slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

Piabet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

holiganbet

marsbahis

matbet

sekabet

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

KLINIKI YA USHAURI NA ELIMU YA KISHERIA KWA UMMA YAZINDULIWA JIJINI DODOMA

Written by Alex Sonna

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi,akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi,akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi,akisisitiza jambo kwa  wananchi (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

KATIBU Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Mary  Makondo,akizungumza wakati wa uzinduzi wa kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

MWANDISHI  Mkuu wa Sheria Bw. Onorius Njole,akizungumza wakati wa uzinduzi wa kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi,akimsikiliza Mwananchi mara baada ya kuzindua  kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua  kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi amezindua kliniki ya ushauri  na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Akizindua kliniki hiyo leo Juni 26,2024  jijini Dodoma, Jaji Dk. Feleshi amesema  pamoja na kufikisha huduma za sheria karibu na wananchi pia itasaidia kufikia malengo ya kupunguza migogoro dhidi ya serikali.

“Kwani wananchi wakisikilizwa na kupata suluhu ya changamoto zao za kisheria dhidi ya serikali hawatakuwa na haja ya kuishitaki serikali katika vyombo mbalimbali vya utatuzi wa migogoro nje ya na ndani ya nchi”amesema Jaji Feleshi

Aidha, ameeleza lengo la kliniki hiyo ni kutekeleza maagizo ya Rais Samia, ambayo amekuwa akiyatoa mara kwa mara kwa viongozi wa serikali kuweka utaratibu wa kusikiliza malalamiko ya wanachi na kuyatatua.

“Ikiwa ni pamoja na kuwaongoza katika taratibu za kupata haki zao pale zinapovunjwa au zinapoonekana kuelekea kuvunjwa na kudumisha utawala bora kwa kuimarisha utawala wa sheria nchini”amesema 

Hata hivyo amesema kuwa  kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi kutasaidia kuongeza utengamano na utulivu katika jamii na kuchochea maendeleo kwa jamii na taifa kwa ujumla.

Pia ametoa rai kwa mawakili wote wa serikali kutenga muda na kuwasiliza wananchi katika maeneo yao kupitia kamati za ushauri wa kisheria ngazi za mikoa na wilaya zilizozinduliwa na Waziri Mkuu Kassim Mjaliwa.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Mary  Makondo,amesema kuwa lengo ni kuwasaidia wananchi ambao sisi sote tumepewa dhamana Mhe. Rais ili tuweze kuwahudumia ambapo hilo tunaliona kwa matendo wananchi wanaendelea kutatuliwa kero zao lakini pia kupata ushirikiano kutoka kwa wadau wote.

“Wizara ya Maendeleo ya Jamii,  Wizara ya Mambo ya Ndani tunawaona hapa kupitia dawati wananchi wameendelea kupata utatuzi wa haraka na maalum wa kero zao lakini kero nyingine tumeona ni za ndani watumishi ambao ni wastaafu tumeona wanapata changamoto lakini wengine bado wako kwenye ajira wanapata changamoto kwahiyo sisi tuko hapa kuweza kuwasaidia”, amesema Makondo

Naye, Makamu wa rais wa chama cha Mawakili wa serikali Tanzania Bi.Ellen Rwijage,ametoa wito kwa watanzania wote wenye kero zinazohusu masuala ya sheria kujitokeza kupata huduma hiyo bure.

“Mawakili wa serikali wamejipanga kutoa huduma kwa muda wa wiki moja ambao utatumika kusikiliza na kutoa elimu na ushauri wa kisheria.”amesema Rwijage

About the author

Alex Sonna