Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

meritking

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

meritbet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

BENKI YA TCB YATANGAZA FAIDA YA SH. BILIONI 19.27

Written by Alex Sonna

 

Mwandishi wetu, DAR ES SALAAM 

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Adam Mihayo amesema kuwa Benki hiyo imeshuhudia ongezeko kubwa la mapato ya jumla ya Shilingi Bilioni 19.27 sawa na asilimia 11.19 hadi kufika  Bilioni 19. 21, kwa mwaka 2023. ikilinganishwa na mwaka 2022 ambapo mapato yalikuwa Bilioni 172.83 sawa na asilimia 1.72.

Mihayo ameyasema hayo alipokuwa akiwasilisha taarifa ya Benki hiyo ya mwaka 2023 katika mkutano mkuu wa 32 wa wanahisa uliofanyika leo Juni 18, 2024 Jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa ongezeko hilo lilichangia asilimia 79.61 ya mapato yote ya Benki, huku kiasi kilichobaki kikipatikana kutoka katika kamisheni, ada mbalimbali na shughuli nyingine zilizofanywa na Benki.

Aidha, ameongeza kuwa Taasisi hiyo ina dhamira ya dhati ya kudumisha ufanisi na kumridhisha mteja sambamba na kusikiliza na kuelewa mahitaji ya wateja wake .

Katika mkutano huo Mihayo amefafanua kwa undani mafanikio waliyoyapata mwaka 2023, na kusema kuwa Mali za  Benki hiyo ziliongezeka kutoka Shilingi Trilioni 1.285 mwishoni mwa mwaka hadi kufikia Tririon 1.389 mwishoni mwa mwaka 2023, sawa na ongezeko la asilimia 8.1 ikiwa ni sawa na Shilingi Bilioni 103. 9.

“Jumla ya mikopo yote iliongezeka kwa shilingi Bilioni 73.1 kutoka Bilioni 838 mwishoni mwa mwaka 2022 mpaka kufika Bilioni 911.2 mnamo Disemba 31, 2023 ikionyesha ongezeko la Amana za wateja ambazo ziliongezeka kwa asilimia 12.01 kutoka Trillion 1 mwishoni mwa mwaka 2022, hadi kufika Trilioni 1.12 mwishoni mwa mwaka 2023” amefafanua Mihayo.

Pia amesema, kupitia usimamizi wa kimkakati wa uwekezaji wake,  Amana za
TCB Benki katika Benki nyingine zilishuka kwa Shilingi Bilioni 55.3 (33.32%), huku Amana za Serikali zikiongezeka kwa Shilingi Bilioni 44.1 (42.64%), fedha tasilimu, ambapo salio katika Benki Kuu ya Tanzania (BOT) liliongezeka kwa Shilingi Bilioni 47 sawa na asilimia 41.26.

Mbali na hayo, Mihayo amesema Benki hiyo imeboresha mifumo yake ya kibenki kwa kuanzisha mradi unaowawezesha watumiaji wa mtandao wa Tigo kutoa hela zao katika mashine za ATM za Benki hiyo.

Aidha amesema kuwa majaribio ya mashine za ATM zinazowawezesha wateja kuweka fedha zao tayari yamefanyika, ambapo huduma hiyo inatarajiwa kuzinduliwa mwaka huu.

“Tutaendelea kuhakikisha tunawawezesha kupata suluhisho la kifedha katika mahitaji yao mbalimbali, ili kuchangia katika mafanikio ya Watanzania kama ambavyo dhamira yetu ya kuwezesha ukuaji wa kiuchumi wa watu wetu inavyoeleza.”

Sambamba na hayo, Mihayo amesema Benki ilionyesha dhamira yake ya kuongeza ubunifu na kutimiza mahitaji ya wateja kwa kuzindua bidhaa zinazomlenga mteja, ambapo moja ya bidhaa hizo ni ya mikopo kwa wastaafu, (Pensioner’s Advance Loan) ambao ni mpango unaowawezesha wastaafu kupokea kiinua mgongo kabla ya wakati.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi wa Benki hiyo, Martin Emmanuel Kilimba ameeleza kuwa katika kujiandaa na mwaka ujao wa fedha wanakusudia kuendelea kuboresha ufanisini wao ili kuwezesha ukuaji wa Taasisi hiyo.

“Malengo yetu ni kuendelea kuboresha mizania, kujenga taswira mpya ya taasisi yetu, kupokea teknolojia ya kidigitali, kufanya uhakiki wa hasara, na kusimamia rasilimali watu.

“Tunaamini mambo haya yatatupeleka katika kilele cha mafanikio na kutengenza thamani kwa wanahisa wetu.” ameeleza Kilimba.

About the author

Alex Sonna