Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA MSIINGILIE MCHAKATO WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA – JAJI MSTAAFU MBAROUK

Written by mzalendo

Na Gideon Gregory, Dodoma.

Makamu Mwenyekiti wa Tume huru ya taifa ya uchaguzi Jaji Mstaafu Mahakama ya Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk amewasisitiza mawakala na viongozi wa vyana vya siasa kutokuingilia mchakato wa uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kituoni.

Jaji Mstaafu Mbarouk ameyasema hayo leo Septemba 13,2024 Jijini Dodoma wakati akifungua Mkutano wa Tume huru ya taifa ya uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.

“Hivyo niwaombe viongozi wa vyama vya siasa ba wadau wa uchaguzi kwa ujumla kuzingatia sheria za uchaguzi, kanuni za uboreshaji, maelekezo ya Tume na kusimamia miiko na mipaka ya undeshaji wa zoezi la uboreshaji daftari,” amesem.

Aidha, ameongeza kuwa ni vyema wakatumia sheria zilizopo kuwasilisha kwa Tume changamoto zitakazijitokeza, na kuongeza kuwa kwa upande wao watazingatia katiba, sheria ya uchaguzi na kanuni zilizotungwa chini ya sheria katika zoezi hilo la uboreshaji.

Pia amewahimiza wadau hao kupitia majukwaa kwenye majukwaa yao ya kisiasa, kijamii, kitamaduni, kiimani na kiuchumi kuwakumbusha wananchi wajitokeze kwa wingi kujiandilisha na kuboresha taarifa zao kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

“Ni mategemeo yetu kuwa michango na maoni watakayotoa kwenye mkutano huo yatakuwa na manufaa makubwa katika kutekeleza zoezi ambalo lipo mbele yetu,”ameongeza.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi Selemani Mtibora amesema kwa mkoa wa Dodoma kuna vituo 2,721 vitakavyotumika kwenye uboreshaji kwa nwaka huu ikiwa ni ongezeko la vituo 37 katika vituo 2,684 vilivyotumika kwenye uboreshaji mwaka 2019/20.

Mtibora ameongeza kuwa jumla ya wapiga kura 594,494 wanatarajiwa kushiriki zoezi hilo ambapo watakao kosa sifa wataondolewa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

“Hivyo, baada ya uboreshaji inatarajiwa kuwa daftari litakuwa na jumla ya wapiga kura 34,746,638 pia idadi hii inaweza kuongezeka kwa kuwq inawezekana wapo watanzania ambao walikuwa walikuwa na sifa za kuandikishwa kuwa wapiga kura wakati wa daftari la uboreshaji mwaka 2019/20 lakini kwasababu moja au nyingine hawakuweza kujiandikisha kuwa wapiga kura,” amesema.

Naye Mratibu wa uandikishaji Mkoa wa Dodoma Charles Mduma amevielekeza vyama vya siasa kuzingatia mafunzo na maelekezo yanayotolewa na tume yanl uchaguzi ili kila mtu atimize wajibu wake.

“Mafunzo haya ya leo tumepewa majukumu ya kwamba wanasiasa wanajukumu ganj katika zoezi hili la uboreshaji kwahiyo sana sana naendelea kuwaelekeza wafuate na kuzingatia yale yaliyofundishwa ili uchaguzi uweze kwenda vizuri,”amesema.

About the author

mzalendo