Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

WAZAZI WATAKIWA KUTOKUACHA KUFANYA MAJUKUMU YA KUSIMAMIA WATOTO

Written by mzalendo

Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Mhe. Amina Talib Ali ametoa wito kwa wazazi kutoacha kufanya majukumu yao ya kuwasimamia na kuwalinda watoto badala yake kuwatelekeza na kuwafanya kuwa watoto wa mtaani.

Hayo ameyasema wakati wa kumaliza ziara ya Siku sita katika Mkoa wa Kagera ya Kukusanya maoni ya Uandaaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na Biashara hususani katika eneo la Haki za Watoto kutoka kwa wadau mbalimbali.

Mhe. Amina amesema kuwa katika maeneo ambayo THBUB ilipita hasa katika maeneo ya ziwani (Mwalo) na Vituo vya Kulelea Watoto wanaoishi katika mazingira magumu THBUB imebaini kuwepo kwa changamoto ya kuongezeka kwa watoto wa mtaani.

“Watoto hao wana haki kama watoto wengine hivyo ni jukumu la kila mzazi au mlezi kuhakikisha mtoto anapata haki zake zote kama zilivyoainishwa katika Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009”

Aidha, Mhe. Amina amelishukuru na kulipongeza Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto – UNICEF TANZANIA kwa kuwa mstari wa mbele katika kuchangia jitihada za Serikali kulinda haki za watoto.

Kwa upande wake Bw. Jovith Paschale, msimamizi wa kituo cha kulelea watoto Wanaoishi katika mazingira magumu kinachoitwa Tumaini Children Centre ameeleza kuwa Kituo chao kinapokea watoto wa aina mbalimbali wakiwemo waliotekelezwa na Wazazi na wengine walioamua kukimbia nyumbani kutokana sababu mbalimbali zikiwemo umaskini, ukatili, migogoro ya ndoa na familia, na kutowajibika kwa wazazi na walezi katika kuwatunza watoto na kuwapatia malezi bora.

Bw. Paschale alieleza kuwa hata hivyo kituo cha Tumaini huwa kinatoa elimu kwa viongozi wa ngazi ya chini inayolenga kusimamia mienendo na tabia za watoto.
“Lakini pia viongozi hawa wamekua msaada sana katika kubainisha watoto wa mtaani” amesema Bw. Paschale.

Ziara ya THBUB Mkoani Kagera ilianza Septemba 23 hadi 27, 2024 na imefanikiwa kutembelea na kufanya mazungumzo na Wawakilishi wa Wavuvi katika Mwalo wa Nyamukazi uliopo katika Manispaa ya Bukoba na Igabilo uliopo katika Halmashauri ya Wilaya Bukoba,kufanya mazungumzo na Menejimenti ya Kiwanda cha Kagera Sugar,Asasi za Kiraia,Wakulima wa Miwa na jamii inayozunguka mashamba ya miwa.

About the author

mzalendo