Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

WAZIRI SIMBACHAWENE AZINDUA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU

Written by Alex Sonna

Waziri  wa  Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akizindua  Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa kwa mwaka 2024.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SERIKALI imezindua Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Kitaifa kwa mwaka 2024, kilele chake kitafanyika Disemba 10,mwaka huu ambayo itatumika  katika kufanya tathmini na utatuzi wa changamoto mbalimbali za kisheria kwa wahitaji hasa kwenye magereza na masuala ya utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa nchini. 

Akizindua madhimisho hayo leo Disemba 5,2024 jijini Dodoma Waziri  wa  Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene,amesema mwaka huu maadhimisho hayo yatafanyika tofauti kidogo.

“Kwa muda wa miaka miwili mfululizo maadhimisho haya yamefanyika kwa mtindo wa wiki ya huduma kwa umma ambapo wananchi walipata fursa ya kukutana ana kwa ana na watoa huduma na kupata huduma katika viwanja vya Nyerere Square hapa jijini Dodoma.”amesema Waziri Simbachawene

Aidha ameongeza kuwa mwaka huu wa 2024, maadhimisho haya yatafanyika tofauti kidogo ambapo Watumishi wa Umma watafanya kongamano kujitathmini kuhusu uzingatiaji wa haki za binadamu na kuepuka rushwa wanapotoa huduma kwa umma.

“Lengo  la Kongamano hilo ni kuwapa fursa watoa huduma ambao ni Watumishi wa Umma kujitathmini ni kwa namna gani wanatekeleza jukumu la Serikali la Ustawi wa Wananchi kwa kuzingatia Haki za Binadamu na kuepuka vitendo vya rushwa na  namna wanavyowajibika kwa Umma.”amesema

Hata hivyo ameeleza kuwa katika Kongamano hilo, zitawasilishwa na kujadiliwa mada mbili ambazo ni “Haki za Binadamu katika Mapambano Dhidi ya Rushwa” na “Maadili, Haki na Wajibu wa Watumishi wa Umma.”. 

Katika hatua nyingine Simbachawene,amesema  katika maadimisho ya mwaka huu taasisi zinazosimamia  utawala bora zitafanya ziara katika magereza ya Kongwa na Mpwapwa mkoani Dodoma na kuwasikiliza wafungwa na mahabusu na kutoa misaada ya kijamii.

Waziri Simbachawene amesema kupitia vyombo mbalimbali vya habari zikiwemo redio, runinga na mitandao ya kijamii, viongozi na watumishi wa taasisi zinazoratibu maadhimisho haya watatoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali yahusuyo Maadili, Haki za Binadamu na juhudi dhidi ya Rushwa.

Pia Waziri Simbachawene amezitaja taasisi zinazoshirikiana katika kuadhimisha Siku hiyo  ni pamoja na Ofisi ya Rais, Ikulu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Wizara ya Katiba na Sheria, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Tume ya Utumishi wa Umma, Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani.

“Maadhimisho hayo yatafanyika katika ngazi za Kanda kwa kushirikisha taasisi hizo kwa maeneo yale ambapo Taasisi nilizozitaja hapo juu zina ofisi.”amesema

 

About the author

Alex Sonna