Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

 ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI NGOMBO LINAKWENDA VIZURI : DC MALINYI

Written by mzalendo

Na Beatus Maganja, Malinyi.

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amesema zoezi la kuwalipa fidia wananchi wa Kijiji cha Ngombo kilichopo ndani ya Pori la Akiba Kilombero Mkoani Morogoro linaendelea vizuri ambapo asilimia 93 ya wananchi wote tayari wamekwishalipwa fidia zao kwa ajili ya kupisha shughuli za uhifadhi katika Hifadhi hiyo na asilimia 7 ya wananchi waliosalia wanaendelea kushughulikiwa ili kukamilisha malipo yao.

Akizungumzia zoezi hilo Desemba 31, 2024 wilayani humo Mhe. Sebastian amesema Serikali imetoa zaidi ya shilingi billioni 6.9 kulipa wananchi 1,056 ili waweze kuhama kwa hiari kutoka maeneo ya Hifadhi huku akitoa maelekezo kwa watendaji wa vijiji 32 wilayani Malinyi kuwapokea ili waweze kuendelea na shughuli zao za kila siku.

“Kwanza si kweli kwamba wananchi wa Ngombo hatujawaambia mahali pakwenda. Katika barua yangu ya tarehe 4 Disemba, 2024 niliyowaandikia watendaji wa vijiji 32 vilivyo ndani ya wilaya ya Malinyi, nilitoa maelekezo ya kuwapokea wananchi wa Kijiji cha Ngombo wanaopisha shughuli za uhifadhi katika Pori la Akiba Kilombero, na ndivyo inavyofanyika na pia nilielekeza watendaji hao wawataarifu wananchi wote kupitia mikutano ya hadhara” amesema

“Na tangu wananchi wangu wa Ngombo walipoanza kuhama kwenda katika maeneo yao waliyokwenda, sijapata lalamiko lolote kwa simu au kwa mdomo kwamba wamezuiliwa kukaa mahali fulani na kwa taarifa nilizonazo baadhi yao wamehamia sehemu mbalimbali ikiwemo Mikoa ya Lindi, Ruvuma, Pwani na Halmashauri ya Mlimba. Kwahiyo mimi ninaamini mambo yanakwenda vizuri na ndivyo ilivyo” amesisitiza Mhe. Sebastian.

Kuhusu wanafunzi waliokuwa wanasoma shule katika Kijiji cha Ngombo, Mkuu huyo wa wilaya amesema amekwishatoa maelekezo kwa Afisa elimu kuwapokea na kuwasajili katika shule zilizopo kwenye vijiji vilivyo ndani ya wilaya hiyo bila masharti yoyote ili waweze kusoma kwa uhuru.

Aidha, Mhe. Sebastian amesema wananchi wa Kijiji cha Ngombo waliandaliwa mapema kwa kupewa elimu juu ya malipo ya fidia ili weweze kuhama kutoka katika eneo la Hifadhi ya Kilombero tangu mwezi Agosti, 2024. Hivyo, walikuwa na uelewa kuhusu zoezi hilo na amewataka kuepuka watu wenye nia ovu ya kupotosha dhamira njema ya zoezi hilo.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa Kata ya Biro Bi. Elizabeth Mnenuka amekiri kupokea zaidi ya wananchi 50 katika Kijiji cha Biro na wengine zaidi ya 30 katika Kijiji cha Mbalinyi na kuongeza kuwa baadhi yao tayari wameshapatiwa maeneo kwa ajili ya kuendeleza kwa kilimo na makazi.

Nao wananchi waliohamia Kijiji cha Biro kutoka Kijiji cha Ngombo wameishukuru Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwalipa fidia zao Kwa wakati ambazo zimewasaidia kuhama na kuanza maisha mapya katika vijiji jirani.

“Toka nitoke Kijiji cha Ngombo ambapo tuliondolewa kisheria kwakweli sina changamoto yoyote kimaisha, niko vizuri naishi vizuri na familia. Naishukuru Serikali, fidia nimepata kwahiyo mpaka hapa sina neno na Serikali” amesema Daudi Deodatus Lyambu aliyekuwa mkazi wa Ngombo ambaye sasa amehamia Kijiji cha Biro.

Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 17 Februari, 2023 Pori la Akiba Kilombero lenye sehemu A na B lilianzishwa kwa Tangazo la Serikali Namba 64 kufuatia kupandishwa hadhi kwa sehemu ya Pori Tengefu la Kilombero kuwa Pori la Akiba.

Aidha, kufuatia kuanzishwa kwa Pori la Akiba Kilombero, masharti na sheria zinazosimamia eneo hilo zilibadilika ambapo shughuli zote za kibinadamu zimesitishwa isipokuwa zile zinazokubalika kwa mujibu wa sheria. Lengo la Serikali likiwa ni kuimarisha usimamizi wa eneo hilo kwa kuhifadhi vyanzo vya maji, misitu na wanyamapori ili kuongeza tija ikiwemo upatikanaji wa maji kwa ajili ya uzalishaji wa umeme katika Bwawa la Mwl. Nyerere.

About the author

mzalendo