slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

palacebet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

pusulabet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betmoney

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

parobet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

betmoney giriş

jojobet

celtabet

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

betmoney

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

betgar, betgar giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

betplay

cashwin

cratosroyalbet

casinomilyon

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casinoroyal

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

madridbet

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

pokerklas

pokerklas

madridbet

matbet

Featured Kitaifa

SHERIA KUTUNGWA PASIPO KUZINGATIA TAFITI CHANZO CHA KUFANYIWA MAREKEBISHO MARA KWA MARA- DKT. RWEZIMULA

Written by mzalendo

 

NAIBU  Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akizungumza wakati akifungua  Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Jaji wa Mahakama ya Rufani,Winifrida Korosso,akizungumza wakati wa Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

KATIBU Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw.George Mandepo ,akizungumza wakati wa  Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi, iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,(hayupo pichani)  wakati akifungua  Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akizindua The Law Reformer yenye lengo la kutengeneza Jukwa la fursa kwa watu mbalimbali kujadiliana na kutoa maoni kuhusu masuala muhimu ya Kitaifa na Kimataifa mara baada ya kufungua  Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akimkabidhi Vitendea kazi Mwenyekiti  wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Jaji wa Mahakama ya Rufani,Winifrida Korosso,mara baada ya kuzindua The Law Reformer yenye lengo la kutengeneza Jukwa la fursa kwa watu mbalimbali kujadiliana na kutoa maoni kuhusu masuala muhimu ya Kitaifa na Kimataifa  baada ya kufungua  Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

Naibu  Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akionyesha Vitabu mara baada ya kuzindua The Law Reformer yenye lengo la kutengeneza Jukwa la fursa kwa watu mbalimbali kujadiliana na kutoa maoni kuhusu masuala muhimu ya Kitaifa na Kimataifa  baada ya kufungua  Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

NAIBU  Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua   Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA
IMEELEZWA  kutokana na Sheria kutungwa pasipo kuzingatia tafiti imelazimika kwa baadhi ya Sheria kufanyiwa marekebisho ya mara kwa mara na nyingine kukosa umuhimu mara tu baada ya kutungwa kwake.
Hayo yameelezwa leo Agosti 21,2024 Jijini Dodoma na Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Flanklin Rwezimula wakati akifungua warsha kuhusu juu ya umuhimu wa utafiti katika maboresho ya sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi 
Dkt.Rwezimula amesema kuwa kushindwa kuhusisha utafiti wa kina katika utungwaji wa sheria, pengine imekuwa vigumu kuelezea Bungeni madhumuni na sababu za kitaalamu za utungwaji au urekebishwaji wa baadhi ya sheria na hivyo, zoezi la kupitishwa sheria kuchelewa au kukosa msukumo ndani ya Bunge letu.
 
“Sheria zinapotungwa zinalengwa kwa ajili ya jamii ambayo inaathirika na hali fulani ya kiuchumi,kijamii au kisiasa,Serikali kupitia mapendekezo ya Tume ya Mhe.Msekwa ilitarajia kuwa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania itumike ipasavyo katika kila hatua za utungwaji au maboresho ya Sheria”amesema Dkt.Rwezimula
Aidha  ametoa rai kwa Wizara na taasisi za Serikali kuzingatia mapendekezo mbalimbali yaliyotolewa na Tume ya Haki jinai kwa Serikali yatekelezwe kwani utekelezaji utaleta tija kubwa kwa sheria zinazotungwa na Bunge. 
“Niwaagize sasa Tume ya kurekebisha sheria Tanzania kwa kushirikiana na Mwanasheria mkuu wa Serikali kuweka utaratibu mzuri ambao utawezesha wadau kushirikishwa kwa karibu sana katika hatua zote za utungwaji sheria”amesema. 
 Kwa upande wake Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha Tabia Tanzania Jaji wa Mahakama ya Rufani Winfrida Karosso amesema kuwa Tume ya kurekebisha sheria nchini ni chombo mahsusi kilichoundwa kwa lengo la kupitia sheria zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuzifanya ziendane na wakati kwa maendeleo endelevu ya taifa.
“Niwazi kuwa ili tume iweze kutimiza jukumu hili kwa ufanisi ni lazima ishirikiane na wadau wote ili kupata maoni yatakayowezesha kutoa mapendekezo ya maboresho”, amesema. 
Aidha ametoa rai kwa Tume kuhakikisha inatumia kila njia kuhakikisha inawavutia na kuwafikia wananchi wengi ambao mwisho wa siku ndio watumiaji wa sheria hizo ili waweze kutia maoni ya marekebisho na maboresho ya sheria. 
“Endapo wananchi watapatiwa elimu ya kutisha na kushiriki kutoa maoni, sina shaka yoyote kuwa utekelezaji wa sheria utakuwa rahisi a hautakuwa na upinzani kutokana na mchakato wa maboresho kuwa shirikishi kabla ya kutungwa au kutekebishwa kwa sheria husika”,amesema.
Naye Katibu Mtendaji wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Bw.George Mandepo amesema lengo la warsha hiyo ni kujadili umuhimu wa tafiti katika utungaji wa marekebisho ya sheria na kubainisha umuhimu wa tafiti katika maboresho ya sheria nchini. 
“Utafiti wakati wa kutunga sheria ni jambo muhimu sana kwa kuwa unawezesha vyombo vya maamuzi kuwa taarifa za kutosha na ufahamu wa eneo linalotungiwa sheria”amesema. 
Pia emeongeza kuwa mesema Tume ya kurekebisha sheria Tanzania ilianzishwa na sheria ya tume sura 171 ambapo ilianza rasmi Oktoba 21,1983 ikiwa na majukumu makuu matatu ikiwa ni kufanya mapitio ya sheria zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kutoa mapendekezo ya kurekebisha sheria hizo ili ziakisi mabadiliko tanayotokea katika jamii katika nyanja za kisiasa.

About the author

mzalendo