Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

vdcasino

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

palacebet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

slot siteleri

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

imajbet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

marsbahis

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

İmajbet

Featured Kitaifa

WANANCHI TANGA, PWANI WAITIKIA VYEMA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Written by Alex Sonna

 

Mpiga
Kura Bi. Habiba Kingazi mkazi wa Mtaa wa Lumumba, Kata ya Ngamiani Kaskazini
akionesha kadi yake baada ya kuboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura na kupatiwa
kadi mpya katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji TADECO ,Halmashauri ya Jiji la
Tanga.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akishuhudia mwananchi akiboresha taarifa zake.

Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele
akimkabidhi kadi ya mpya ya Mpiga Kura Bi. Habiba Kingazi mkazi wa Mtaa wa
Lumumba, Kata ya Ngamiani Kaskazini aliyeboresha taarifa zake katika Daftari la
Kudumu la Mpiga Kura na kupatiwa kadi mpya katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji
TADECO ,Halmashauri ya Jiji la Tanga.
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mikoa ya
Tanga na Pwani limeanza leo leo Februari 13 hadi 19, 2025 na litadumu kwa siku
saba.
******************** 

Na. Waandishi Wetu, Tanga
Wananchi wa mikoa ya Tanga na Pwani leo Februari 13, 2025 wameanza uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambapo wananchi wengi wamejitokeza kushiriki katika zoezi hilo.
 
Mwandishi wa Habari hizi aliyeambatana na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele Mkoani Tanga walishuhudia watu wengi wakiwa katika foleni kutimiza haki yao hiyo ya kikatiba ya kujiandikisha kuwa Wapiga Kura.
 
Aidha akizungumza baada ya kutembelea vituo katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Jiji la Tanga, Mhe. Jaji Mwambegele alisema zoezi hilo limeanza vizuri na hakuna changamoto ya vifaa wala watendaji.
 
“Nilianza kushuhudia tangu kufunguliwa kwa kituo majira ya Saa 2:00 asubuhi pale katika kituo cha Ofisi ya Mtedaji TADECO kilichopo mtaa wa Lumumba Kata ya Ngamiani Kaskazini, na kushudia zoezi likienda vizuri pasipo kuwa na changamoto zozote,” alisema Mhe. Jaji Mwambegele.
 
Alisema baadhi ya wananchi waliojitokeza walikua wanataka tu kuwa na kadi mpya za Mpiga kura lakini kadi zao za awali hazikua nachangamoto yeyote hivyo akatoa ushauri kwa Waandishi Wasaidizi vituoni kuwa wawaulize watu kabla ya kuwaandikisha.
 
“Kuna baadhi ya wananchi wamekuja kwaajili ya kupata vitambulisho vipya, lakini vitambulisho vya awali havina tatizo lolote, hivyo, Nimesisitiza wananchi wakifika vituoni waulizwe kwanza na kueleweshwa,” alisema Mhe.Jaji Mwambegele.
 
Aidha, ametoa wito kwa wananchi kutumia fursa hiyo ya kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika siku za mwanzo na wasisubiri siku za mwisho kwani siku saba si nyingi.
 
Baadhi ya Wananchi waliozungumza na Mwandishi wetu, akiwepo Abubakar Ally, Mwanaharusi Moyo , Bakari Salim Kibamba na Mwl. Taji Walter Mussa ambao ni wakazi wa Jiji la Tanga waliishukuru Tume kwa kuendesha zoezi hilo.
 
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika uanaofanyika katika mikoa Tanga na Pwani kwa siku saba kuanzia tarehe 13 hadi 19 Februari, 2025 unataraji kuandikisha Wapiga Kura wapya 431,016 na zoezi hilo litakapokamilika mikoa hiyo itakuwa na wapiga kura 2,727,318.
 
Tanga itatekeleza zoezi hilo kwa awamu mbili ambapo kwa sasa zoezi linafanyika katika  Halmashauri ya Jiji la Tanga, Halmashauri za Miji ya Handeni na Korogwe na Halmashauri za Wilaya ya Kilindi, Lushoto na Muheza.
 
 Wakati wa Mkutano wa Tume na Wadau mkoani Tanga,  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndugu. Kailima R.K alisema,  Tume imeshakamilisha zoezi hilo kwenye mikoa ya Kigoma, Tabora, Katavi, Geita, Kagera, Mwanza, Shinyanga, Mara, Simiyu, Manyara, Dodoma, Singida, Mjini Magharibi, Kusini Unguja, Kaskazini Unguja, Kusini Pemba, Kaskazini Pemba, Arusha, Kilimanjaro, Mbeya, Iringa, Rukwa, Songwe, Njombe, Ruvuma Lindi na Mtwara.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akishuhudia mwananchi akiboresha taarifa zake.

Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele
akishuhudia mwananchi wa Mtaa wa Lumumba, Kata ya Ngamiani Kaskazini aliyekuja
kujiandikisha akichukuliwa picha wakati alipotembelea kituo cha Ofisi ya
Mtendaji TADECO katika Halmashauri ya Jiji la Tanga kushuhudia mwenendo wa
zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambalo limeanza leo
uboreshaji katika mikoa ya Tanga na Pwani. Zoezi hilo litadumu kwa siku saba
kuanzaia leo Februari 13 hadi 19, 2025. 

Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele
akitazama kitambulisho kikitoka katika Printa.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akizungumza na mawakala wa vyama. 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akishuhudia wananchi wakiwa katika foleni kusubiri kuboresha taarifa zao. 

 

Mkazi wa Tanga katika Kata ya Mabawa akisoma bango la maelezo. 

Wananchi wakiendelea kuajindikisha na kuboresha Taarifa zao Jijini Tanga.

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari leo tarehe 13 Februari 2025 ametembelea baadhi ya vituo vya kuandikishia wapiga kura vilivyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani na kushuhudia wananchi wakiendelea kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

 

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omar Ramadhan Mapuri leo tarehe 13 Februari 2025 ametembelea baadhi ya vituo vya kuandikishia wapiga kura vilivyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani na kushuhudia wananchi wakiendelea kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

 

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Magdalena Rwebangira, ametembelea vituo vya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, vilivyopo katka Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga leo tarehe 13 Februari, 2025.


About the author

Alex Sonna