Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

WANANCHI KIJIJI CHA NSEKWA WILAYANI MLELE WAIPONGEZA TARURA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI

Written by Alex Sonna

 

Mlele, Katavi

Wananchi wa Kijiji cha Nsekwa, Kata ya Nsekwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wametoa pongezi zao kwa Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kutengeneza barabara za lami Kilomita 3.73 ili kuwezesha shughuli za usafiri na usafirishaji.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wananchi hao wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha kupata barabara za lami katika kijiji chao ambazo zimeweza kuwasaidia katika shughuli zao za kila siku.

Diwani wa Kata ya Nsekwa, Mhe. Elijius Malando alisema, barabara hizo zimewasaidia wafanyabiashara kufika kijijini kwao kununua asali, karanga na mahindi ambapo kwa niaba ya wananchi ameishukuru serikali kwa kujenga barabara inayoanzia makao makuu ya Wilaya kuja kijiji cha Nsekwa kwani imewasaidia wananchi kuzifikia huduma za kijamii kwa urahisi.

“Wananchi wamefurahi wanasafirisha bidhaa zao kwa urahisi na biashara zimeongezeka watu wamefungua maduka, tunamshukuru Rais Samia kwa barabara za lami ambazo zimewakomboa wajawazito waliokuwa wanajifungulia njiani kwasasa wanafika hospitali ya wilaya kwa urahisi”, alisema Mhe. Malando.

Naye, Mkazi wa kijiji cha Nsekwa Bw. Deogratius Nicholaus alisema, hapo awali usafiri ulikuwa shida walikuwa wanatumia nauli ya pikipiki shilingi 10,000 lakini sasa nauli ni shilingi 5000, pia walikuwa wanatumia masaa mawili hadi matatu kufika mjini lakini sasa wanatumia dakika 45 kufika mjini.

“Tunaishukuru serikali kutupatia barabara sasa tunafanya biashara kwa urahisi, kabla ya lami kulikuwa na michanga mingi, kutoka kijijini kwenda Inyonga tulikuwa tunatumia masaa mengi kupeleka wagonjwa na kufuata huduma za kijamii lakini sasa tunapita kwa urahisi”, alisema.

Kwa upande wake, Bi. Anusiata Simon mkazi wa kijiji cha Nsekwa, ameishukuru serikali kwa kujenga barabara ambazo zimerahisisha usafiri wa kutoka kijijini kwenda Inyonga hadi Mpanda na amesema kwasasa wakiagiza bidhaa zinafika kwa wakati na wanafanya biashara hadi usiku kwa sababu ya taa za barabarani zilizowekwa ambazo zimeongeza usalama na kijiji kimependeza.

Meneja wa TARURA Wilaya ya Mlele, Mhandisi Paul Mabaya, ameishukuru serikali kwa kuwapatia fedha takribani Bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa barabara za lami Km 3.73 ambazo ni barabara ya Inyonga-Nsekwa Km 2, Mapili-Utene Km1 na Uzega-Kafulu Km 0.73 zilizopo Kijiji cha Nsekwa katika Halmashauri ya Mlele ambapo barabara ya Utene na Inyonga mradi umekamilika asilimia 100 upo katika kipindi cha matazamio cha mwaka mmoja.

About the author

Alex Sonna