marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

marsbahis

ngsbahis

betlike

parmabet

batumslot

mislibet

meritbet giriş

nitrobahis

meritbet

jojobet

kulisbet giriş

meritking

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

Featured Kitaifa

BODI YA NBAA YATAKIWA KUFANYA MABORESHO YA MITAALA

Written by Alex Sonna
 

 

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno.

 

Na. Josephine Majura na Peter Haule, WF, Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) ameitaka Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kupitia upya mitaala iliyopo kwa ajili ya uboreshaji wa taaluma inayotolewa na Bodi kwa manufaa ya maendeleo ya Taifa na wananchi wake.

Rai hiyo imetolewa katika ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam wakati akizindua Bodi mpya ya NBAA itakayofanya kazi kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2024 hadi 2027.

Mhe. Chande alisema kuwa kazi kubwa ya Bodi hiyo ni kusimamia na kukuza tasinia ya uhasibu nchini ili kuhakikisha inatoa mchango stahili katika kukuza Uchumi kupitia huduma za kihasibu na ukaguzi wa hesabu za ndani katika taasisi na mashirika mbalimbali.

Vilevile, Mhe. Chande amesisitiza kufanya kazi kwa uadilifu na uzalendo kwa nchi kwa kuwa nguzo kuu ya Wahasibu na Wakaguzi wa mahesabu ni kufanya kazi bila upendeleo na kwa kushirikiana.

Ameitaka Bodi ya NBAA kuendelea kufanyakazi kwa kuzingatia Sheria, taratibu na Kanuni zilizoiunda Bodi ili kusadifu malengo ya kuanzishwa kwa Bodi hiyo.

Aidha Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Chande amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumteua Mwenyekiti wa Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kuanzia Novemba nane mwaka huu.

“Imani yaetu ni kuwa Bodi hii mpya ya NBAA italeta matokeo Chanya ambayo Serikali inayatarajia kwa ujenzi wa Taifa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Kituo cha NBAA Makao Makuu ya nchi Dodoma”, alisema Mhe. Chande. 

Alisema kuwa Mhe. Rais ameidhinisha shilingi bilioni 29.8 kati ya shilingi bilioni 30 zilizoombwa na Bodi hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Kituo hicho Dodoma na anaamini watakwenda kujenga ofisi nzuri na ya kisasa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NBAA, CPA, Prof. Sylivia Temu amesema kuwa Mwenyekiti wa Bodi aliyeteuliwa na Mhe. Rais na Wajumbe walioteuliwa na Waziri wa Fedha wanakazi ya kuhakikisha wanachama wake wanazingatia vigezo vya kimataifa katika kuandaa mahesabu ambayo yanatumiwa na wadau mbalimbali.

Pia kuhakikisha Wakaguzi wa Hesabu wanazingatia vigezo vya kimataifa ili kutoa taarifa zinazoaminika kwa wawekezaji ili kuendeleza jitihada chanya za maendeleo ya nchi katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi.

“Nchi yetu inakuwa na sasa ipo katika uchumi wa kati wa ngazi ya chini, sisi kama wahasibu tunaungana na juhudi za Serikali katika kutoa taarifa za kihesabu zinazoaminika zitakazo wavutia wawekezaji ili kuondoa mashaka katika suala la uwekezaji.

Prof. Temu amesema kuwa Bodi ya NBAA itatekeleza maagizo yote yaliyotolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Chande kwa kuwa yanachochea utendaji kazi na kuleta ufanisi wenye tija kwa Taifa.

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno, baada ya kuwasili kwa ajili ya halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (katikati) akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno.

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na Menejimenti ya Bodi hiyo wakipitia nyaraka mbalimbali kabla ya kuanza kwa hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo, uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akiteta jambo na Mhasibu Mkuu wa Serikali CPA, Leonard Mkude, ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), baada ya kumalizika kwa halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu baada ya kumalizika kwa halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), (katikati) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno, wakielekea kwenye ukumbi kwa ajili ya halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) baada ya hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Sylvia Temu, Mjumbe wa Bodi CPA Fredrick Msumali na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno na Mhasibu Mkuu wa Serikali CPA, Leonard Mkude ambaye ni Mjumbe wa Bodi hiyo. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WF, Dar es Salaam).

About the author

Alex Sonna