Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

pusulabet

Featured Kitaifa

MABENKI YATAKIWA KUWAFUATA WAKULIMA NA WAFUGAJI – DKT. BITEKO

Written by mzalendo

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wenye mabenki nchini kuwekeza zaidi kwa kuwafuta wakulima na wafugaji na kuwavutia kupata huduma za kibenki na kujiletea maendeleo.

Dkt. Biteko amesema hayo leo Agosti 12, 2024 wakati hafla ya uzinduzi wa tawi la Benki ya KCB wilayani Geita

Amesema kuwa licha ya benki ya KCB kuvutia huduma zao kwa wafanyabiashara wavutie pia wakulima na wafugaji kwa kuwa ndilo kundi kubwa ambalo bado linakabiliwa na changamoto za huduma za mikopo katika benki mbalimbali nchini.

“ Nimefurajika kuona KCB imefungua tawi Geita na kusogeza huduma za kibenki kwa wananchi hii itasaidia kuchochea uchumi kwao na mjue mko mahali ambapo wananchi wake wanafanyakazi kwa bidii, wanalima, kufuga kwa bidii na wafanyabiashara wanafabiashara kwa bidii na wengine wako sekta ya madini,” amesema Dkt. Biteko.

Ameongeza “Natoa wito kwa wafanyakazi wa KCB wapokeeni wateja wenu kwa bashasha, wapeni huduma nzuri na pia nendeni kwa wakulima na wafugaji kawasaidieni ili wapate huduma za kifedha hasa mikopo ili iwasaidie kuweza kukuza shughuli zao au biashara zao.”

Aidha, ameishukuru benki hiyo kuwekeza Geita na kusema kuwa Serikali inatekeleza Mpango wa Tatu wa Maendeleo ambao unahitaji wadau pia kuendeleza ikiwemo sekta ya benki.

“ Serikaki imekuwa ikifanya juhudi ili kuweka mazingira wezeshi ya biashara ikiwepo bima, dhamana na mifuko ya uwezeshaji na ubora wa huduma za kibenki ili kuendelea kuwasogezea huduma wananchi na sasa kiwango cha mikopo chechefu kimepungua kwa kuwa mikopo hiyo ni hatari naipongeza Benki Kuu na wakopaji kwa kujua umuhimu mikopo,” amesema Dkt. Biteko.

Pamoja na mafanikio mengine Dkt. Biteko ameipongeza KCB kushirikiana na Serikali katika matukio mbalimbali ikiwemo msaada wake wa shilingi milioni 125 kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa maafa ya kuzama kwa Kivuko cha MV Nyerere mwaka 2018.

Aidha, amesema KCB imeshirikiana katika utoaji wa mikopo kwa ajili ya utelekezaji miradi ya maendeleo katika sekta za nishati, maji na miundombinu.

” KCB imetoa zaidi ya shilingi bilioni 329.7 kwa Wakala wa Nishati Vijini (REA) ambazo wamekopa wakandarasi ili kupeleka umeme vijijini ambapo umefikia asilimia 95, shilingi bilioni 107.1 kwa Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) pamoja na kutoa shilingi bilioni 103.9 kwa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kwa ajili ya ujenzi wa barabara katika maeneo mbalimbali, amesema Dkt. Biteko

Naye, Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema KCB ni moja ya benki zinazofanya vizuri katika sekta ya fedha nchini na imeendelea kusaidia kutimiza azma ya Serikali ya kuwekeka uchumi jumuishi nchini.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigella amemshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya shughuli za kiuchumi nchini na kusema tawi la KCB kufunguliwa katika Mkoa wa Geita ni kwa sababu wameangalia shughuli za kiuchumi na mzunguko wa fedha na kuwa anawapongeza wananchi wa Geita kwa kuendelea na shughuli za kiuchumi.

“ Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia tumezalisha kilo 53,000 za dhahabu kutoka Geita Gold Mine pamoja na wachimbaji wadogo na wameuza dhahabu hizo nje ya nchi na fedha hizo zinarudi hapa kwetu hivyo niwapongeze KCB benki kwa kuja kutufungua tawi h

Vilevile, Mkurugenzi wa Kanda wa Biashara na Mkuu wa KCB Benki Tanzania, Cosmas Kimario amesema kuwa benki hiyo imeendelea kukua na kuendeleza uwekezaji wake wa biashara za kibenki katika maeneo mbalimbali nchini na kuwa sasa ina zaidi ya miaka 25 na matawi 17.

“ Tumeamua kuja Geita na kuendelea kupanua huduma za kibenki Tanzania kwa sababu ya mazingira wezeshi. Namshukuru Rais Dkt. Samia na Serikali kwa ujumla kwa kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na tumeweza kupanuka na kuongeza matawi na tutaendelea kupanua huduma zetu.” Amesema Kimario.

Ameongeza benki hiyo ni kubwa kuliko zote Afrika ya kati ambayo imeendelea kushirikiana na Serikali ili kufanikisha utekelezaji wa miradi katika sekta mbalimbali pamoja kuwekeza zaidi huduma zao kwenye mifumo ya digitali.

About the author

mzalendo