Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

holiganbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

casibom giriş

holiganbet

bets10

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

starzbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat giriş

jojobet

radissonbet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casinomaxi

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

test

jojobet

jojobet

marsbahis

Featured Kitaifa

DKT. BITEKO AITAKA BODI YA TANESCO KUENDELEZA VYANZO MSETO VYA UMEME

Written by mzalendo

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.

Serikali imesema kuwa nishati ya umeme ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kiuchumi ya Taifa na kuwa inachochea shughuli za uzalishaji viwandani, huduma na kuboresha maisha ya wananchi. Na ni matarajio ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuona umeme wa uhakika unafika kwa kila Mtanzania ili kuimarisha maendeleo na kuchochea kasi ya ukuaji wa uchumi.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko Septemba 15, 2024 jijini Dar es salaam wakati akizinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).

‘’ Namshukuru na kumpongeza Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake mahiri na ufuatiliaji wake wa karibu wa utendaji kazi wa wizara na taasisi za Serikali ili ziweze kutimiza vyema majukumu yake. Tunafurahi kuwa Bodi hii iliteuliwa wakati muhimu sana kwa TANESCO. Kwani mradi mkubwa wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) tayari umeanza kuzalisha umeme na megawati 705 tayari zimeingizwa kwenye Gridi ya Taifa,”

Ameendelea “ Ni jukumu la Bodi kuhakikisha kwamba mradi huu unakamilika kwa wakati ili Taifa letu liweze kufurahia matunda yake,’’ amesema Dkt. Biteko.

Amesisitiza ‘’ Ni muhimu kuendelea kusimamia utekelezaji wa miradi mingine ya kimkakati, ikiwemo ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji, mfano mradi wa Malagarasi mkoani Kigoma na miradi mingine ya uzalishaji iliyopo katika hatua za utekelezaji. Pia, kuhakikisha tunaendeleza vyema vyanzo mseto vya umeme ikiwemo mathalani mradi wa umeme wa jua Kishapu mkoani Shinyanga na uendelezaji wa nishati ya jotoardhi nchini.’’

Aidha, Dkt. Biteko ameipongeza Bodi hiyo mpya ya TANESCO kwa kuhakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika na kuitaka kuongeza jitihada za kuimarisha huduma kwa wateja huku akiwataka kutojihusisha na vitendo vya udalali katika zabuni zitakazotangazwa na Shirika.

‘’ Nataka niwahakikishie kuwa Serikali na Watanzania wanataka wapate umeme wa uhakika na walipe kama walivyotumia na sio kulipa kwa gharama kuliko walivyotumia, wanataka nishati safi ya kupikia hivyo mhamasishe pia matumizi ya nishati safi ya kupikia. Sisi Wizarani tumejiwekea kipimo cha kupimana kila robo mwaka tunakutana na kuangalia utekelezaji wa kila taasisi na nyie Bodi sasa wapimeni watu wenu.’’ Amemaliza Dkt. Biteko.

Naye, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amesema ‘’ Tangu kuwepo kwa Bodi hii mpya malalamiko kuhusu TANESCO yamekuwa yakipungua na hii ni ishara kuwa Bodi imekuwa ikisimamia vizuri Shirika.’’ Amesema Mhandisi Mramba.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho amesema kuwa Bodi imekuwa ikipata ushirikiano mzuri kutoka Wizarani sambamba na kupata wajumbe wa Bodi wenye sifa, vigezo na utaalamu kutoka katika nyanja mbalimbali.

Aidha, Dkt. Nyansaho amesema wameendelea kushirikiana na Wizara kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo ya upatikanaji wa umeme ambayo kwa sasa imepungua na hivyo wamejikita katika usambazaji wa umeme.

Akizungumzia kuhusu kuwezeshwa kwa wakandarasi wa wazawa ili waweze kushiriki katika miradi ya TANESCO Dkt. Nyansaho amesema ‘’Ni vizuri katika manunuzi wakandarasi wazawa wapewe uzito kwa sababu inaweza kuwa asilimia kubwa ya fedha inaenda nje ya nchi, hii haimaanishi tusiwape wageni zabuni kubwa ila baadhi ya sehemu tuwape watu wa ndani na wakiwezeshwa wanaweza kusaidia kuchachua uchumi wa nchi yetu.’’

Pia, Dkt. Nyansaho ameahidi kuwa Bodi yake itaendelea kushirikiana na menejimenti ya Shirika hilo ili kusimamia vizuri rasilimali za Shirika.

Dkt. Biteko aliteua Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) yenye wajumbe nane Machi 18, 2024.

About the author

mzalendo