Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

SERIKALI: THAMANI YA DHAMANA ZA MIKOPO ZISIZIDI MARA MBILI YA MKOPO

Written by mzalendo

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akitoa elimu ya fedha kwa wananchi wa Kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha ilipofika katika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi.

Afisa Mtendaji wa Kitongoji cha Homboza wilayani Kisarawe mkoani Pwani, Bi. Maida Lugoya, akizungumza na wananchi wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha ilipofika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili kuwawezesha kufahamu namna bora ya kutunza fedha pamoja na kujiepusha na mikopo umiza.

Afisa Masoko na Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Uwekezaji wa UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akiwaelekeza wananchi wa Kitongoji cha Homboza wilayani Kisarawe mkoani Pwani, jinsi ya kufungua akaunti za uwekezaji katika mfuko wa uwekezaji wa UTT Amis, baada ya mafunzo ya elimu ya fedha iliyotolewa na Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha katika kitongoji hicho.

Baadhi ya wananchi wa Kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa na Maafisa kutoka Wizara ya Fedha waliowasili kutoa elimu ya fedha kwa wananchi wilayani humo.

Mmoja wa wananchi waliohudhuria mafunzo ya elimu ya fedha yanayotolewa na Wizara ya Fedha, Bi. Asia Mbegu, akiuliza swali baada ya kupata elimu ya fedha iliyotolewa na Timu ya maafisa kutoka Wizara ya Fedha waliofika kutoa elimu ya fedha kwa wananchi, katika kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe mkoani Pwani.

Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha (wenye sare ya fulana) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi waliohudhuria mafunzo ya elimu ya fedha iliyotolewa na timu hiyo katika kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe mkoani Pwani.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Kisarawe -Pwani)

……..

Na. Saidina Msangi, Kisarawe, Pwani.

Wananchi wa Kitongoji cha Homboza Wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanachukua mikopo katika taasisi za watoa huduma za fedha waliosajiliwa kisheria huku wakihakikisha kuwa thamani ya dhamana za mikopo wanazoweka zisizidi mara mbili ya mkopo wanaopewa.

Wito huo umetolewa na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha waliofika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili kuwawezesha kuepukana na mikopo umiza pamoja na kuwa na usimamizi mzuri wa fedha binafsi.

Akizungumza wakati akitoa elimu kwa wananchi wa kitongoji hicho cha Homboza, Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, alisema kuwa suala la dhamana limekuwa likiwatatiza wananchi pale wanapotaifishiwa dhamana zao kwa kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati.

‘‘Ni muhimu sana kufahamu kuwa dhamana ya mikopo haitakiwi kuzidi mara mbili ya mkopo unaochukua lakini pia hakikisha unapochukua mkopo mwenza wako awe na taarifa kwa sababu inasaidia kuwa na uwajibikaji wa pamoja na kuepusha migogoro ya familia,’’alisisitiza Bw. Kibakaya.

Aidha, aliwasisitiza kujiridhisha na riba za mikopo kabla ya kuchukua ili kuwa na uhakika kama inalingana na kiwango kilichowekwa na Benki Kuu ya Tanzania ambacho hakitakiwi kuzidi asilimia 3.5.

Naye Afisa Masoko na Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Uwekezaji wa UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akitoa elimu kwa wananchi hao alisisitiza kuwa ni muhimu kuzingatia matumizi sahihi wanapopata fedha ikiwemo kujiwekea akiba.

‘‘Lazima tupunguze matumizi yasiyo ya lazima ili kupata akiba ya kutunza ni muhimu kuzingatia matumizi kwa kutenganisha matumizi ya lazima na yale yasiyo ya lazima matumizi ya kwanza yawe akiba na kuhakikisha kuwa akiba hiyo unaiwekeza ili kutunza thamani yake,’’alifafanua Bw. Mwanga.

Alitoa rai kwa wananchi hao kutumia fursa ya uwekezaji wa pamoja kupitia Taasisi ya UTT Amis yenye mifuko mbalimbali kulingana na mahitaji ya uwekezaji ambapo mfuko huo una dhamana ya kuwekeza fedha hizo kwa pamoja na kuwezesha kila mwekezaji kupata faida kulingana na uwekezaji wake.

Kwa upande wake, Afisa Mtendaji wa Kitongoji cha Homboza, Bi. Maida Lugoya, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kutoa elimu ya fedha kwa wananchi na kueleza kuwa elimu hiyo italeta matokeo mazuri na kuwarahisishia kazi kama watendaji kulingana na changamoto hasa ya watoa huduma za fedha ambao hawajasajiliwa.

Aliongeza kuwa elimu hiyo itawasaidia wananchi wa Kitongoji hicho katika shughuli zao za kiuchumi ili kuwawezesha kuepukana na changamoto ya mikopo umiza kutoka kwa taasisi za watoa huduma za fedha ambao hawajasajiliwa.

Aidha, alitoa wito kwa watoa huduma za fedha katika kitongoji hicho kuhakikisha kuwa wamesajiliwa kisheria na kuwa uongozi hautasita kumchukulia hatua yeyote atakayebainika kuendesha shughuli bila kuwa na leseni.

Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha ipo mkoa wa Pwani ambapo inazunguka katika wilaya za mkoa huo kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango Mkuu wa Serikali wa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata elimu ya fedha.

About the author

mzalendo