Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

SERIKALI: THAMANI YA DHAMANA ZA MIKOPO ZISIZIDI MARA MBILI YA MKOPO

Written by mzalendo

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akitoa elimu ya fedha kwa wananchi wa Kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha ilipofika katika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi.

Afisa Mtendaji wa Kitongoji cha Homboza wilayani Kisarawe mkoani Pwani, Bi. Maida Lugoya, akizungumza na wananchi wakati Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha ilipofika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili kuwawezesha kufahamu namna bora ya kutunza fedha pamoja na kujiepusha na mikopo umiza.

Afisa Masoko na Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Uwekezaji wa UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akiwaelekeza wananchi wa Kitongoji cha Homboza wilayani Kisarawe mkoani Pwani, jinsi ya kufungua akaunti za uwekezaji katika mfuko wa uwekezaji wa UTT Amis, baada ya mafunzo ya elimu ya fedha iliyotolewa na Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha katika kitongoji hicho.

Baadhi ya wananchi wa Kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa na Maafisa kutoka Wizara ya Fedha waliowasili kutoa elimu ya fedha kwa wananchi wilayani humo.

Mmoja wa wananchi waliohudhuria mafunzo ya elimu ya fedha yanayotolewa na Wizara ya Fedha, Bi. Asia Mbegu, akiuliza swali baada ya kupata elimu ya fedha iliyotolewa na Timu ya maafisa kutoka Wizara ya Fedha waliofika kutoa elimu ya fedha kwa wananchi, katika kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe mkoani Pwani.

Timu ya Maafisa kutoka Wizara ya Fedha (wenye sare ya fulana) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi waliohudhuria mafunzo ya elimu ya fedha iliyotolewa na timu hiyo katika kitongoji cha Homboza, wilayani Kisarawe mkoani Pwani.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Kisarawe -Pwani)

……..

Na. Saidina Msangi, Kisarawe, Pwani.

Wananchi wa Kitongoji cha Homboza Wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanachukua mikopo katika taasisi za watoa huduma za fedha waliosajiliwa kisheria huku wakihakikisha kuwa thamani ya dhamana za mikopo wanazoweka zisizidi mara mbili ya mkopo wanaopewa.

Wito huo umetolewa na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha waliofika katika kitongoji hicho kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili kuwawezesha kuepukana na mikopo umiza pamoja na kuwa na usimamizi mzuri wa fedha binafsi.

Akizungumza wakati akitoa elimu kwa wananchi wa kitongoji hicho cha Homboza, Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, alisema kuwa suala la dhamana limekuwa likiwatatiza wananchi pale wanapotaifishiwa dhamana zao kwa kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati.

‘‘Ni muhimu sana kufahamu kuwa dhamana ya mikopo haitakiwi kuzidi mara mbili ya mkopo unaochukua lakini pia hakikisha unapochukua mkopo mwenza wako awe na taarifa kwa sababu inasaidia kuwa na uwajibikaji wa pamoja na kuepusha migogoro ya familia,’’alisisitiza Bw. Kibakaya.

Aidha, aliwasisitiza kujiridhisha na riba za mikopo kabla ya kuchukua ili kuwa na uhakika kama inalingana na kiwango kilichowekwa na Benki Kuu ya Tanzania ambacho hakitakiwi kuzidi asilimia 3.5.

Naye Afisa Masoko na Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Uwekezaji wa UTT AMIS, Bw. Rahim Mwanga, akitoa elimu kwa wananchi hao alisisitiza kuwa ni muhimu kuzingatia matumizi sahihi wanapopata fedha ikiwemo kujiwekea akiba.

‘‘Lazima tupunguze matumizi yasiyo ya lazima ili kupata akiba ya kutunza ni muhimu kuzingatia matumizi kwa kutenganisha matumizi ya lazima na yale yasiyo ya lazima matumizi ya kwanza yawe akiba na kuhakikisha kuwa akiba hiyo unaiwekeza ili kutunza thamani yake,’’alifafanua Bw. Mwanga.

Alitoa rai kwa wananchi hao kutumia fursa ya uwekezaji wa pamoja kupitia Taasisi ya UTT Amis yenye mifuko mbalimbali kulingana na mahitaji ya uwekezaji ambapo mfuko huo una dhamana ya kuwekeza fedha hizo kwa pamoja na kuwezesha kila mwekezaji kupata faida kulingana na uwekezaji wake.

Kwa upande wake, Afisa Mtendaji wa Kitongoji cha Homboza, Bi. Maida Lugoya, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kutoa elimu ya fedha kwa wananchi na kueleza kuwa elimu hiyo italeta matokeo mazuri na kuwarahisishia kazi kama watendaji kulingana na changamoto hasa ya watoa huduma za fedha ambao hawajasajiliwa.

Aliongeza kuwa elimu hiyo itawasaidia wananchi wa Kitongoji hicho katika shughuli zao za kiuchumi ili kuwawezesha kuepukana na changamoto ya mikopo umiza kutoka kwa taasisi za watoa huduma za fedha ambao hawajasajiliwa.

Aidha, alitoa wito kwa watoa huduma za fedha katika kitongoji hicho kuhakikisha kuwa wamesajiliwa kisheria na kuwa uongozi hautasita kumchukulia hatua yeyote atakayebainika kuendesha shughuli bila kuwa na leseni.

Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha ipo mkoa wa Pwani ambapo inazunguka katika wilaya za mkoa huo kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango Mkuu wa Serikali wa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata elimu ya fedha.

About the author

mzalendo