Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

nitrobahis

mavibet giriş

kavbet giriş

mavibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10

piabellacasino

nerobet

cratosroyalbet

nitrobahis

mavibet giriş

mavibet

Meritking

meritking

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

meritbet giriş

tipobet

kavbet

mavibet

jojobet giriş

marsbahis giriş

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

betgar

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

turkey dental implants cost

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

dental implants turkey clinics

casibom güncel giriş

betflix giriş

turkey dental implants

deneme bonusu

wbahis

imajbet

grandpashabet

jojobet

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis

Hacklink panel

zirvebet

holiganbet

Google

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

matbet

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

betflix

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

jojobet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

goldenbahis

coinbar

betcio, betcio giriş

galabet, galabet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

Featured

WAZIRI SIMBACHAWENE AZIDI KUSISITIZA UZINGATIWAJI WA MAADILI KWA WATUMISHI WA UMMA

Written by Alex Sonna
WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akizungumza leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma  wakati akifungua kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo kwa siku tatu.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene (hayupo pichani) wakati akifungua kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma kwa siku tatu.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene (hayupo pichani) wakati akifungua kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma kwa siku tatu.

Naibu Waziri Ofisi wa Raisi,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bwana Deus Clement Sangu,akizungumza  wakati wa kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma kwa siku tatu.

Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimeti ya Utumishi wa umma na utawala bora na Mwenyekiti na Mratibu Mkuu wa Kikao hicho Bw.Juma Mkomi,akitoa taarifa ya kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma kwa siku tatu.

 Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Utumishi wa Umma Bi.Felister Shuli,akizungumza  wakati wa kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma kwa siku tatu.

   

WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo kwa siku tatu.
Na.Alex Sonna-DODOMA
WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,amekemea tabia ya baadhi ya Maafisa Rasilimaliwatu nchini  wanaokataa watumishi wanaopangiwa majukumu katika maenee yao ya kwa mujibu wa sheria.
Mhe.Simbachawene,ametoa kauli hiyo leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma  wakati akifungua kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma ambapo amesema wapo baadhi ya viongozi ambao hukataa watumishi kwa kuwa hawakutokana na wao hali inayosababisha shughuli za serikali kutofanyika kwa ufanisi.
Amesema Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imeendelea kupokea malalamiko ya watumishi wanaokataliwa kupokelewa katika vituo wanavyohamishiwa au kuajiriwa.
“Siku za hivi karibuni, kuna mambo yemejitokeza ambayo sio ya kawaida na ni mapya kabisa katika utumishi wa umma.  Baadhi ya mambo hayo ni kwa Waajiri kuchagua aina ya watu wa kufanya nao kazi, kutopokea, kukataa na kuficha barua zenye maelekezo mahsusi ikiwemo barua za uhamisho (kuhamia na kuhama).”
Ameongeza kuwa “Ninyi mliopo humu ndio washauri wakuu wa Waajiri wenu.  Haya yanayofanyika ni kinyume cha utaratibu na ni utovu wa nidhamu, na hayavumiliki endapo kweli tunataka kujenga utumishi wa umma na hapa nitoe melekezo kwa utaratibu huu mpya uachwe kwa kuwa kinachofanyika ni kinyume na utaratibu.”amesisitiza Mhe.Simbachawene
Aidha amesisitiza umuhimu wa kuzingatia kwa maadili kwa Watumishi wa Umma kwani kumekuwa na malalamiko ya uvunjifu wa maadili kama vile uwepo wa Rushwa,lugha zisizofaa na udanganyifu wa nyaraka kama vile kughushi barua za masuala mbalimbali ya kiutumishi.
“Nawatka  wote wanaojihusisha  na tabia hizo kuacha mara moja na Taasisi ambazo Watumishi wake wamaebainika kuwa na mapungufu yaliyoanishwa mamlaka ya nidhamu ya watumishi katika Taasisi hizo ichukue hatua stahiki dhidi ya watumishi hao kwa majibu wa taratibu za Utumishi wa Umma. “amesema Waziri Simbachawene
Hata hivyo  ameongeza kuwa Serikali inatambua wajibu wa watumishi wa Umma unaendana na haki zao,hivyo Serikali kupitia ofisi hiyo kwa mwaka 2023/2024 imewapandisha vyeo watumishi 229,159,kuwabadilisha kada Watumishi 9,654 na kutoa nyongeza ya mshahara wa mwaka Watumishi wake na kutoa vibali vya ajira kwa kada mbalimbali.
” Serikali imetoa nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi wake na itaendelea kuboresha maslahi ya watumishi kulingana na uwezo wa uchumi. Ni jukumu lenu kama wasimamizi wa watumishi wa Umma kuendelea kuwasimamia watumishi walio chini yenu kwa kuwaelimisha kuhusu haki na wajibu wao ili wanapodai haki wajue kuwa kuna wajibu wanapaswa kuwa wametekeleza”amesema 
 Amesema kuwa  Katika mwaka wa Fedha 2024/2025 Serikali imetoa kibali cha kuajiri watumishi arobaini na tano elfu na themanini (45,080) wa kada mbalimbali, kati yake watumishi elfu kumi mia tatu tisini na sita (10,396) ni wa Kada za Afya, watumishi elfu kumi mia tano tisini (10,590) wa kada za Ualimu na Watumishi elfu ishirini na nne na tisini na nne (24,094) wa Kada nyingine.
“Nimetaarifa kuwa mchakato wa ajira wa watumishi wa kada za Afya umekamilishwa na watumishi hao tayari wameshapangiwa vituo vya kazi. Niwatake waajiri kuhakikisha wanawapatia mafunzo ya awali, kuwalipa stahiki zao na wanawajengea uwezo.  Vilevile, ni wajibu wa Waajiri wote kutenga bajeti kwa ajili ya Ajira mpya kulingana na mahitaji halisi ya Taasisi zao”.amesema
Pia Katika kutekeleza dhana ya uwazi na uwajibikaji Ofisi ninayoiongoza imeweka Mifumo ya uwazi na uwajibikaji kupitia “Sema na waziri utumishi” na e-Mrejesho ili kupokea mrejesho wa watumishi na wananchi kwa ujumla.
Aidha, kwa sasa Ofisi inaendelea na usanifu wa Daftari la Kielekroniki la Huduma za Serikali (Government Service Directory) ambalo baada ya kukamilika kwake itawezesha wananchi na watumishi kufahamu huduma zinazotolewa na Taasisi za Umma, gharama kama zipo na michakato ya kufuatwa katika kupata huduma hizo. Uwepo wa Daftari hilo utasaidia kudhibiti Vishoka wanaoingilia huduma zinazotolewa na Serikali kwa sababu huduma zote zinazotolewa na Serikali zitakuwa wazi.
Kwa upande wake Naibu Waziri Ofisi wa Raisi,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bwana Deus Clement Sangu amesema kuwa kikao hicho kinatoa fursa ya kuweka msisitizo wa uzingatiaji wa Sheria,Kanuni,Taratibu na Miongozo katika usimamizi wa Rasiliamali watu katika Utumishi wa Umma. 
Awali akitoa taarifa ya Kikao hicho Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimeti ya Utumishi wa umma na utawala bora na Mwenyekiti na Mratibu Mkuu wa Kikao hicho Bw.Juma Mkomi,amesema kuwa kayika kikao hicho cha siku tatu mada mbalimbali zijadiliwa pamoja na kukumbushana umuhimu wa utumishi wa umma..
“Mheshimiwa Mgeni, kikao hiki kinatoa fursa ya  kutoa maelekezo muhimu kwa washiriki kuhusu masuala mbalimbali ya utawala na usimamizi wa Rasiliamali watu katika Utumishi wa Umma, kuweka maazimio mbalimbali ya kiutendaji kwa lengo la kuboresha zaidi utawala na usimamizi wa Rasiliamali watu katika Utumishi wa Umma, kueleimisha juu ya masuala mtambuka yanayohusu Afya ya Akili,fursa za uwekezaji kwa watumishi wa umma na umuhimu wa maadili katika kuweka mazingira bora ya usimamiz wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa umma “.amesema Bw.Mkomi

About the author

Alex Sonna