marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

pusulabet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

pusulabet

marsbahis

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

pokerklas

marsbahis

perabet giriş

piabet

betoffice

restbet

imajbet

safirbet

goldenbahis

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

gobahis, gobahis giriş

jojobet giriş

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

setrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

meritking giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

cratosroyalbet

casinoroyal

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

perabet giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis

kralbet giriş

belugabahis

สล็อตเว็บตรง

meritking

ultrabet

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

tipobet

mislibet

interbahis

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

Featured Michezo

DR. SAMIA JUMBE HOLIDAY BONANZA KUTIKISA SHINYANGA DESEMBA 31, ZAWADI NONO KUTOLEWA

Written by Alex Sonna
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro akielezea kuhusu mashindano hayo.

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Katika kusherehekea mapumziko ya mwisho wa mwaka, mdau wa michezo Mhandisi James Jumbe ametangaza rasmi kuanza kwa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA ‘Shinyanga Imeamka!’ yatakayofanyika katika wilaya ya Shinyanga. 

Mashindano haya yatakuwa na michezo mbalimbali, huku zawadi za kuvutia zikitolewa kwa washindi.

Akitangaza mashindano hayo pamoja na kukabidhi jezi kwa timu zitakazoshiriki katika mashindano ya mpira wa kikapu leo Ijumaa, Desemba 27, 2024, Mratibu wa mashindano hayo, Jackline Isaro, amesema mashindano yatafanyika tarehe 31 Desemba 2024 kuanzia asubuhi katika uwanja wa CCM Kambarage, mjini Shinyanga.

Michezo Itakayoshiriki

Mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA yatakuwa na michezo mingi, ikiwemo mpira wa kikapu, bao, karata, drafti, msusi mwenye kasi zaidi, mbio za baiskeli, Netball, wavu, PS Game, mchezo wa kufukuza kuku, kushindana kula, pull table na muziki.

Michezo mingine, kama vile mchezo wa bao, karata, drafti, na msusi mwenye kasi zaidi tayari imezinduliwa na mashindano hayo yatafikia tamati siku ya Desemba 31, 2024.

Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro 

Lengo la Mashindano

Mratibu Jackline Isaro amesema kuwa lengo kuu la mashindano haya ni kufufua michezo mkoani Shinyanga na kutoa fursa kwa wachezaji na wadau wa michezo kuonyesha vipaji vyao. 

Isaro amesisitiza kuwa michezo ni muhimu kwa jamii kwa sababu inachangia afya, furaha, na pia ajira.

“Lengo la michezo hii ni kuonesha vipaji vya vijana wetu mkoani Shinyanga, na tunaamini kupitia mashindano haya tutapata wachezaji bora ambao watakuwa na nafasi ya kuendelezwa. Tunajua pia kuwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan anahimiza michezo, na kupitia mashindano haya, tunatarajia kukuza michezo na vipaji katika mkoa wetu,” amesema Isaro.


Zawadi kwa Washindi

Mashindano haya yatatoa zawadi nono kwa washindi, ikiwa ni pamoja na fedha taslimu, ng’ombe, mchele na kreti za soda. Kwa mfano: Mchezo wa mpira wa miguu kati ya Upongoji Sports Club na Upongoji Stars: Mshindi atapata shilingi milioni moja, ng’ombe mmoja, mchele kilo 100, na kreti 10 za soda na Mshindi wa pili atapata shilingi 500,000/=, ng’ombe mmoja, mchele kilo 100, na kreti 10 za soda.

Mchezo wa Mabingwa wa Wilaya (Rangers FC vs Ngokolo FC), Mshindi atapata shilingi 500,000/=, ng’ombe mmoja, mchele kilo 100, na kreti 10 za soda, Mshindi wa pili atapata shilingi 300,000/=, ng’ombe mmoja, mchele kilo 100, na kreti 10 za soda.

