marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

cashwin

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

marsbahis giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

holiganbet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

vbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

betplay

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

deneme bonusu

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

Featured Kitaifa

MCHENGERWA ATOA SIKU SABA UTARATIBU WA ABIRIA KUINGIA NA KUTOKA STESHENI KUU YA TRENI DODOMA UBADILISHWE

Written by mzalendo
Na Mwandishi Wetu, Dodoma. 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa amekosoa utaratibu unaotumika wa abiria kuingia na kutoka stesheni kuu ya treni ya mwendokasi (SGR) Dodoma, kuwa umekuwa ukileta adha kwa abiria, hivyo ametoa maagizo kwa uongozi wa mkoa wa Dodoma na Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuhakikisha ndani ya siku saba wanabadilisha utaratibu huo.
Mchengerwa ametoa maagizo hayo Februari 6, 2025 Jijini Dodoma wakati wa hafla ya utiaji saini wa Mkataba wa Ujenzi wa Soko Kuu la Majengo pamoja na ujenzi wa kituo cha daladala eneo la Mshikamano Kizota na Nzuguni.
“Ninawataka Wakurugenzi wote wa majiji lakini hasa Jiji hili la Dodoma ndiyo Makao Makuu ya Nchi, Mkuu wa Mkoa, Wilaya nendeni mkajipange hasa pale eneo la stesheni ya rel, utaratibu wa watu kuingia na kutoka haujakaa vizuri, nendeni mkakae pamoja na TRC muweke utaratibu mzuri, haieleweki, Rais hawezi kutuelewa”, amesema.
Aidha, Mchengerwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo kuhakikisha kuwa sheria ya kuanzishwa kwa Makao Makuu ya nchi inaharakishwe kuingia Bungeni kabla ya kuvunjwa kwa Bunge hili.
“Tutapeleka hati ya dharura bungeni ili kuhakikisha sheria hiyo inapitishwa ya kuhakikisha sheria hiyo ya kuanzishwa makao makuu inapitishwa ili dhamira ya Dodoma kuwa makao makuu iwepo kwenye sheria,” amesisitiza Mchengerwa
Pia amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa TARURA kutowapa Zabuni wakandarasi ambao hawatekeleza miradi badala yake ahakikishe wamekamilisha miradi yote ili ikawasaidie wananchi.
“Asitokee mkandarasi ambaye hajakamilisha Mradi atakayepewa mradi mwingine ndani ya TARURA nchi nzima maana kuna wakandarasi Wana miradi mingi na hawajaikamilisha sasa maelekezo yangu sitaki kuona mkandarasi akipataka kazi nyingine wakati Ana kiporo hajakikamilisha, “ameeleza Mchengerwa
Kwa upande wake Mbunge wa Dodoma Mjini na Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema hawalizishwi na namna mkandarasi anayetekeleza mradi huo awamu ya kwanza anavyofanya kazi kwani hawatendei haki na tayari fedha kiasi cha Bilioni 24 amekabidiwa kwaajili ya utekelezaji.
“Anatakiwa akabidhi mradi huu Februari 19 mpaka leo ukimuuliza asilimia alizozifikia ameshindwa kufika hata 50% katika baadhi ya maeneo Barabara ya kutoka Mkalama kwenda Ntyuka hajakwenda kwa kasi tuliyoitegemea,”amesema. 
Awali akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya TACTIC katika Jiji la Dodoma Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amesema kuwa mradi unatekelezwa kwa awamu mbili katika Halmashauri zote 12 ikiwemo Jiji la Dodoma.
“Awamu ya kwanza utekelezaji ulianza na Barabara na Mifereji ya maji ya mvua ambapo Mikataba ilisainiwa kwa pamoja tarehe 23/09/2023 na Makandarasi walianza utekelezaji tarehe 20/11/2023 kwa mikataba ya Miezi 15 ambapo imepangwa miradi kukamilika ifikapo tarehe 19/02/2025,”amesema. 
Amesema Miradi inayoendelea ya awamu ya kwanza ni ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha lami kilomita 10.21, Mtaro wa maji ya Mvua Ilazo kilomita 2.1, Uboreshaji wa Mabwawa ya kuhifadhi maji ya mvua (3) na mitaro ya kutiririsha maji Kilomita 2.81 na ujenzi wa jengo la usimamizi na uratibu wa miradi.
“Katika Jiji la Dodoma, miradi itakayotekelezwa awamu ya 2 ya kundi la kwanza ni uboreshaji wa Soko kuu la Majengo pamoja na kituo cha daladala eneo la Mshikamano, uboreshaji wa Stendi ya mabasi madogo eneo la Kizota, ujenzi wa Stendi ya mabasi madogo eneo la Nzuguni na ujenzi wa Vivuko vya Maji (Footbridges) katika maeneo ya Chaduru, Maili Mbili na Ntyuka,”amesema. 

About the author

mzalendo