marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

anadoluslot

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

savoycasino

https://letsrelaxspa.today/

boostaro review

casibom giriş

betticket

NervEase

Çanakkale Escort

Denizli Escort

Samsun Escort

jojobet giriş

grandpashabet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

cratosroyalbet

casibom

dizipal

1xbet

1xbet

holiganbet giriş

marsbahis

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

betpuan

bets10

betasus giriş

Featured Kitaifa

VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYA NAJALI NA TIMIZA MBADALA WA TOTO AFYA KADI

Written by mzalendo

Na. WAF, Dodoma

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema Mfumo wa kulipia Bima za watoto kupitia Toto Afya Kadi umebadilika na kwa sasa unafanyika kupitia utaratibu wa shule na vifurushi vya bima ya afya vya najali, wekeza na Timiza ambapo wanajiunga kupitia wazazi wao.

Dkt. Mollel amebainisha hayo leo Jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya bungeni katika bunge la 12 mkutano wa 15 kikao cha 34.

Dkt. Mollel amesema kuanza utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote utawezesha makundi mbalimbali ya wananchi wakiwemo Watoto kupata huduma za Afya kwa urahisi pasipo kuwa na vikwazo.

“Nitoe rai kwa Waganga wafawidhi wa Hospitali za Rufaa nchini kuhakikisha wanawapokea watoto wanaotoka katika maeneo ya hospitali zilipo na kuwapatia Huduma”, ametoa wito Dkt. Mollel

Dkt. Mollel ameeleza kuwa Serikali imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 5 kwa ajili ya Ukamilishaji wa Jengo la Mama na Mtoto, wodi ya Watoto na wodi ya wanaume katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi lenye sehemu 2 ambazo ni msambamba A na B.

Aidha eneo la msambamba A limekamilika kwa 98% na tayari linatumika kwa huduma za wagonjwa wa nje na huduma za Radiolojia na,eneo la msambamba B limefikia asimia 20 na ujenzi unaendelea.

Katika hatua nyingine Serikali imefanya uzinduzi wa Kampeni ya Mtu ni Afya kwa awamu ya pili ambayo inahimiza kuhusu kujengo vyoo bora, lishe bora, udhibiti wa taka, udhibiti wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza sambamba na unawaji wa mikono kwa maji na Sabuni.

Dkt. Mollel ametoa wito kwa Wabunge na Watanzania kuendeleza utamaduni wa kunawa mikono ili kuendelea kuchukua tahadhari juu ya magonjwa mbalimbali.

Kampeni hii imezinduliwa tarehe 9.5.2024 na Mheshimiwa Daktari Philip Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kutekelezwa kwake kutawezesha kudhibiti magonjwa ambukizi katika jamii.

About the author

mzalendo