marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

RC KILIMANJARO AWAASA WANANCHI WA KILIMANJARO KUACHA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw, Nurdin Babu akizungumza na Timu ya Wataalam wa kutoa Elimu ya Fedha, Kutoka Wizara ya Fedha na baadhi ya Taasisi zake ofisni kwake kabla ya kuanza zoezi la kutoa Elimu ya Fedha katika Wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro
Na. Eva Ngowi na Chedaiwe Msuya, WF, KILIMANJARO
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw. Nurdin Babu amewaasa wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro kuacha matumizi mabaya ya fedha , huku wengine wakiwa na mitambo ya kuiibia Serikali na wananchi.
Bw. Nurdin Babu ametoa maagizo hayo wakati wa kikao na Waandishi wa Habari na Timu ya Wataalamu ya utoaji wa Elimu ya Fedha, katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa iliyofanyika Wilaya ya Moshi Manispaa Mkoa wa Kilimanjaro.
“Kupitia elimu hiyo ambayo itawafikia makundi mbalimbali itasaidia wananchi kutambua matumizi sahihi ya fedha. Pia nimefurahi kusikia mtafika katika Shule za Msingi na Sekondari; mtawasaidia vijana kwa sababu wapo vijana hawatambui thamani ya fedha” Alisema Bw. Nurdin Babu
Aidha Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Bw. Yusuphu Nzowa m, alisema anaishukuru Serikali kupitia Wizara ya Fedha kwa kuleta Timu ya Wataalamu ya utoaji wa Elimu ya Fedha kwa Mkoa wa Kilimanjaro kwani itawafikia wananchi hasa wastaafu ambao baada ya kustaafu wanajikuta wameingia kwenye biashara ambazo hawana taaluma nazo na kuwasababishia hasara.
“Nashukuru kwa ujio huu kuja kutoa Elimu hii kwani itawafikia wananchi hasa wastaafu, kwani kumekuwa na kasumba ya wastaafu wengi kujiingiza katika biashara ambazo hawana taaluma nazo baada ya kustaafu hivyo kuwapelekea kupata hasara kubwa.” Alisema Bw. Nzowa.
Awali akizungumzia madhumuni ya Elimu ya Fedha, Mkurugenzi Msaidizi kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha, Bi. Dionensia Mjema alisema; Serikali inataka kuweka uelewa kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya huduma za fedha zinazotolewa nchini ili kujenga uchumi na kuondoa umasikini, Kuinarisha ufanisi wa masoko ya fedha kupitia Elimu ya Fedha, kuongeza upatikanaji wa Huduma za Fedha, Kutoa elimu ya kuwezesha kumlinda mtumiaji wa huduma za fedha, kuwezesha wananchi kusimamia vizuri rasilimali fedha, kuwezesha wajasiriamali wadogo kuongeza ujuzi na matumizi sahihi ya huduma za fedha katika kukuza biashara zao, kuimarika kwa utamaduni wa kujiwekea akiba, kukopa na kulipa madeni; na kuongezeka kwa mchango wa Sekta ya Fedha kwenye ukuaji wa Uchumi.
Bi. Mjema alisema kuwa Timu ya Wataalamu ya utoaji wa Elimu ya Fedha kwa Mkoa wa Kilimanjaro imelenga kuwafikia wadau mbalimbali wakiwemo; wahamasishaji wa Biashara ya Huduma Ndogo za Fedha, Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo, Vikundi vya kijamii vya Huduma Ndogo za Fedha, Watoa Huduma za Fedha, Vikundi vya wanawake, Vijana na Watu wenye Mahitaji Maalum, Vikundi vya Boda boda, Machinga, Wafanyabiashara, Wakulima, Watumishi wa Umma, Wanafunzi, Wakufunzi, Wajasiriamali wadogo na wa kati, Asasi za Kiraia, Wahariri na Waandishi wa Vyombo vya Habari, Watoto na Umma kwa ujumla.  
Kwa Mkoa wa Kilimanjaro, Elimu hiyo itatolewa kwa siku kumi na nne (14) katika Wilaya za Moshi Manispaa, Moshi Vijijini, Rombo, Same, Mwanga na Hai.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw. Nurdin Babu (aliyevaa Kaunda suti ya Dark Blue) akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya Wataalam wa kutoa Elimu ya Fedha, kutoka Wizara ya Fedha na baadhi ya Taasisi zake, ambao watatoa elimu hiyo kwa siku kumi na nne (14) kwa Wilaya sita za Mkoa wa Kilimanjaro.
Katibu Tawala Mkoa Wa Kilimanjaro, Bw. Yusuphu Nzowa (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Timu ya Wataalam wa kutoa Elimu ya Fedha, Kutoka Wizara ya Fedha na baadhi ya Taasisi zake, kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha, Kamishina Msaidizi wa Idara ya Uendelezaj wa Sekta ya Fedha, Bi. Dionensia Mjema (wa pili kushoto), Afisa Usimamizi wa Fedha Mwandamizi, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Salim Khalfan Kimaro (wa pili kulia), Mkoani kilimanjaro.
Katibu Tawala Mkoa Wa Kilimanjaro Bw. Yussuphu Nzowa, akizungumza na Timu ya Wataalam wa kutoa Elimu ya Fedha, Kutoka Wizara ya Fedha na baadhi ya Taasisi zake, kwa ajili ya kutoa elimu ya fedha walipofika Ofisini kwake kabla ya kuanza kutoa elimu ya fedha ikiwa ni mwendelezo wa zoezi la kutoa elimu ya fedha kwa wananchi wa makundi mbalimbali Mkoani Kilimanjaro.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Kilimanjaro)

About the author

Alex Sonna