Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

millibahis giriş

betlivo

betra

meritking giriş

marsbahis

meritking giriş

meritking

meritking

mavibet giriş

meritking telegram

marsbahis giriş

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

marsbahis

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

kingroyal

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

betpas

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

jojobet

bodrum escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

marsbahis

betsat giriş

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10 sorunsuz giriş

betsat giriş

sekabet güncel giriş

casinoroyal

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

betgaranti

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

matbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

Featured Kitaifa

UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA TAREHE 20 JULAI, 2024 KIGOMA

Written by mzalendo
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa Habari mkoani Kigoma leo tarehe 22 Juni, 2024 kuhusiana na kusogezwa mbele kwa uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambapo sasa utafanyika tarehe 20 Julai, 2024 mkoani Kigoma. 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa Habari mkoani Kigoma leo tarehe 22 Juni, 2024 kuhusiana na kusogezwa mbele kwa uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambapo sasa utafanyika tarehe 20 Julai, 2024 mkoani Kigoma. 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa Habari mkoani Kigoma leo tarehe 22 Juni, 2024 kuhusiana na kusogezwa mbele kwa uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambapo sasa utafanyika tarehe 20 Julai, 2024 mkoani Kigoma. Pamoja na e ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk. 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa Habari mkoani Kigoma leo tarehe 22 Juni, 2024 kuhusiana na kusogezwa mbele kwa uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambapo sasa utafanyika tarehe 20 Julai, 2024 mkoani Kigoma. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura, Bi. Giveness Aswile. 
Baadhi ya wajumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wakiwa katika mkutano huo leo. 

 

 

Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo. 

****************
Na. Mwandishi Wetu, Kigoma.

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kusogezwa mbele kwa zoezi la uboreshaji wa
Daftari la Kudumu la Wapiga Kura hadi tarehe 20 Julai, 2024 badala ya tarehe 01
Julai, 2024 iliyopangwa hapo awali.

Akizungumza
na waandishi wa habari mkoani Kigoma leo tarehe 22 Julai, 2024, Mwenyekiti wa
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele amesema kwamba uzinduzi wa zoezi hilo utafanyika
siku hiyo ya Jumamosi tarehe 20 Julai, 2024 mkoani Kigoma ambapo mgeni rasmi
anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim
Majaliwa Majaliwa (MB).

Mhe.
Mwambegele ameeleza kwamba uamuzi huo wa Tume umetokana na kuzingatiwa kwa
maoni ya wadau walioyatoa wakati wa mikutano iliyofanyika Jijini Dar es Salaam
na Mkoani Kigoma.

“Tume
imezingatia maoni na ushauri wa wadau. Hivyo, zoezi la uboreshaji wa Daftari la
Kudumu la Wapiga Kura litaanza tarehe 20 hadi 26 Julai, 2024 badala ya tarehe
01 hadi 07 Julai, 2024, mkoani Kigoma na uzinduzi utafanyika siku hiyo ya
tarehe 20 Julai, 2024 mkoani Kigoma ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb),”
amesema.

Akizungumzia
maoni hayo ya wadau, Mhe. Mwambegele amesema Tume imefanya mikutano tisa ya
wadau ngazi ya Taifa mkoani Dar es Salaam kati ya tarehe 07 hadi 15 Juni, 2024
na mkutano mmoja wa wadau ngazi ya mkoa kwa mkoa wa Kigoma uliofanyika tarehe
19 Juni 2024.

Amewataja
wadau waliokutana na Tume kuwa ni pamoja na Viongozi wa Vyama vya Siasa,
Viongozi wa Dini, Wawakilishi wa Asasi za Kiraia, Wahariri wa Vyombo vya
habari, Waandishi wa habari, Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri,
Wawakilishi wa Makundi mbalimbali ya Vijana, Watu wenye ulemavu, wanawake na
Wazee wa Kimila.

“Vyama vya
siasa vilitoa maoni na ushauri wa kupatiwa muda wa kutosha kwa ajili ya
kuwapata mawakala wa uandikishaji ili mawakala hao waweze kushiriki katika
zoezi kikamilifu. Aidha, vyama viliishauri Tume isogeze mbele muda wa kuanza
kwa zoezi la uboreshaji ili kutoa fursa kwa wao kuhamasisha wananchi na wafuasi
wao kujitokeza katika zoezi hilo,” amesema Jaji Mwambegele.

Amewataja
wadau wengine waliotoa maoni kuwa ni pamoja na taasisi na Asasi zilizoomba
kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uboreshaji ambazo zilieleza kuwa
kibali kinapotolewa na Tume huwa ni muda mfupi kufikia zoezi la uboreshaji
kuanza na wakashauri Tume ione namna ya kutoa kibali kwa muda utakaowawezesha
kupata fedha kutoka kwa wafadhili ili zoezi likianza nao waanze kutoa elimu
hiyo.

Kwa upande wa
Taasisi na Asasi zilizoomba kibali cha kuwa waangalizi wa uandikishaji wakati
wa uboreshaji, zilieleza kuwa kibali kinapotolewa na Tume huwa ni muda mfupi
kufikia zoezi la uboreshaji kuanza na wakashauri Tume ione namna ya kutoa
kibali kwa muda utakaowawezesha kupata fedha kutoka kwa wafadhili ili zoezi
likianza nao waanze kazi ya kutazama namna zoezi linavyoendeshwa.

Maoni mengine
ya wadau yaliyopelekea Tume kufikia uamuzi huo wa kusogeza mbele tarehe ya kuanza
na kuzindua uboreshaji wa Daftari ni yale ya kuishauri Tume ijipe muda wa
kutosha kutoa elimu ya mpiga kura kwa wadau na wananchi kabla ya kuanza kwa
zoezi lenyewe, ili wananchi wengi waweze kuelewa zoezi husika na hivyo
kuwawezesha kujitokeza kwa wingi wakati zoezi litakapoanza.

About the author

mzalendo