Mchezo kati ya Bodaboda FC vs Bajaji FC, Mshindi atapata shilingi 500,000/=, ng’ombe mmoja, mchele kilo 100, na kreti 7 za soda na Mshindi wa pili atapata shilingi 300,000/=, ng’ombe mmoja, mchele kilo 100, na kreti 7 za soda.

Pia, mashindano ya mbio za baiskeli kwa wanaume na wanawake yatakuwa na zawadi kwa washindi kutoka nafasi ya kwanza hadi ya kumi

Washindi wa michezo mingine kama bao, karata, drafti, na msusi mwenye kasi zaidi pia watapata zawadi ya shilingi 100,000/= kila mmoja.

Kwa upande wa Mpira wa pete, mshindi wa kwanza atapata shilingi 500,000=, kreti 7 za soda, na mchele kilo 50, huku mshindi wa pili akiondoka na shilingi 300,000/=, mchele kilo 50, na kreti 7 za soda.

Zaidi ya hayo, zawadi za shilingi 100,000/= zitatolewa kwa washindi wa pull table, huku mashindano ya kufukuza kuku na kushindana kula yatatoa zawadi za kuku na shilingi 20,000/= kwa mshindi upande wa wanawake na wanaume.

Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari

Mratibu Jackline Isaro ametoa wito kwa wananchi wa Shinyanga kujitokeza kwa wingi kushuhudia michezo hii. 

Amesisitiza kuwa hakutakuwa na kiingilio kwa michezo yote, hivyo ni fursa nzuri kwa watu wa Shinyanga kuungana pamoja na kusherehekea mapumziko ya mwaka kwa njia ya michezo.

“Tunawaalika Wanashinyanga wote kujitokeza kwa wingi kushuhudia michezo hii ambayo itafanyika rasmi Desemba 31, 2024 kuanzia asubuhi katika uwanja wa CCM Kambarage. Hakutakuwa na kiingilio cha aina yoyote,” amesema Isaro.

Nao Washiriki wa bonanza hilo akiwemo Mohamed Juma, Ngassa Swaganya na James Edward wameonyesha furaha na shauku kubwa kushiriki bonanza hilo na wakisema ni fursa nzuri kuonesha vipaji vyao.

Mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA ni fursa muhimu kwa kuendeleza michezo mkoani Shinyanga na kutangaza vipaji vya vijana. 

Pamoja na burudani ya michezo, zawadi za kuvutia zinatoa motisha kwa washiriki na kuhamasisha jamii kushiriki katika shughuli za kijamii zinazochangia maendeleo ya afya na ustawi wa watu.

Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro akielezea kuhusu mashindano hayo. Picha na Kadama Malunde
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro akiwa na viongozi wa timu zitakazoshiriki katika mashindano ya mpira wa kikapu 
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro (kushoto) akikabidhi jezi kwa moja ya timu zitakazoshiriki katika mashindano ya mpira wa kikapu Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro (kushoto) akikabidhi jezi kwa moja ya timu zitakazoshiriki katika mashindano ya mpira wa kikapu 
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro (kushoto) akikabidhi jezi kwa moja ya timu zitakazoshiriki katika mashindano ya mpira wa kikapu 
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro (kushoto) akikabidhi jezi kwa moja ya timu zitakazoshiriki katika mashindano ya mpira wa kikapu 
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro (kushoto) akikabidhi jezi kwa moja ya timu zitakazoshiriki katika mashindano ya mpira wa kikapu 
Mwenyekiti wa Timu ya Bodaboda FC, Mohamed Juma akielezea namna walivyojipanga kushiriki mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA
Mwenyekiti Msaidizi wa Chama cha Baiskeli Mkoa wa Shinyanga, Ngassa  Swaganya akielezea namna walivyojipanga kushiriki mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA
Mchezaji wa Basket Ball , James Edward akielezea namna walivyojipanga kushiriki mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA

About the author

Alex Sonna