marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

klasbahis

savoybetting giriş

goldenbahis

savoybetting

klasbahis giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

sahabet

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

trendbet giriş

bets10

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

trendbet

imajbet giriş

milanobet

imajbet

perabet giriş

perabet

imajbet

kralbet giriş

milanobet giriş

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

kingroyal

trust score weak 3

jojobet

slot siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

superbetin

madridbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

deneme bonusu

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU: SERIKALI YASAJILI MIRADI YA DOLA BILIONI 8.65 NDANI YA MWAKA MMOJA  

Written by Alex Sonna
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara  Pamoja na Nyenzo  za Usimamizi wa  Uwekezaji  kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka kiganja kwenye kishikwambi kuashiria Uzinduzi  wa Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara  Pamoja na Nyenzo  za Usimamizi wa  Uwekezaji . Uzinduzi huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji , Profesa Kitila Mkumbo na kulia ni Naibu Waziri  Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji,  Stanslaus Nyongo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri  wa Nishati Dkt. Doto Biteko wakionesha nakala za Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara  Pamoja na Nyenzo  za Usimamizi wa  Uwekezaji  baada ya Waziri Mkuu kuzindua taarifa hizo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. Wa tatu kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, wa pili kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais  Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo, wa pili kula ni Katibu Mkuu  Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Tausi Kida, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Charamila. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya washiriki wa Uzinduzi wa Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara  Pamoja na Nyenzo  za Usimamizi wa  Uwekezaji wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza katika uzinduzi huo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

 

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ndani ya mwaka mmoja, Serikali imefanikiwa kusajili miradi 9,678 yenye thamani ya dola za Marekani milioni 8,658 hali ambayo inaonesha matokeo chanya ya uwekezaji nchini.

“Miradi 9,678 yenye thamani ya dola za Marekani milioni 8,658 ilisajiliwa mwaka 2023 ikilinganishwa na miradi 8,401 yenye thamani ya dola za Marekani milioni 5,558.47 iliyosajiliwa mwaka 2022,” amesema.

Alitoa kauli hiyo jana usiku (Jumatano, Septemba 11, 2024) wakati akizungumza na wadau mbalimbali walioshiriki hafla ya uzinduzi wa Taarifa tano za Maboresho ya Mazingira ya Biashara na Uwekezaji na Nyenzo za Usimamizi wa Uwekezaji nchini iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. 

Akifafanua kuhusu taarifa ya kwanza ya uwekezaji ya mwaka 2023 ambayo inaonesha takwimu za matokeo chanya ya uwekezaji nchini, Waziri Mkuu alisema miradi hiyo imeweza kuzalisha ajira za moja kwa moja 195,803 ikilinganishwa na ajira 76,841 zilizozalishwa mwaka 2022.

Akielezea juhudi zilizofanywa na Serikali kwenye mipango ya maendeleo ya uwekezaji wa sekta ya umma na sekta binafsi, pamoja na mazingira ya biashara, Waziri Mkuu alisema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali katika kufanya mageuzi ya uendeshaji na usimamizi wa Taasisi na Mashirika ya Umma ili kuhakikisha kwamba yanaendeshwa kwa ufanisi na tija katika kuwahudumia wananchi.

“Suala hili tayari limetolewa maelekezo na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 28 Agosti, 2024 katika kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali. Hivi sasa, Serikali imeridhia mapendekezo ya kutungwa kwa Sheria ya Uwekezaji wa Umma itakayoimarisha na kuweka masharti bora ya usimamizi wa uwekezaji katika Mashirika ya Umma pamoja na kuwa na vyanzo vya uhakika vya fedha kwa ajili ya uwekezaji.”

Alisema Serikali imeendelea kuimarisha matumizi ya mifumo ya TEHAMA ikiwemo Ujenzi wa Mfumo wa Kielektroniki wa Kuhudumia Wawekezaji unaoitwa Tanzania Electronic Investment Window (TeIW) ili kumwezesha mwekezaji kusajili mradi ndani au nje ya nchi na kupata vibali vya uwekezaji ndani ya siku tatu iwapo ametimiza vigezo.

“Awamu kwanza ya ujenzi wa mfumo huu imekamilika na imewezesha kuunganishwa kwa mifumo ya taasisi saba ambazo ni Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA); Idara ya Uhamiaji; Idara ya Kazi; Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA); Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA); Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC),” alisema.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu amezitaka taasisi na mamlaka za Serikali ziharakishe marekebisho ya sheria ambazo zinachangia urahisi wa kufanya biashara ili kuhakikisha kwamba sheria mpya zinawezesha mazingira bora ya biashara na uwekezaji.

“Suala hili liende sambamba na kuweka vipaumbele katika kutoa huduma kwa haraka, kwa ufanisi na kwa kukidhi viwango vya kimataifa. Mamlaka zinapaswa kuwa na mifumo rahisi ya kuwasiliana na wawekezaji na kuondoa vikwazo vilivyopo,” amesisitiza.

Alizitaka taasisi na mamlaka za Serikali ziongeze ushirikiano wa karibu na sekta binafsi kwani inaweza kutoa mawazo na mapendekezo yenye thamani kuhusu maboresho yanayohitajika. “Pia, wekeni  mipango ya kutoa mafunzo na huduma kwa wadau wa biashara ikiwa ni pamoja na uhamasishaji wa matumizi ya nyenzo mpya za usimamizi wa uwekezaji.”

Aliwataka wahakikishe jamii inashirikishwa katika michakato ya uboreshaji ili kupokea maoni yao na kwamba maamuzi yanayochukuliwa yanawiana na mahitaji yao. “Taasisi zote zinazohusika na mazingira ya biashara, zinapaswa kuwekeza katika mifumo ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) ili kuboresha usimamizi wa uwekezaji, kupunguza urasimu na kuongeza uwazi,” alisisitiza Waziri Mkuu.

Ili kupima ufanisi wa maboresho yaliyofanyika na kubaini maeneo yanayohitaji marekebisho, Waziri Mkuu aliwataka washirikiane na wadau kuweka mifumo ya tathmini ya mara kwa mara. “Wekeni mkazo kwenye umuhimu wa kubadilisha mikakati na mbinu kulingana na tathmini za utekelezaji na maoni kutoka kwa wadau,” alisema.

Taarifa tano zilizozinduliwa jana ni pamoja na Taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji; Taarifa ya Taifa ya Uwekezaji kwa Mwaka 2023; Mwongozo wa Kitaifa wa Uendelezaji na Usimamizi wa Maeneo Maalum ya Kiuchumi (SEZ); Mfumo wa Kielektroniki wa Kuhudumia Wawekezaji Kwenye Maeneo Maalum  ya Kiuchumi na Mauzo ya Nje (EPZ); na Mpango Mkakati wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji kwa kipindi cha 2024/2025 – 2025/2026.

 

Mapema, akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na washiriki wa hafla hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo alisema kupitia Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (MKUMBI) maboresho ya kisera ya mazingira ya biashara na uwekezaji yamefanyika ikiwemo kufutwa kwa tozo na kodi zaidi ya 374 zilizobainishwa kuwa ni kero katika sekta za uwekezaji, viwanda, biashara, madini, kilimo, mifugo, uvuvi, maliasili na misitu.

About the author

Alex Sonna