Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO APONGEZA UTENDAJI KAZI WA WAKALA WA VIPIMO

Written by mzalendo

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo akikagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo (WMA), eneo la Medeli jijini Dodoma, Julai 17, 2024.

Na Veronica Simba – WMA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Selemani Jafo, amepongeza Wakala wa Vipimo (WMA) kwa utendaji kazi mahiri na wenye weledi na kutoa wito kwa Taasisi nyingine zilizo chini ya Wizara hiyo kuiga mfano wake.

Ametoa pongezi hizo mapema leo, Julai 17, 2024 jijini Dodoma alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Wakala huo, lililopo eneo la Medeli.

Mheshimiwa Jafo amekiri kuridhishwa kwa kiwango kikubwa na utendaji kazi wa WMA kupitia ziara zake alizofanya kukagua kazi mbalimbali zinazotekelezwa na Wakala huo, ambapo awali (Julai 11, 2024) alitembelea Kituo cha Uhakiki wa Vipimo kilichopo Misugusugu Mkoa wa Pwani na kujionea utendaji kazi wake.

“Kwa ujumla nimeridhishwa sana na utendaji wa Wakala huu na niwatake wengine waige mfano huu mzuri. Wito wangu, waendelee kufanya kazi kwa lengo la kuhakikisha Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan inapata mafanikio makubwa katika maeneo yote,”amesema.

Ameongeza kusema kuwa, pongezi zake kwa Wataalamu wa Wakala wa Vipimo pia ni kutokana na kuonesha mfano mwema sana kwa kutumia mapato ya ndani, kujenga jengo hilo,  hali inayothibitisha kuwa Taasisi hiyo ni miongoni mwa zile zinazofanya vizuri.

Akieleza zaidi, Waziri Jafo amesema lengo la ziara yake kukagua jengo hilo ilikuwa kujiridhisha kuhusu thamani ya fedha iliyowekezwa katika ujenzi huo pamoja na kasi ya utekelezaji wake ambapo kwa ujumla amesema ameridhishwa kwa kiasi kikubwa.

Akifafanua, amesema kuwa, kwa hatua iliyofikiwa katika ujenzi, ambayo ni asilimia 81.5 anaamini jengo hilo linaweza kukamilika hata kabla ya muda uliopangwa ambao ni Januari 2025.

Hata hivyo, pamoja na kumpongeza Mkandarasi anayetekeleza ujenzi huo, Kampuni ya M/S Mohamed Builders chini ya Mshauri Elekezi, Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mbeya (MUST), amewataka kuhakikisha wanakamilisha kazi hiyo kwa wakati na viwango stahiki kama inavyotarajiwa.

Katika hatua nyingine, Waziri Jafo amewasisitiza watendaji wa WMA kuzingatia maelekezo aliyoyatoa kwao katika ziara yake ya awali, kuhusu kukagua maeneo yote yanayohusu ukaguzi hususani mita za umeme na maji kabla hazijafungwa kwa wateja ili kulinda haki za walaji ambao ni wananchi.

“Naelekeza mita zote za umeme na maji lazima zifikishwe Wakala wa Vipimo ili kuzipima kuangalia uthibiti wake kwa lengo la kuwapunguzia gharama wananchi. Isije mtu akafungiwa mita ambayo haina ubora, mwisho wa siku akalipa bili isiyo stahiki,” amesisitiza.

Kwa upande wake, Mwakilishi wa Afisa Mtendaji Mkuu wa WMA, Joseph Maliti ametoa ahadi kwa Waziri kuwa Wakala utahakikisha maelekezo yake yote yanatekelezwa.

Naye Mwakilishi wa Mkandarasi, Mhandisi Justin Kyando amesema wana uhakika watakamilisha ujenzi kwa wakati kwani wako katika hatua za ukamilishaji.

Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo jijini Dodoma ulianza Julai 2, 2022 na unatarajiwa kukamilika Januari 2025 ambapo gharama yake ni shilingi bilioni 6.17.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo (WMA), eneo la Medeli jijini Dodoma, Julai 17, 2024.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo akikagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo (WMA), eneo la Medeli jijini Dodoma, Julai 17, 2024.

Mwakilishi wa Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Joseph Maliti akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu maendeleo ya mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo (WMA) jijini Dodoma, wakati wa ziara ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo kukagua jingo hilo, Julai 17, 2024.

Mwakilishi wa Mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo (WMA) jijini Dodoma, Kampuni ya M/S Mohamed Builders, Mhandisi Justin Kyando akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu maendeleo yake wakati wa ziara ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo kukagua jengo hilo, Julai 17, 2024.

Taswira ya jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Wakala wa Vipimo (WMA) jijini Dodoma. Taswira hii imechukuliwa wakati wa ziara ya Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, Julai 17, 2024.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Wakala wa Vipimo (WMA), baada ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Wakala huo, eneo la Medeli, jijini Dodoma, Julai 17, 2024.

About the author

mzalendo