marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betoffice

marsbahis

perabet giriş

interbahis

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

deneme bonusu

Featured Kitaifa

UGONJWA WA FMD WAJADILIWA KUTOVUKA MIPAKA YA NCHI ZA EAC NA SADC

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte akizungumza jijini Dar es Salaam, wakati akifungua mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo ili usivuke mipaka ya nchi. 

Mwakilishi kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) nchini Tanzania, Bi. Nyabenyi Tipo akielezea takwimu ya Mwaka 2013 ambapo ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo umekuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kusababisha hasara ya Dola za Kimarekani (USD) Milioni 11. Bi. Tipo amebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa huo. 

Mwakilishi wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniania (WOAH), Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Neo Mapitse akiwaelezea washiriki wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo, namna ya kuwa na mikakati endelevu ili kufikia malengo waliyojiwekea katika kudhibiti ugonjwa huo. 

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Benezeth Lutege akiwaarifu washiriki wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo, namna serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 ilivyotenga fedha takriban Shilingi Bilioni 28 kwa ajili ya kampeni ya chanjo na utambuzi wa mifugo dhidi ya magonjwa ya homa ya mapafu ya ng’ombe, sotoka ya mbuzi na kondoo pamoja na mdondo. 

Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo, mara baada ya mkutano huo kufunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte (aliyekaa katikati). 

Na. Mwandishi Wetu 

Wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wamekutana kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo ili usivuke mipaka ya nchi.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte akizungumza mara baada ya kufungua mkutano huo leo (10.09.2024) jijini Dar es Salaam, amesema lengo la mkutano huo ni kuhakikisha ugonjwa huo unadhibitiwa kwa kuwa nchi za jumuiya ya EAC na SADC zina mahusiano ya karibu.

Bw. Mhinte ameongeza kuwa Tanzania inajumuika katika jumuiya zote mbili na kwamba imekuwa mwenyeji wa mkutano huo kwa ajili ya kudhibiti ugonjwa huo ambao umekuwa ukivuka mipaka kutoka nchi moja kwenda nyingine.

“Mkutano huu umehusisha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), wataalamu wanakutana kwa ajili ya kujadili ugonjwa huo ili usivuke kwenda nchi moja kwenda nyingine kwa kuwa jumuiya hizo zina mahusiano ya karibu.” Amebainisha Bw. Mhinte.

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) nchini Tanzania, Bi. Nyabenyi Tipo amesema takwimu ya Mwaka 2013 ugonjwa wa FMD umekuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kusababisha hasara ya Dola za Kimarekani (USD) Milioni 11.

Bi. Tipo ameongeza kuwa takriban watu Milioni 700 kote duniani wanategemea Sekta ya Mifugo katika kuendesha maisha yao na kwamba ugonjwa huo umekuwa ukipunguza uzalishaji wa mifugo pamoja na ukuaji wa soko la biashara kwa mifugo na mazao ya mifugo.

Naye Mwakilishi wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniania (WOAH), Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Neo Mapitse amewaomba washiriki wa mkutano huo kwamba kila kitakachojadiliwa lazima kitoe matokeo chanya na endelevu ili kufikia malengo waliyojiwekea katika kudhibiti ugonjwa wa FMD.

Ameongeza kuwa ni wakati wa kuimarisha jitihada za kudhibiti ugonjwa huo kuhakikisha afya na ustawi wa mifugo pamoja na jamii kwa kuondoa mapungufu ambayo hayajafanyiwa kazi na kuwa wazi katika kuyafanyia kazi ili kutoa matokeo chanya.

Aidha, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Benezeth Lutege amewaarifu washiriki wa mkutano huo kuwa katika Mwaka wa Fedha 2024/2025 serikali inatarajia kufanya kampeni ya chanjo na utambuzi wa mifugo dhidi ya magonjwa ya homa ya mapafu ya ng’ombe, sotoka ya mbuzi na kondoo pamoja na mdondo.

Pia, amesema kampeni hiyo yenye kugharimu fedha za kitanzania zaidi ya Shilingi Bilioni 28 ni moja ya mikakati ya serikali katika kudhibiti magonjwa ya mifugo kwa kuweka vipaumbele kwenye kudhibiti magonjwa hayo na kuwa na mifugo inayokidhi soko la kitaifa na kimataifa.

Mkutano wa kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo unafanyika hapa nchini kwa siku tatu ambapo unajumuisha wataalamu wa Sekta ya Mifugo kutoka Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), ili ugonjwa huo usivuke mipaka ya nchi za jumuiya hizo.

About the author

Alex Sonna