Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

millibahis giriş

betlivo

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

marsbahis

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

timebet

betpas

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

süratbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

bodrum escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10 sorunsuz giriş

betsat giriş

sekabet güncel giriş

casinoroyal

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

matbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

goldenbahis

ngsbahis

betpuan

restbet

yakabet

betplay

deneme bonusu

Featured Kitaifa

TUME YA MADINI YASEMA “BARRICK NA TWIGA MKO VIZURI UTEKELEZAJI WA SERA YA MAUDHUI YA NDANI (LOCAL CONTENT)”

Written by Alex Sonna
Mwenyekiti wa Tume ya Madini nchini, Bi Janet Lekashingo akizungumza na wafanyakazi na mameneja wa Mgodi wa Bulyanhulu wakati wa semina ya mafunzo ya siku moja kuhusu utekelezaji wa maudhui ya ndani (Local Content) na Uwajibikaji wa Jamii wajibu (CSR) iliyofanyika katika mgodi wa Bulyanhulu
Meneja Mkuu wa Barrick Bulyanhulu, Bw Victor Lule akieleza jambo wakati wa semina hiyo.
Ujumbe kutoka Tume ya Madini wakionyeshwa vifaa vya teknolojia ya kiditali ya uchimbaji mgodi wa Barrick Bulyanhulu
Ujumbe kutoka Tume ya Madini wakionyeshwa vifaa vya teknolojia ya kiditali ya uchimbaji mgodi wa Barrick Bulyanhulu
Baadhi ya Washiriki katika semina wakifuatilia mada mbalimbali
Picha ya pamoja ya washiriki wa semina na Mwenyekiti wa Tume ya Madini nchini, Bi Janet Lekashingo
 
***
Tume ya Madini imeipongeza Migodi ya Barrick ambayo inaiendesha kwa ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga kwa kutekeleza vyema sera ya maudhui ya ndani (Local content) na kuwawezesha Watanzania kushiriki katika kufanya biashara na makampuni ya uchimbaji madini, uwekezaji kwenye sekta husika na kuboresha ustawi wa jamii na uchumi kwenye maeneo yanayozunguka migodi hapa nchini.
 
Akizungumza katika semina ya mafunzo ya siku moja kuhusu utekelezaji wa maudhui ya ndani (Local Content) na uwajibikaji kwa Jamii (CSR) katika mgodi wa dhahabu wa Barrick Bulyanhulu, Mwenyekiti wa Tume ya Madini nchini, Bi Janet Lekashingo, amesema kuwa lengo la Serikali kuanzisha kanuni za muadhui ya ndani (Local Content) na Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) ni jitihada za kuhimiza uendelevu, ushirikishwaji na kutoa sehemu ya faida kwa jamii inayozunguka migodi husika.
 
“Hii sio tu kutimiza majukumu, bali ni kuunda mustakabali ambapo uchimbaji madini utakuwa na matokeo chanya na endelevu. Tangu kuanzishwa kwake, Tume ya Madini imekuwa mstari wa mbele na imara katika kuhakikisha kwamba bidhaa na huduma za watanzania zinapewa kipaumbele katika sekta hii,” amesema.
 
Amesema kwamba kwa kuweka kipaumbele kwenye maudhui ya ndani (Local Content) Tume hiyo imeona ongezeko kubwa la watanzania wanaonufaika moja kwa moja kutoka kwenye sekta ya madini ni ishara wazi ya maendeleo ukilinganisha na miaka iliyopita.
 
Amesema utekelezaji wa maudhui ya ndani ni kuhusu kuiwezesha jamii – kutengeneza ajira, kukuza biashara za ndani na kuboresha maisha ya watu wanaozunguka maeneo ya uchimbaji madini kwa kuwashirikisha moja kwa moja na njia isiyo ya moja kwa moja katika shughuli za biashara na uchimbaji madini.
 
“Tunapoanza semina hii, tukumbuke umuhimu wa maudhui ya ndani (Local Content) katika kufungua uwezo wa Tanzania. Hizi kanuni ni daraja linalowaunganisha watanzania kupata ujuzi wa kimataifa na za ndani, kuhakikisha kwamba sekta ya madini inakuwa nguzo ya maendeleo endelevu ya kitaifa,” ameeleza.
 
