Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

pusulabet

Featured Kitaifa

MSHOMBA AFICHUA SIRI MAFANIKIO YA NSSF

Written by Alex Sonna

 

*Asema mazingira mazuri ya uwekezaji chini ya uongozi wa
Mhe. Rais Dkt. Samia yamechochea mafanikio

 

 

Na MWANDISHI WETU

 

 

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF),
Bw. Masha Mshomba amefichua siri ya mafanikio makubwa ambayo NSSF imeyapata
kuwa yamechangiwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe. Rais
Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyohamasisha wawekezaji katika sekta
binafsi, kuweka mazingira mazuri na kuwezesha kupata waajiri na wanachama wengi
wapya katika sekta binafsi.

 

 

Bw. Mshomba amesema hayo tarehe 3 Julai, 2024 wakati alipotembelea banda la
NSSF mara baada ya ufunguzi wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar
es Salaam (DITF) maarufu SabaSaba yaliyobeba kauli mbiu isemayo “Tanzania
Sehemu Sahihi kwa Biashara na Uwekezaji
.” Maonesho hayo yamefunguliwa
na Mhe. Filipe Nyusi, Rais wa Jamhuri ya Msumbiji akisindikizwa na mwenyeji
wake, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

 

Akizungumza na waandishi wa habari katika banda hilo la NSSF, Bw. Mshomba
amesema kwa mujibu wa taarifa za hesabu ambazo hazijakaguliwa katika mwaka wa
fedha 2023/2024, thamani ya NSSF kwa sasa inafikia trilioni 8.5 sawa na
ongezeko la asilimia 77% ukilinganisha na miaka mitatu iliyopita.

 

 

“Ongezeko hili ni kubwa hasa ukizingatia kuwa ndani ya miaka mitatu iliyopita
ukuaji wa NSSF umekuwa mkubwa mno,  hivyo tunampongeza sana Mhe. Rais Dkt.
Samia kwa juhudi anazoweka katika kuhakikisha mazingira ya biashara hapa nchini
yanakuwa mazuri ambayo yamechangia mafanikio haya,” amesema Bw. Mshomba.

 

 

Amesema wakati NSSF inaendelea kutekeleza mpango wake wa maendeleo unaoishia
Juni 30, 2026, wanatarajia thamani ya Mfuko kufikia trilioni 11 ambayo itakuwa
ni zaidi ya mara mbili ukilinganisha na kipindi ambacho Rais Dkt. Samia
alipoingia madarakani.

 

 

Bw. Mshomba amesema kwa sasa NSSF imeelekeza nguvu ya kuwafikia wanachama wapya
waliopo katika sekta isiyo rasmi ili waweze kujiunga na kuchangia katika NSSF
kwani tayari wameshaweka mifumo mizuri ya usajili na uchangiaji pamoja na mafao
yanayovutia kupitia Mpango wa Kitaifa wa Sekta Isiyo Rasmi.

 

 

Amesema ushiriki wa NSSF katika maonesho hayo ni kwa ajili ya kutoa elimu ya
hifadhi ya jamii kwa wanachama na wadau kuhusu huduma mbalimbali ambazo NSSF
unazitoa zikiwemo usajili wanachama kutoka sekta binafsi na sekra isiyo rasmi,
uchangiaji, kulipa mafao, uwekezaji pamoja na uhakiki wa wastaafu.
Bw. Mshomba amesema pia wanatumia maonesho hayo kuwaeleza wanachama mambo
makubwa ambayo NSSF imeyafanya kupitia huduma za TEHAMA ambapo sasa wanachama
wanaweza kujisajili kupitia lango la huduma binafsi kwa mwanachama (Member
Portal) na lango binafsi kwa mwajiri (Employer Portal).
Amesema NSSF inaendelea kupata ushirikiano mkubwa kutoka Serikalini hivyo
wataendelea kuboresha huduma zao mbalimbali.

 

 
 

 

 

About the author

Alex Sonna