slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

slot siteleri

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

piabet

Featured Kitaifa

UGONJWA WA FMD WAJADILIWA KUTOVUKA MIPAKA YA NCHI ZA EAC NA SADC

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte akizungumza jijini Dar es Salaam, wakati akifungua mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo ili usivuke mipaka ya nchi. 

Mwakilishi kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) nchini Tanzania, Bi. Nyabenyi Tipo akielezea takwimu ya Mwaka 2013 ambapo ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo umekuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kusababisha hasara ya Dola za Kimarekani (USD) Milioni 11. Bi. Tipo amebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa huo. 

Mwakilishi wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniania (WOAH), Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Neo Mapitse akiwaelezea washiriki wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo, namna ya kuwa na mikakati endelevu ili kufikia malengo waliyojiwekea katika kudhibiti ugonjwa huo. 

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Benezeth Lutege akiwaarifu washiriki wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo, namna serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 ilivyotenga fedha takriban Shilingi Bilioni 28 kwa ajili ya kampeni ya chanjo na utambuzi wa mifugo dhidi ya magonjwa ya homa ya mapafu ya ng’ombe, sotoka ya mbuzi na kondoo pamoja na mdondo. 

Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo, mara baada ya mkutano huo kufunguliwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte (aliyekaa katikati). 

Na. Mwandishi Wetu 

Wataalamu kutoka Sekta ya Mifugo katika Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wamekutana kwa ajili ya kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo ili usivuke mipaka ya nchi.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Abdul Mhinte akizungumza mara baada ya kufungua mkutano huo leo (10.09.2024) jijini Dar es Salaam, amesema lengo la mkutano huo ni kuhakikisha ugonjwa huo unadhibitiwa kwa kuwa nchi za jumuiya ya EAC na SADC zina mahusiano ya karibu.

Bw. Mhinte ameongeza kuwa Tanzania inajumuika katika jumuiya zote mbili na kwamba imekuwa mwenyeji wa mkutano huo kwa ajili ya kudhibiti ugonjwa huo ambao umekuwa ukivuka mipaka kutoka nchi moja kwenda nyingine.

“Mkutano huu umehusisha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), wataalamu wanakutana kwa ajili ya kujadili ugonjwa huo ili usivuke kwenda nchi moja kwenda nyingine kwa kuwa jumuiya hizo zina mahusiano ya karibu.” Amebainisha Bw. Mhinte.

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) nchini Tanzania, Bi. Nyabenyi Tipo amesema takwimu ya Mwaka 2013 ugonjwa wa FMD umekuwa na madhara makubwa ya kiuchumi na kusababisha hasara ya Dola za Kimarekani (USD) Milioni 11.

Bi. Tipo ameongeza kuwa takriban watu Milioni 700 kote duniani wanategemea Sekta ya Mifugo katika kuendesha maisha yao na kwamba ugonjwa huo umekuwa ukipunguza uzalishaji wa mifugo pamoja na ukuaji wa soko la biashara kwa mifugo na mazao ya mifugo.

Naye Mwakilishi wa Shirika la Afya ya Wanyama Duniania (WOAH), Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Neo Mapitse amewaomba washiriki wa mkutano huo kwamba kila kitakachojadiliwa lazima kitoe matokeo chanya na endelevu ili kufikia malengo waliyojiwekea katika kudhibiti ugonjwa wa FMD.

Ameongeza kuwa ni wakati wa kuimarisha jitihada za kudhibiti ugonjwa huo kuhakikisha afya na ustawi wa mifugo pamoja na jamii kwa kuondoa mapungufu ambayo hayajafanyiwa kazi na kuwa wazi katika kuyafanyia kazi ili kutoa matokeo chanya.

Aidha, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Benezeth Lutege amewaarifu washiriki wa mkutano huo kuwa katika Mwaka wa Fedha 2024/2025 serikali inatarajia kufanya kampeni ya chanjo na utambuzi wa mifugo dhidi ya magonjwa ya homa ya mapafu ya ng’ombe, sotoka ya mbuzi na kondoo pamoja na mdondo.

Pia, amesema kampeni hiyo yenye kugharimu fedha za kitanzania zaidi ya Shilingi Bilioni 28 ni moja ya mikakati ya serikali katika kudhibiti magonjwa ya mifugo kwa kuweka vipaumbele kwenye kudhibiti magonjwa hayo na kuwa na mifugo inayokidhi soko la kitaifa na kimataifa.

Mkutano wa kujadili namna ya kudhibiti ugonjwa wa miguu na midomo (FMD) unaoshambulia mifugo unafanyika hapa nchini kwa siku tatu ambapo unajumuisha wataalamu wa Sekta ya Mifugo kutoka Jumuiya za Afrika Mashariki (EAC) na Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), ili ugonjwa huo usivuke mipaka ya nchi za jumuiya hizo.

About the author

Alex Sonna