Alisema alifurahi sana kuona kuwa Mgodi huo Bulyanhulu na migodi mingine ya Barrick mameneja wake wote ni watanzania na aliwashauri makampuni mengine ya uchimbaji madini kuzingatia utekelezaji wa maudhui ya ndani.
 
“Ni muhimu kwa kampuni kuwawezesha wazabuni wa ndani kama sehemu ya jitihada za serikali na makampuni ya madini kujenga uwezo, kuunda na kukuza uelewa wa pamoja na ushirikiano”,amesema.
 
Bi. Lekashingo, ameshauri Migodi ya Barrick na Twiga kulenga miradi endelevu inayochangia ukuaji wa uchumi badala ya kuendelea kuagiza vipuri kutoka nje ni muhimu kuanza jitihada za kuanzisha viwanda vya vipuri hapa nchini.
 
Amesisitiza kuwa serikali iko makini kuona kuanzishwa kwa viwanda vinavyohudumia sekta ya madini kwa vile tayari eneo maalum la uchumi na uwekezaji limeshatengwa la Buzwagi kwa ajili ya wawekezaji wa ndani na nje kuja kuwekeza kwenye eneo hilo maalum kwa ajii ya kujenga viwanda.
 
Amesema pia wanapaswa kutafuta njia mbadala za kuanzisha viwanda vya vipuri ambavyo vitatoa ajira kwa watanzania na tutaweza kuuza nje ya nchini hivyo vipuri kwenye nchini zenye shughuli za uchimbaji wa madini kama vile DRC Congo.
 
Kwa upande wake, Meneja Mkuu wa Mgodi wa Bulyanhulu, Bw. Victor Lule, amesema kampuni hiyo alishukuru Serikali kwa kuanzisha sera hiyo ambayo kwa kiasi kikubwa imeanza kupata mafanikio kwa kuwanufaisha Watanzania wengi.
 
“Kwa sasa, tuko kwenye njia sahihi kwani takwimu zinaonyesha kuwa asilimia 82 ya manunuzi yetu ilifanywa na wasambazaji wa ndani, wakati asilimia 12 iliyobaki ilifanywa na wasambazaji wa kigeni. Tunaendelea kutekeleza kile tunachosema kuhusu utekelezaji wa maudhui ya ndani.”
 
Amesisitiza kuwa kampuni ya uchimbaji madini itaendelea kuwaelimisha wafanyabiashara na wasambazaji wa ndani jinsi ya kufanya biashara na makampuni ya madini jinsi ya kusajili kampuni zao na kushiriki katika semina, warsha na mikutano ili kujenga uelewa na uhusiano wa pamoja na endelevu.
 
Bwana Lule ameeleza kuwa kampuni hiyo Barrick Twiga asilimia 96 ya wafanyakazi wake ni watanzania, baadhi yao wakiwa katika ngazi ya uongozi, jambo ambalo ni Ushahidi tosha kwamba mgodi huo inakuza falsafa ya maudhui ya ndani. (local Content)
 
Ameongeza kuwa ni muhimu kwa wazabuni wa ndani kuwa waaminifu, wachapakazi na kutekeleza kazi na kukabidhi ndani ya muda wa makubaliano . aliongeza baadhi ya wasambazaji wa ndani walishindwa kutimiza majukumu yao na wakati mwingine walileta bidhaa chini ya viwango.
 
Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Madini na Biashara kutokaTume ya Madini, Bw Venance Kasiki, ameipongeza Barrick na Twiga kwa utekelezaji wa maudhui ya ndani kwa ufanisi, lakini pia akishauri kuzingatia kusaidia na kuwekeza kwenye miradi mikubwa na endelevu inayohusisha jamii.
 
Ameongeza kusema kuwa Tume ya Madini imekuwa na mikutano kadhaa na taasisi za kifedha nchini benki za ndani kuanza kuwawezesha wazabuni wa ndani katika sekta ya madini kama vile kutoa mikopo kama hatua za awali za kurahisisha utekelezaji wa maudhui ya ndani.
 
“Tuna mikutano kadhaa na majadiliano na benki mbalimbali nchini kama vile CRDB, NMB na nyingine ili kuanza kuangalia sekta ya madini kama sekta inayokua kwa kasi na yenye matokeo Chanya na si hatari tena,” amesema.

About the author

Alex Sonna