Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

casibom giriş

marsbahis

bets10

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

grandpashabet

bets10

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

nerobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

marsbahis

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

tipobet

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Starzbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

UKUSANYAJI MAPATO YA NDANI WAIMARIKA NCHINI-MAJALIWA

Written by Alex Sonna

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa 16 wa Bunge, bungeni jijini Dodoma, Septemba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

…….

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato nchini ambapo hali ya ukusanyaji wa mapato ya ndani kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kipindi cha mwezi Julai 2024 imeendelea kuimarika.

“Jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 113.701 kimekusanywa sawa na asilimia 8 ya makisio ya mwaka 2024/2025 ya shilingi trilioni 1.356. Aidha, makusanyo halisi yameongezeka kutoka shilingi  bilioni 90.665 yaliyokusanywa kipindi kama hicho cha Julai, 2023 ikiwa ni ongezeko la shilingi bilioni  23.036.”

Ameyasema hayo leo (Septemba 6, 2024) wakati wa kuahirisha Mkutano wa 16 wa Bunge, jijini Dodoma. “Ongezeko la ukusanyaji wa mapato ya ndani katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, linachangiwa na mikakati mbalimbali inayoendelea kufanywa na Serikali.”

Ameitaja mikakati hiyo kuwa ni pamoja na usimamizi wa vyanzo vya mapato vilivyopo, zoezi la mara kwa mara la ufanyaji tathmini ya vyanzo vya mapato ya ndani ya kila Halmashauri kwa Halmashauri zote 184.

Waziri Mkuu amesema mkakati mwingine ni kutoa elimu ya ulipaji ushuru kwa wananchi, pamoja na kuendelea kusimimamia matumizi sahihi ya Mfumo wa TAUSI wa ukusanyaji mapato pamoja na mashine za kukusanyia Mapato – POS.

Wakati huo huo, Waziri Mkuu amesema mwaka huu (2024) ni mwaka wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unatarajia kutafanyika siku ya Jumatano, tarehe 27 Novemba, 2024, hivyo amewasisitiza kuwasisitiza Watanzania wote kuwa tayari na kutimiza haki yao ya Kikatiba kwa kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika huo.

Amesema tayari uandaaji wa kanuni za uchaguzi wa viongozi wa mamlaka za serikali za mitaa ngazi ya vijiji, vitongoji na mitaa katika mamlaka za wilaya na miji, mwongozo wa elimu ya mpiga kura na mwongozo wa uchaguzi wa serikali za mitaa umekamilika.

“Nchi yetu imekuwa na utaratibu wa kujenga misingi ya uongozi kuanzia ngazi za chini ili kuiwezesha Serikali kuwafikia watu wake katika kutekeleza masuala mbalimbali ili kufikia azma kubwa katika kuleta maendeleo endelevu.”

Amesema maandalizi mengine ya uchaguzi yapo katika hatua za ukamilishaji ambayo yanajumuisha kutangaza orodha ya maeneo ya utawala, uhakiki wa vituo vya kupigia kura awamu ya pili na manunuzi ya vifaa vya uchaguzi. “Kwa sasa mamlaka husika zinaendelea na utoaji wa elimu ya mpiga kura kupitia vyombo vya habari, mabango na mitandao ya kijamii.

Kwa kuwa msingi wetu wa maendeleo unaanzia katika ngazi hii, niwaombe Waheshimiwa Wabunge wenzangu kuhakikisha tunatumia fursa ya mikutano yetu tuwapo majimboni, wasanii na vyombo vya Habari katika kutoa hamasa ya umuhimu wa wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.”

 

About the author

Alex Sonna