marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

casibom

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

hitbet

tipobet giriş

betist

Featured Kitaifa

SERIKALI: THAMANI YA DHAMANA ZA MIKOPO ZISIZIDI MARA MBILI YA MKOPO

Written by mzalendo

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akitoa elimu ya fedha kwa wananchi wa Kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha ilipofika katika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi.

Afisa Mtendaji wa Kitongoji cha Homboza wilayani Kisarawe mkoani Pwani, Bi. Maida Lugoya, akizungumza na wananchi wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha ilipofika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili kuwawezesha kufahamu namna bora ya kutunza fedha pamoja na kujiepusha na mikopo umiza.

Afisa Masoko na Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Uwekezaji wa UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akiwaelekeza wananchi wa Kitongoji cha Homboza wilayani Kisarawe mkoani Pwani, jinsi ya kufungua akaunti za uwekezaji katika mfuko wa uwekezaji wa UTT Amis, baada ya mafunzo ya elimu ya fedha iliyotolewa na Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha katika kitongoji hicho.

Baadhi ya wananchi wa Kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa na Maafisa kutoka Wizara ya Fedha waliowasili kutoa elimu ya fedha kwa wananchi wilayani humo.

Mmoja wa wananchi waliohudhuria mafunzo ya elimu ya fedha yanayotolewa na Wizara ya Fedha, Bi. Asia Mbegu, akiuliza swali baada ya kupata elimu ya fedha iliyotolewa na Timu ya maafisa kutoka Wizara ya Fedha waliofika kutoa elimu ya fedha kwa wananchi, katika kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe mkoani Pwani.

Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha (wenye sare ya fulana) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi waliohudhuria mafunzo ya elimu ya fedha iliyotolewa na timu hiyo katika kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe mkoani Pwani.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Kisarawe -Pwani)

……..

Na. Saidina Msangi, Kisarawe, Pwani.

Wananchi wa Kitongoji cha Homboza Wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanachukua mikopo katika taasisi za watoa huduma za fedha waliosajiliwa kisheria huku wakihakikisha kuwa thamani ya dhamana za mikopo wanazoweka zisizidi mara mbili ya mkopo wanaopewa.

Wito huo umetolewa na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha waliofika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili kuwawezesha kuepukana na mikopo umiza pamoja na kuwa na usimamizi mzuri wa fedha binafsi.

Akizungumza wakati akitoa elimu kwa wananchi wa kitongoji hicho cha Homboza, Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, alisema kuwa suala la dhamana limekuwa likiwatatiza wananchi pale wanapotaifishiwa dhamana zao kwa kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati.

‘‘Ni muhimu sana kufahamu kuwa dhamana ya mikopo haitakiwi kuzidi mara mbili ya mkopo unaochukua lakini pia hakikisha unapochukua mkopo mwenza wako awe na taarifa kwa sababu inasaidia kuwa na uwajibikaji wa pamoja na kuepusha migogoro ya familia,’’alisisitiza Bw. Kibakaya.

Aidha, aliwasisitiza kujiridhisha na riba za mikopo kabla ya kuchukua ili kuwa na uhakika kama inalingana na kiwango kilichowekwa na Benki Kuu ya Tanzania ambacho hakitakiwi kuzidi asilimia 3.5.

Naye Afisa Masoko na Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Uwekezaji wa UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akitoa elimu kwa wananchi hao alisisitiza kuwa ni muhimu kuzingatia matumizi sahihi wanapopata fedha ikiwemo kujiwekea akiba.

‘‘Lazima tupunguze matumizi yasiyo ya lazima ili kupata akiba ya kutunza ni muhimu kuzingatia matumizi kwa kutenganisha matumizi ya lazima na yale yasiyo ya lazima matumizi ya kwanza yawe akiba na kuhakikisha kuwa akiba hiyo unaiwekeza ili kutunza thamani yake,’’alifafanua Bw. Mwanga.

Alitoa rai kwa wananchi hao kutumia fursa ya uwekezaji wa pamoja kupitia Taasisi ya UTT Amis yenye mifuko mbalimbali kulingana na mahitaji ya uwekezaji ambapo mfuko huo una dhamana ya kuwekeza fedha hizo kwa pamoja na kuwezesha kila mwekezaji kupata faida kulingana na uwekezaji wake.

Kwa upande wake, Afisa Mtendaji wa Kitongoji cha Homboza, Bi. Maida Lugoya, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kutoa elimu ya fedha kwa wananchi na kueleza kuwa elimu hiyo italeta matokeo mazuri na kuwarahisishia kazi kama watendaji kulingana na changamoto hasa ya watoa huduma za fedha ambao hawajasajiliwa.

Aliongeza kuwa elimu hiyo itawasaidia wananchi wa Kitongoji hicho katika shughuli zao za kiuchumi ili kuwawezesha kuepukana na changamoto ya mikopo umiza kutoka kwa taasisi za watoa huduma za fedha ambao hawajasajiliwa.

Aidha, alitoa wito kwa watoa huduma za fedha katika kitongoji hicho kuhakikisha kuwa wamesajiliwa kisheria na kuwa uongozi hautasita kumchukulia hatua yeyote atakayebainika kuendesha shughuli bila kuwa na leseni.

Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha ipo mkoa wa Pwani ambapo inazunguka katika wilaya za mkoa huo kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango Mkuu wa Serikali wa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata elimu ya fedha.

About the author

mzalendo