slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

betixir

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

jojobet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

health and beauty

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

pusulabet

matbet

vdcasino giriş

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Hacklink panel

Casibom

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

pusulabet

holiganbet

Featured Kitaifa

SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA MAJENGO YA UTAWALA-MAJALIWA

Written by mzalendo

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga makofi baada ya kuweka jiwe la msingi la jengo la utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Geita, Juni 2, 2024. Kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande na wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka  jiwe la msingi la jengo la utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Geita, Juni 2, 2024. Kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande na wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Muonekano wa jengo la utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita ambalo Waziri mkuu, Kassim Majaliwa aliweka jiwe la msingi la ujenzi wake, Juni 2, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi alipowasili kwenye uwanja wa Sabasaba uliopo Karumwa wilayani Nyang’hwale, mkoa wa Geita,  kuhutubia mkutano wa hadhara, Juni 2, 2024.(Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu)

Waziri kuu, Kassim Majaliwa akizindua jengo la Kituo cha Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi  wilaya ya Nyang’wale mkoani Geita, Juni 2, 2024. Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela na kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Beng’i Issa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wajasiliamali waliowezeshwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi baada ya kuzindua Kituo cha Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililopo Karumwa wilayani Nyang’wale mkoani Geita, Juni 2, 2024. Wa pili kulia ni Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine Shigela na wa tatu kulia ni Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale, Grace Kingarame. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama nguo za batiki alipotembelea banda la maonesho la wanawake wajasiriamali waliowezeshwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi baada ya kuzindua kituo cha baraza hilo kilichopo Karumwa wilayani Nyang’wale mkoa wa Geita, Juni 2, 2024.   Kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Beng’i Issa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mwalimu Rehema Mwakalanga alipotembelea banda la maonesho la wanawake wajasiriamali waliowezeshwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi baada ya kuzindua kituo cha Baraza hilo kilichopo Karumwa wilayani Nyang’hwale mkoa wa Geita, Juni 2, 2024.   Wa pili kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Beng,i Issa.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

default

default

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi kwenye uwanja wa Sabasaba uliopo Karumwa wilayani Nyang’hwale mkoani Geita, Juni 2, 2024. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

…..

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ataendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuimarisha majengo ya utawala kwenye halmashauri zote nchini ikiwemo na ya wilaya ya Nyang’hwale.

Amesema ujenzi wa majengo hayo ya kutolea huduma kwa wananchi ni utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020-2025 ambayo imeielekeza Serikali kujenga miundombinu hiyo muhimu.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumapili, Juni 02, 2024) baada ya kuweka jiwe la msingi la jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Nyangh’hwale ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 85 na umegharimu sh bilioni 3.7.

“Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ataendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuimarisha majengo ya utawala kwenye halmashauri zetu lengo likiwa ni kuona wananchi wanapata huduma karibu na maeneo yao”

Aidha, Waziri Mkuu amewataka Wakuu wa Idara na watumishi wote waendelee kufanya kazi kwa bidii, weledi na uadilifu mkubwa katika kuwahudumia wananchi “Wananchi wana matumaini makubwa na Serikali yao, wahudumieni na mtatue kero zao.”

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale, Husna Toni amesema mradi huo utakapokamilika utaboresha mazingira ya kufanya kazi kwa watumishi wa halmashauri hiyo na kuongeza ufanisi katika kuwahudumia wananchi.

Mkurugenzi huyo ametumia fursa hiyo kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha fedha nyingi kwenda katika halmashauri yao kwa ajili utekelezaji wa miradi mbalimbali zikiwemo na za kumalizia ujenzi wa jengo hilo ulioanza 2017/2018.

Baada ya kuweka jiwe na msingi la jengo la halmashauri, pia Waziri Mkuu amezindua jengo la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ambalo litawawezesha wafanyabiashara na wajasiriamali kupata huduma mbalimbali ikiwemo elimu ya biashara na ujasiriamali.

Akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la jengo hilo ambalo limejengwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) lililopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Majaliwa amewataka wakazi wa eneo hilo kutumia fursa kituo hicho kwa ajili ya kupata elimu ya biashara na ujasiriamali pamoja na mikopo ili wajiendeleze kiuchumi.

Aidha, Mheshimiwa Majaliwa amewataka wananchi hao kuunda vikundi ili waweze kunufaika na mikopo inayotolewa na Serikali. “Vikundi vinakopesheka kwa urahisi hata anuani yake ni rahisi”.

Naye, Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande ameipongeza Serikali kwa ujenzi wa kituo hicho kwani kitatoa fursa ya wafanyabiashara na wajasiriamali kupata elimu sahihi ya mikopo na kujiepusha na mikopo umiza.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga ameahidi kuendelea kusimamia ujenzi na uendelezaji wa vituo hivyo katika maeneo mengine nchini ili viweze kuleta tija kwa wananchi.

Awali, Mkuu wa wilaya hiyo, Grace Kingalame alimshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuidhinisha utoaji wa fedha ambapo katika wilaya yao wamepokea zaidi ya sh bilioni 25 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Amesema kati ya fedha hizo shilingi tisa zimetumika katika utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme vijijini na tayari vijiji vyote vya wilaya hiyo vimepata umeme, pia zaidi ya shilingi bilioni 6.8 zimepelekwa katika utekelezaji wa miradi ya maji.

About the author

mzalendo