Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

UTAPELI WA MTANDAONI UMEPUNGUA KWA ASILIMIA 19: WAZIRI SILAA

Written by mzalendo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. 

Serikali imefanikiwa kupunguza matukio ya utapeli wa mtandaoni kwa asilimia 19 kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinazopatikana katika ukurasa wa 40 wa taarifa ya robo ya pili ya mwaka wa fedha 2024/2025.

Hayo yamezungumzwa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb) leo Januari 31, 2025 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu maswali ya Mhe. Tulia Ackson (Mb), Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe. Angelina Mabula (Mb), Mbunge wa Ilemela kuhusu kushamiri kwa matukio ya uhalifu mtandaoni na majina ya viongozi kutumika kufanya utapeli huo.

Mhe. Silaa amesema kuwa hatua kadhaa zimeshachukuliwa na Serikali ili kupunguza utapeli mtandaoni ikiwa ni pamoja na Wizara yake kuratibu kikao cha kimkakati cha kisekta kilichofanyika tarehe 22 Novemba, 2024 ambapo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Benki Kuu ya Tanzania, Ofisi ya Taifa ya Mashtaka; Jeshi la Polisi; Makampuni ya simu na wadau wengine walishiriki.

“Kikao hicho kimezaa kikosi kazi cha wataalamu ambao wameshaanza kazi hivi ninavyozungumza na tumekubaliana na Mhe. Bashungwa mapema mwezi Februari 2025 tutakaa kikao tena cha viongozi wa juu kuangalia njia za kufanya, kubwa tuliloelekeza kampuni za simu ni kutoa elimu kwasababu ukiangalia utapeli wa aina zote una ulaghai ndani yake”, amesema Waziri Silaa.

Katika hatua nyingine Mhe. Silaa amewataka watanzania kuhakikisha hawabonyezi link ambazo wanatumiwa kuambiwa wameshinda bahati nasibu, au kuna mkopo wa Spika au wa kiongozi mwingine. Jambo la pili amesisitiza wananchi wasitoe namba zao za siri kwa mtu yeyote, na tatu ameelekeza makampuni ya simu kuendelea na kampeni ya kutoa elimu kwa umma.

“Serikali itaendelea kufanya kazi ya kuhakikisha inasaidia wananchi dhidi ya uhalifu huu na Jeshi la Polisi kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi liliahidi kufanya operesheni hasa kwa Mikoa ya Rukwa na Morogoro ambayo ina matukio mengi kwa mujibu wa takwimu za TCRA”, alisisitiza Waziri Silaa.

Naye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Mhe. Tulia Ackson (Mb) aliwataka wabunge kama wawakilishi wa wananchi kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya huduma za mawasiliano na kujiepusha na ulaghai wa mtandaoni kwani hakuna fedha za bure.

Sambamba na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amejibu swali la Mhe. Festo Sanga (Mb) kuhusu usajili wa simu kiholela zinazotumika kufanya utapeli amesema kuwa Serikali imechukua hatua madhubuti ikiwa ni pamoja na kutoa namba *106# ya huhakiki taarifa za usajili wa laini za zimu na namba 15040 ya kuripoti matukio ya uhalifu kwa njia ya simu.

About the author

mzalendo