolewa na Mhe. Andrew Njau – SRM na Mwendesha mashitaka wa Jeshi la Polisi Mkaguzi Msaidizi Bihemo Dawa Mayengela Februari 17, 2025 katika Mahakama ya Wilaya ya Kyela kwa mujibu wa kifungu cha 15A kifungu kidogo cha kwanza na cha pili (c) cha sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa Dawa za Kulevya sura ya 95 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2019.

Mshitakiwa alitenda kosa hilo Julai 12, 2024 baada ya kubeba dawa hizo za kulevya zenye uzito wa Kilogramu 7.06 na alikamatwa na Polisi katika eneo la geti la ushuru wa mazao maarufu Mafiga Wilayani Kyela akiwa katika harakati za kusafiri nazo kuelekea Mbeya Mjini.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa wito kwa wale wote wanaofikiria kufanya biashara hii ya upatu/utapeli kuacha mara moja kwani endapo wataendelea Jeshi la Polisi litawafikia popote pale walipo na kuwakamata na kuwafikisha mahakamani. Aidha, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linapenda kuwasihi wananchi wafanye biashara halali za kuwapatia kipato na sio hizi haramu za dawa za kulevya, utapeli na nyinginezo. Vile vile, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kuwasihi wananchi kuacha vitendo vya kujichukulia sheria mkononi na badala yake kutafuta suluhisho la changamoto/migogoro yao kwa njia ya amani ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea.

Imetolewa na:

Kaimu Kamanda wa Polisi,

Mkoa wa Mbeya.

About the author

Alex Sonna