Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

grandpashabet

grandpashabet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

matbet

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

pasacasino

deneme bonusu

https://sjconsultors.com/

matbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

tarafbet

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet adres

bets10 sorunsuz giriş

betpark

jojobet

jojobet

ultrabet

mavibet

mavibet

setrabet

deneme bonusu veren siteler 2026

anadoluslot

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

matbet giriş

betlike giriş

mavibet giriş

matbet güncel giriş

mavibet

mavibet

matbet giriş

matbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

paribahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU ASISITIZA MAMBO MANNE KWA SERIKALI

Written by Alex Sonna

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2023 huku akiainisha maeneo manne ya msisitizo kwa serikali ili kuweza kuongeza mapato kupitia sekta ya biashara.

Akichangia Juni 24,2024, Bungeni Jijini Dodoma Mtaturu ametaja eneo la kwanza kuwa ni biashara na kuishauri serikali kuondoa urasimu uliopo ili kuweza kukuza biashara.

Amesema katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)ya mwaka 2020/2025,Sekta ya biashara imetajwa kwa msisitizo mkubwa sana kupitia Ibara ya 49 ukurasa wa 60.

“Ibara hiyo imeeleza kuwa CCM inatambua kwamba biashara ni chanzo cha mapato na hivyo kitaendelea kuelekeza serikali kuimarisha biashara ya ndani nan je ya nchi,na imeahidi katika kipindi cha miaka mitano Chama kitahakikisha mchango wa sekta ya biashara kwenye pato la Taifa unaendelea kuimarika,

“Ninataka kukumbusha kwenye eneo hili kwamba sekta ya biashara ikisimamiwa vizuri inaweza kuongeza mapato ya nchi na fedha ambazo leo tuna changamoto kwenye miradi,tukiweza kuwekeza vizuri tutaweza kufanya miradi yetu vizuri,

Amesema katika biashara kuna urasimu mkubwa ambapo mtu akitaka kuwekeza kwenye biashara ni lazima aache kazi nyingine zote ili ashughulikie.

“Taasisi zetu zinazosimamia utoaji wa vibali zitazamwe upya ,ninaamini tukitazama kwenye eneo hilo itasaidia uwekezaji,leo Mh Rais wetu analeta wawekezaji nchini lakini ili mtu awezek uanzisah kampuni inamchukua mwezi mzima,sasa kwa hali hii unategemea wapi kodi itapatikana wakati mtu hajaanzisha biashara,

“Nikupe mfano mmoja leo mtu akitaka kujenga hoteli ya ghorofa hata ikianza ghorofa moja, mbili anaanza kupewa vikwazo kwamba kuna watu wazima moto nao wanataka fedha sasa tunakwenda wapi,

Suala la pili ni miundombinu ambayo ni uti wa mgongo wa biashara nchini na katika eneo hili ameomba serikali kujenga barabara ili kurahisisha sekta ya usafirishaji ikiwemo kusimamia ujenzi wa madaraja.

Amesema kunapokuwa na usafirishaji wa bei nafuu utasaidia kupunguza ushuru wa bidhaa mbalimbali na hivyo kuiomba serikali isimamie mpango wak ujenga barabara na kuongezewa nguvu ili kuhakikisha nchi inafunguka zaidi.

“Nitoe ombi kwenye eneo hili la barabara hatujafanya vizuri kwenye barabara ya za EPC+H,tulisainiwa mkataba toka mwaka jana mpaka tunavyoongea leo mwezi wa sita mwingine barabara hazijaanza ,barabara zenye urefu wa kilomita 2,035,kuna barabara ile ya kutoka Singida-Kwamtoro –Kiblash Tanga yenye kilomita 460 haijaanza kufanya kazi,wananchi wale tunawaambia nini,

Mtaturu ametaja eneo la tatu kuwa ni ardhi ambayo ndio msingi katika ujenzi wa Taifa lakini kuna migogoro mingi na hivyo kuomba bajeti hiyo ikajibu changamoto ambazo zipo kwa wakulima na wafugaji nchini.

“Leo hii watu wakitaka kutumia ardhi unaambiwa hii ardhi ni ya mtu fulani amechukua heka zaidi ya 1,000,heka zaidi ya 2,000 peke yake, watu wanaotaka kuwekeza katika nchi yetu wanakosa maeneo,hatujapima ardhi yetu tupime sasa na kuweka mpango wa matumizi bora ya ardhi ambao ndio utaondoa migogoro katika nchi hii,”amesema.

Mtaturu ametaja eneo la nne kuwa ni kilimo ambacho ni uti wa mgongo na kinaajiri wananchi zaidi ya asilimia 65.

“Ibara ya 35 ya Ilani ya CCM ukurasa wa 33 unasema kilimo kitaendelea kuwa mhimili wa Taifa letu, niombe sana jitihada zinazofanyika tunaziona uwekezaji wa mbolea ya ruzuku ,tumeona kwenye mbegu na utaalam mbalimbali ,tuendelee kuongeza uwezo wa wale watumishi wa kilimo ambao wapo kwenye maeneo yetu wakiwemo maafisa ugani

Mbali na mambo hayo manne amegusia pia uzalishaji wa sukari eneo ambalo amesema ni lazima serikali iingilie kati na kuweza kusimamia.

“Hatuwezi kuacha soko huria kwa jambo ambalo ni muhimu kwa wananchi,kilicholetwa hapa tupitishe ili NFRA waweze kununua sukari kwa niaba ya serikali na watanzania,leo hatuwezi kuona watu wanazunguka wanaitumia siasa sukari hatuwezi kukubali,

“Serikali makini na kiongozi makini anaposikia changamoto ni lazima atafute njia ya kutatua ambayo mojawapo ni hii ambayo tunayo sasa hivi ya kuweza kumonopoly soko la sukari ili kuwafanya watanzania wawe salama,sukari leo ni kila kitu ndio maisha,”.amesema.

About the author

Alex Sonna