Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

betpuan

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

royalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

slot siteleri

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betpark

bets10

jojobet

meritking

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark giriş

bets10 sorunsuz giriş

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

imajbet

Featured Kitaifa

JUMUIYA YA WAZAZI CCM SHINYANGA MJINI WAMPONGEZA RAIS SAMIA ….YATAKA WANANCHI WASIKUBALI KUPOTOSHWA

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, akizungumza katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa mafanikio makubwa aliyoyapata katika kuwaletea maendeleo wananchi, huku ikiwasihi wanachama wa CCM na Watanzania kwa ujumla kutokubali kuathiriwa na maneno ya baadhi ya watu wanaobeza jitihada za Rais Samia.

Pongezi hizo zimetolewa leo, Jumanne Februari 18, 2025, na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, alipokuwa katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini, ziara iliyofanyika katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.

Ziara hiyo ni sehemu ya mpango wa kimkakati wa kutembelea kata zote za Jimbo la Shinyanga Mjini, ambapo lengo kuu ni kuzungumza na wanachama na viongozi wa CCM, kufanya tathmini ya utekelezaji wa Ilani ya CCM, kuangalia hali ya uhai wa chama, na kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo hayo.

Akizungumza kwenye ziara hiyo, Mrindoko amesisitiza umuhimu wa wananchi kuendelea kumuunga mkono Rais Samia na kutambua juhudi zake za kuboresha ustawi wa taifa.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko

“Msikubali kupotoshwa, nchi hii imejengeka. Hawa wanaokuja kubeza leo wametoka wapi? Tumshike mkono Mama Samia, tumpe mitano tena, amefanya mambo mazito, tusimame pamoja naye. Mama huyu amefanya mambo mazuri sana. Naomba msimame imara, hakuna mtu wa kuwayumbisha na kuwatoa kwenye mstari mkamuacha Samia,” amesema Mrindoko.

Amesema pia ni muhimu kupuuza watu wanaobeza mafanikio ya Rais Samia, akitaja baadhi yao kama “washamba” wanaopuuza maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika sekta muhimu kama vile miundombinu, elimu,maji, umeme na afya.

“Tuwapuuze hawa washamba wanaopuuza kazi nzuri zinazofanywa na Mama Samia katika sekta mbalimbali. Watanzania tuendelee kuwa macho na kushirikiana kwa pamoja ili kutimiza malengo ya maendeleo,” amesema Mrindoko.

Pia, amezungumzia umuhimu wa kulinda watoto dhidi ya vitendo vya ubakaji na ulawiti, akisema: “Hawa wanaolawitiana na kusagana ni dhambi kubwa kwa Mungu. Tukatae hii tabia ya watoto wetu kuchezewa chezewa, tukabiliane na hawa wanaochezea watoto wetu, wanaolawiti na kubaka watoto wetu.”

Kwa upande wake, Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Dorice Kibabi, amesisitiza umuhimu wa mshikamano miongoni mwa wanachama wa CCM, hasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Dorice Kibabi

Kibabi pia amehamasisha wananchi kujiunga na chama na kulipa ada ya uanachama CCM, akisema kuwa uhai wa chama unatokana na michango ya wanachama ikiwemo kulipia kadi ya uanachama.

Naye Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi James Jumbe ameeleza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mambo makubwa tangu aingie madarakani ambapo alikuta miradi mingi mikubwa ya kimkakati ambayo sasa tayari imekamilika, mingine ikiwa katika hatua za mwisho za kukamilika.

Mhandisi Jumbe ameongeza kuwa, Rais Samia amekuwa akifanya juhudi kubwa katika kuboresha miundombinu ya barabara, sekta ya afya, elimu, na kutoa mikopo kwa makundi maalum kama watu wenye ulemavu, vijana na wanawake.Mhandisi James Jumbe 

“Rais Samia ni mtu anayetaka maendeleo, amekuwa akiboresha miundombinu, uboreshaji huu wa miundombinu ya barabara unasaidia kwa kiwango kikubwa sana kuhakikisha uchumi wetu unakua kwa kasi kubwa. Rais Samia pia amewezesha katika sekta ya afya, vifaa tiba, majengo ya hospitali, vituo vya afya, zahanati. Kwenye elimu ameboresha mikopo ya chuo kikuu, elimu ya sekondari, walimu wanaajiriwa,” amesema Jumbe.

