Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI KAPINGA AWAHAKIKISHIA UMEME WA UHAKIKA WANANCHI WA VIJIJI VYA MANZWAGI NA KIDUNYASHI.

Written by mzalendo

Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni Sawa na kilometa mbili kwa wananchi wa vijiji vya Manzwagi na Kidunyashi kabla ya tarehe 27 Julai, 2024.

Mhe. Kapinga amesema hayo tarehe 03 Julai, 2024 alipokuwa anahitimisha ziara yake katika Wilaya ya Kahama kwenye Vijiji vya Manzwagi na Kidunyashi vilivyopo Wilaya ya Kahama Mjini Mkoani Shinyanga.

Kapinga amesema Vijiji hivyo vitafikiwa na Nishati ya Umeme mwezi huu wa julai 2024 ambapo kijiji cha Manzwagi kitapata umeme ifikapo tarehe 14 julai na kijiji cha Kidunyashi kitapatiwa umeme ifikapo tarehe 10 julai, 2024.

Amesema kutokana na suala la maendeleo kuwa ni hatua, Serikali iliweka nguvu kubwa katika usambazaji wa umeme vijijini na sasa hatua inayofuata ni kupeleka umeme vitongojini ili kuwezesha shughuli za kijamii na kiuchumi.

“Nawashukuru REA wamesema watawafikishia umeme watu wa Manzwagi tarehe 14 julai 2024 niwatowe hofu wananchi wa Manzwagi kuwa umeme utawafikia Ndani ya siku zilizopangwa na pia tutawaongozea Nguzo nyingine 40 ili umeme uweze kufika Vijiji vyote,” Amesema Kapinga.

Vilevile Mhe. Kapinga Ameongeza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inafanya Miradi mingi sana kwenye upande wa uzalizaji, usafirishaji na usambazaji wa Umeme Na Fedha nyingi zimetengwa kwenye uzalishaji wa Umeme.

“Mradi Mkubwa Wa Julius Nyerere (JNHPP) unaozalisha Megawati 2.115 umegharimu zaidi ya trilioni 6 ambapo mradi huu mkubwa utatufanya tuweze kuzalisha umeme zaidi ya huu tunaoutumia sasa” ameeleza kapinga.

Naibu Waziri Kapinga ametoa wito kwa Wananchi kuhakikisha wanailinda miundombinu ya umeme ili iweze kutumika kwa muda mrefu.

“Niwaombe Wananchi tutunze miundombinu hii ya umeme ili iweze kutumika kwa muda mrefu pamoja na kutuletea tija katika shughuli zetu za Maendeleo” Amesisitiza Kapinga.

Aidha kuhusu bei ya umeme, Mhe. Kapinga ameongeza kuwa atakaa na REA na kufanya tathimini bei ya kuunganisha ya 320,000 au 27,000.

“Tutafanya Tathimini suala hili ili tuweze kuona namna ambavyo itawafanya Wananchi waweze kuunganishiwa umeme kwa Bei ya Elfu 27 ni yetu ni kuhakikisha Mwananchi anafikishiwa huduma ndani ya Eneo lake”

Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Julius Mtatiro ameshukuru kazi kubwa ya usambazaji umeme inayofanywa katika maeneo mbalimbali na pia amempongeza Mbunge wa Kahama Mjini Mhe. Jumanne Kishimba kwa kuwajali Wananchi kwa kuwapatia Maendeleo kwa wakati.       

About the author

mzalendo