slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

imajbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

madridbet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

holiganbet

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

perabet

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU ASISITIZA MAMBO MANNE KWA SERIKALI

Written by Alex Sonna

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2023 huku akiainisha maeneo manne ya msisitizo kwa serikali ili kuweza kuongeza mapato kupitia sekta ya biashara.

Akichangia Juni 24,2024, Bungeni Jijini Dodoma Mtaturu ametaja eneo la kwanza kuwa ni biashara na kuishauri serikali kuondoa urasimu uliopo ili kuweza kukuza biashara.

Amesema katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)ya mwaka 2020/2025,Sekta ya biashara imetajwa kwa msisitizo mkubwa sana kupitia Ibara ya 49 ukurasa wa 60.

“Ibara hiyo imeeleza kuwa CCM inatambua kwamba biashara ni chanzo cha mapato na hivyo kitaendelea kuelekeza serikali kuimarisha biashara ya ndani nan je ya nchi,na imeahidi katika kipindi cha miaka mitano Chama kitahakikisha mchango wa sekta ya biashara kwenye pato la Taifa unaendelea kuimarika,

“Ninataka kukumbusha kwenye eneo hili kwamba sekta ya biashara ikisimamiwa vizuri inaweza kuongeza mapato ya nchi na fedha ambazo leo tuna changamoto kwenye miradi,tukiweza kuwekeza vizuri tutaweza kufanya miradi yetu vizuri,

Amesema katika biashara kuna urasimu mkubwa ambapo mtu akitaka kuwekeza kwenye biashara ni lazima aache kazi nyingine zote ili ashughulikie.

“Taasisi zetu zinazosimamia utoaji wa vibali zitazamwe upya ,ninaamini tukitazama kwenye eneo hilo itasaidia uwekezaji,leo Mh Rais wetu analeta wawekezaji nchini lakini ili mtu awezek uanzisah kampuni inamchukua mwezi mzima,sasa kwa hali hii unategemea wapi kodi itapatikana wakati mtu hajaanzisha biashara,

“Nikupe mfano mmoja leo mtu akitaka kujenga hoteli ya ghorofa hata ikianza ghorofa moja, mbili anaanza kupewa vikwazo kwamba kuna watu wazima moto nao wanataka fedha sasa tunakwenda wapi,

Suala la pili ni miundombinu ambayo ni uti wa mgongo wa biashara nchini na katika eneo hili ameomba serikali kujenga barabara ili kurahisisha sekta ya usafirishaji ikiwemo kusimamia ujenzi wa madaraja.

Amesema kunapokuwa na usafirishaji wa bei nafuu utasaidia kupunguza ushuru wa bidhaa mbalimbali na hivyo kuiomba serikali isimamie mpango wak ujenga barabara na kuongezewa nguvu ili kuhakikisha nchi inafunguka zaidi.

“Nitoe ombi kwenye eneo hili la barabara hatujafanya vizuri kwenye barabara ya za EPC+H,tulisainiwa mkataba toka mwaka jana mpaka tunavyoongea leo mwezi wa sita mwingine barabara hazijaanza ,barabara zenye urefu wa kilomita 2,035,kuna barabara ile ya kutoka Singida-Kwamtoro –Kiblash Tanga yenye kilomita 460 haijaanza kufanya kazi,wananchi wale tunawaambia nini,

Mtaturu ametaja eneo la tatu kuwa ni ardhi ambayo ndio msingi katika ujenzi wa Taifa lakini kuna migogoro mingi na hivyo kuomba bajeti hiyo ikajibu changamoto ambazo zipo kwa wakulima na wafugaji nchini.

“Leo hii watu wakitaka kutumia ardhi unaambiwa hii ardhi ni ya mtu fulani amechukua heka zaidi ya 1,000,heka zaidi ya 2,000 peke yake, watu wanaotaka kuwekeza katika nchi yetu wanakosa maeneo,hatujapima ardhi yetu tupime sasa na kuweka mpango wa matumizi bora ya ardhi ambao ndio utaondoa migogoro katika nchi hii,”amesema.

Mtaturu ametaja eneo la nne kuwa ni kilimo ambacho ni uti wa mgongo na kinaajiri wananchi zaidi ya asilimia 65.

“Ibara ya 35 ya Ilani ya CCM ukurasa wa 33 unasema kilimo kitaendelea kuwa mhimili wa Taifa letu, niombe sana jitihada zinazofanyika tunaziona uwekezaji wa mbolea ya ruzuku ,tumeona kwenye mbegu na utaalam mbalimbali ,tuendelee kuongeza uwezo wa wale watumishi wa kilimo ambao wapo kwenye maeneo yetu wakiwemo maafisa ugani

Mbali na mambo hayo manne amegusia pia uzalishaji wa sukari eneo ambalo amesema ni lazima serikali iingilie kati na kuweza kusimamia.

“Hatuwezi kuacha soko huria kwa jambo ambalo ni muhimu kwa wananchi,kilicholetwa hapa tupitishe ili NFRA waweze kununua sukari kwa niaba ya serikali na watanzania,leo hatuwezi kuona watu wanazunguka wanaitumia siasa sukari hatuwezi kukubali,

“Serikali makini na kiongozi makini anaposikia changamoto ni lazima atafute njia ya kutatua ambayo mojawapo ni hii ambayo tunayo sasa hivi ya kuweza kumonopoly soko la sukari ili kuwafanya watanzania wawe salama,sukari leo ni kila kitu ndio maisha,”.amesema.

About the author

Alex Sonna