Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

betper

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

holiganbet

betpark

maxwin

jojobet

jojobet

atlasbet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

betpark giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

INEC YASISITIZA UWAZI UBORESHAJI WA DAFTARI

Written by mzalendo

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati wa  mafunzo kwa watendaji wa ubioreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoa wa Mbeya uliofanyika leo Desemba 16, 2024.

Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kushoto)
akizungumza jambo wakati wa  mafunzo kwa
watendaji wa ubioreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu
la Wapiga Kura mkoa wa Mbeya uliofanyika leo Desemba 16, 2024. Pamoja nae ni
Mkurughenzi wa Uchaguzi wa INEC, Bw. Kailima Ramadhani. 

Mwenyekiti
wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele
(katikati) akizungumza jambo wakati wa
mafunzo kwa watendaji wa ubioreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoa wa Mbeya uliofanyika leo Desemba 16,
2024. Kulia ni Mjumbe wa INEC, Mhe. Dkt Zakia Mohamed Abubakar na kushoto ni
Mkurughenzi wa Uchaguzi wa INEC, Bw. Kailima Ramadhani. 

Mrakibu msaidizi wa Uhamiaji Gerhard Mardai akiwasilisha mada kuhusua uaraia wakati wa mafunzo hayo. 

Washiriki wakifuatilia mafunzo hayo.

Na Mwandishi Wetu 

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema uwepo wa mawakala kwenye vituo vya kuandikisha wapiga kura ni kielelezo cha uwazi kwenye zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
 
Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo ya watendaji wa uboreshaji wa Daftari ngazi ya mkoa mkoani Mbeya, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele amesema pamoja na kuhakikisha zoezi linafanyika kwa uwazi mawakala hapo pia watasaidia kuwatambua wananchi wanaoomba kuandikishwa. 
 
“Wakati wa uboreshaji wa Daftari mawakala wa vyama vya siasa wataruhusiwa kuwepo katika vituo vya kuandikisha wapiga kura. Jambo hili ni muhimu kwani litasaidia kuleta uwazi katika zoezi zima lakini pia mawakala hao watasaidia kutambua waombaji wa eneo husika hivyo kupunguza kutokea kwa vurugu zisizokuwa za lazima,” amesema Jaji Mwambegele. 
 
Ameongeza kuwa mawakala hao hawaruhusiwi kuwaingilia watendaji wakati wote wa utekelezaji wa majukumu yao vituoni. 
 
Akizungumza wakati wa kufungua mkutano kama huo mkoani Iringa, Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amesema katika kuhakikisha zoezi hilo linakuwa la uwazi Tume imetoa kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uboreshaji wa Daftari kwa asasi za kiraia 157 na asasi za kiraia 33 kwa ajili ya uangalizi wa zoezi hilo.
 
“Ni muhimu kutoa ushirikiano kwa asasi hizo zitakapofika kwenye maeneo yenu kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao.  Tume itawapa vitambulisho kwa urahisi wa kuwatambua,” amesema Jaji Mbarouk. 
 

Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uboreshaji wa Daftari mkoani Mbeya, Iringa na mkoa wa Dodoma kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa ambapo uboreshaji utafanyika kwa siku saba kuanzia tarehe 27 Desemba, 2024 hadi tarehe 02 Januari, 2025 na vituo vitafunguliwa saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua mafunzo kwa watendaji wa uboreshaji ngazi ya mkoa, Mkoani Iringa leo Desemba 16, 2024 ikiwa ni sehemu ya maandalizi kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Uboreshaji huo utafanyika Mkoani Mbeya, Iringa na mkoani Dodoma kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuanzia tarehe 27 Desemba, 2024 hadi tarehe 02 Januari, 2025 ambapo vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.

Mkuu wa Kitengo cha Huduma za sheria, Selemani Mtibora akizungumza jambo wakati wa mafunzo mkoani Iringa. 

Washiriki wa Mkoa wa Iringa wakifuatilia mafunzo hayo.

Washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa uboreshaji ngazi ya Mkoa kutoka halmashauri zote za mkoa wa Iringa wakila kiapo cha kujitia uanachama na kutunza siri kabla ya kuanza kwa mafunzo hayo leo Desemba 16, 2024. 

Washiriki
wa mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa uboreshaji ngazi ya Mkoa kutoka
halmashauri zote za mkoa wa Mbeya wakila kiapo cha kujitia uanachama na kutunza
siri kabla ya kuanza kwa mafunzo hayo leo Desemba 16, 2024. Walikula kiapo
mbele ya Hakimu Mkazi wea Mahakama ya Mwanzo Mbeya, Mhe, Upendo Moshi.

Washiriki
wa mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa uboreshaji ngazi ya Mkoa kutoka
halmashauri zote za mkoa wa Mbeya wakila kiapo cha kujitia uanachama na kutunza
siri kabla ya kuanza kwa mafunzo hayo leo Desemba 16, 2024. Walikula kiapo
mbele ya Hakimu Mkazi wea Mahakama ya Mwanzo Mbeya, Mhe, Upendo Moshi.

About the author

mzalendo