“Mheshimiwa Rais Samia ni mtu ambaye ana maono, tumeona mchakato kuhusu Dira ya taifa, hiyo yote ni kuhakikisha Mhe. Rais Samia anatengeneza taifa ambalo lina dira thabiti itakayosaidia kizazi kilichopo na kijacho”,ameeleza Mhandisi. Jumbe

Mhandisi Jumbe amefafanua kuwa, Rais Samia anatekeleza majukumu yake kwa ufanisi mkubwa, ndiyo maana wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM walimpendekeza kwa kauli moja kama mgombea wa Urais kupitia CCM katika uchaguzi Mkuu 2025.

“Mheshimiwa Rais Samia anatekeleza majukumu yake kwa weledi mkubwa na amefanya kazi pasipo kuchoka ndiyo maana mkutano mkuu wa CCM wajumbe walipitisha azimio la mkutano mkuu kumpitisha kuwa ndiye Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM.

Hakupitishwa kwa sababu yeye ni mwanamke au kwa sababu tu yeye ni mkuu wa nchi ana vyombo vya ulinzi na usalama lakini utekelezaji wa Ilani, watu waliridhika nao na ndiyo maana wajumbe wa mkutano mkuu, kupitia maoni ya wanachama mbalimbali walipendekeza Dkt. Samia Suluhu Hassan awe mgombea Urais lakini pia Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza ambaye amefanya kazi kubwa katika chama hata katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Mhe. Nchimbi ni mchapakazi, muungwana, mwenye heshima, mstahimilivu. Kwa hiyo ukiangalia huo muungano (combination) ya Dkt. Samia na Dkt. Nchimbi hakuna mashaka kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka huu, tunaenda kushinda kwa kishindo,” ameongeza Mhandisi Jumbe.

“Kwa hiyo, kama tulivyoshirikiana kwa umoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa, na mimi naendelea kuwaomba ndugu zangu, wanachama, wanajumuiya ya wazazi, na jumuiya nyingine za chama, tuungane kwa nguvu moja katika chaguzi zijazo. Uzuri ni kwamba, tutakuwa na wagombea tunaowafahamu, na hivyo tutaangalia ni kiongozi gani anayefaa kutuongoza. Ipo wazi kabisa kwamba mitano ni kwa Mheshimiwa Rais Samia na mgombea mwenza, Dkt. Emmanuel Nchimbi, huku nafasi zingine zikigombewa kwa utaratibu ulioainishwa na chama ili kupata wagombea wanaozingatia maslahi ya umma. Lengo letu ni kuhakikisha chama kinaendelea kushika dola, tushirikiane kwa nguvu, tuendelee kujenga chama, tuunge mkono Rais wetu na viongozi wa chama, na tupate ushindi mkubwa,” amesema Jumbe.

Mhandisi Jumbe amesema uchaguzi mkuu wa mwaka huu utakuwa wa ushindi mkubwa kwa CCM, akisisitiza umoja wa wanachama katika kuhakikisha ushindi mkubwa.

Jumbe amewahamasisha wanachama wa CCM na jamii kwa ujumla kuendelea kushirikiana na kupigania maendeleo, akisema: “Tunatakiwa kuwa makini kwenye malezi ili kutengeneza taifa bora. Tujitahidi kuwa karibu na watoto wetu, tuzungumze nao, kwa sababu wanapitia changamoto mbalimbali ili kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji ambavyo vinaanzia ngazi ya familia.”

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, akizungumza katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, akizungumza katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, akizungumza katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, akizungumza katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko, akizungumza katika ziara yake na wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.

Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Dorice Kibabi, akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Dorice Kibabi, akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Dorice Kibabi, akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Dorice Kibabi, akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi James Jumbe akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi James Jumbe akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi James Jumbe akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Wazazi CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi James Jumbe akizungumza wakati wa ziara ya wajumbe wa kamati ya utekelezaji wilaya ya Shinyanga Mjini katika kata za Mwamalili na Old Shinyanga.


Soma pia

About the author

Alex Sonna