marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

marsbahis

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

vdcasino

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Featured Kitaifa

JIUNGE NA JKT UKIOMBWA FEDHA TOA TAARIFA KWA MAMLAKA HUSIKA-MEJA JENERALI MABELE

Written by mzalendo

Mkuu  wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,akizungumza na  waandishi wa habari katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Operesheni JKT Kanali Aisha Matanza,akizungumza na  waandishi wa habari katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.

Kamanda wa Kikosi cha 822 KJ  Rwamkoma,Luteni Kanali Gaudencia Mapunda,akiwahimiza wazazi kuwaleta watoto wao kujiunga na mafunzo ya JKT.

Na Alex Sonna-BUTIAMA
JESHI la Kujenga Taifa ( JKT) limesema hakuna mateso katika mafunzo ambayo limekuwa likiyatoa kwani kijana anaandaliwa kuwa mtiifu,mwaminifu na anaependa kazi huku likisisitiza hakuna fedha yoyote inayohitajika ili mtoto aweze kujiunga na Jeshi hilo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Kikosi cha Jeshi 822 KJ Rwamkoma wilayani Butiama Mkoani Mara.
Meja Jenerali Mabele amesema vijana wanaojiunga  na  JKT wapo salama na wanawalea  vizuri kwa mujibu wa maadili ya kitanzania.
Amesema hakuna manyanyaso yoyote kwani kila wanachofanya kipo kwa mujibu wa mafunzo na hawapo kwa ajili ya kuwatesa vijana.
Amesema kijana anayetoka JKT atakuwa na sifa tatu ambazo ni mwaminifu,mtiifu na anaependa kazi.
“Hakuna mateso ni mambo mazuri kabisa ambayo kijana akiyafuatilia tunapata kijana mzuri ambaye atalisaidia  Taifa lake,”amesema Meja Jenerali Mabele
Amesema mafunzo hayo ni gharama hivyo mzazi anaweza kumchangia kijana wake lakini watakuwa wameonesha katika tovuti ya Jeshi hilo kipi anatakiwa kuchangia.
“Hakuna pesa yoyote itakayokuwa ikihitajika pesa atakayokuja nayo ni ya matumizi ya kwake yeye mwenyewe kama mzazi atampa ni ya kuja kutumia yeye  akiwa ndani ya JKT kwa matumizi yake lakini akiwa ndani kuna posho kidogo huwa tunatoa kwa ajili ya sabuni na vitu vingine,”amesema Meja Jenerali Mabele
Kutokana na hali hiyo limewataka wazazi ama walezi wakiombwa fedha kutoa taarifa katika Mamlaka husika.
Pia Jeshi hilo,limesema wakati wowote kuanzia sasa litatangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo kwa wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita hivi karibuni hivyo kuwaomba waliomaliza kuchangamkia fursa hiyo hasa wanawake.
Aidha  amesema kuna mafunzo ya aina mbili ya kujitolea ambayo ni  miaka miwili na vijana kwa mujibu wa sheria wanaofanya kwa miezi mitatu.
 Meja Jenerali Mabele amesema JKT tayari wamejitayarisha kuwahudumia wanafunzi wa kidato cha sita wanaotarajia kumaliza mtihani hivi karibuni na kutakiwa kujiunga kwa mujibu wa sheria.
“Kwahiyo wakati wowote kuanzia sasa tutatangaza kwamba waje kujiunga na Jeshi.Naomba niwatoe wasiwasi kumekuwepo na mambo mengi watu wakiwatisha kwenye mitandao niwahakikishie mafunzo haya ni salama kwa watoto wote wa jinsi ya kiume na kike,”amesisitiza Meja Jenerali Mabele
Amesema hivi karibuni watatangaza na  wataonesha vitu ambavyo vijana wanatakiwa kwenda navyo.
Amesema pia kwenye mafunzo ya kujitolea watu wamekuwa wakidanganyika kwa kutoa fedha ili mtoto wake aweze  kusaidiwa amedai hakuna fedha bali mhusika akipita katika michakato na ukakubalika hakuna pa kutoa fedha hivyo atakaombwa atoe   taarifa kwa Mamlaka husika.
Kwa upande wake,Mkuu wa Tawi la Mafunzo na Operesheni JKT Kanali Aisha Matanza,amesema kuwa  mafunzo yote  yanayotolewa na JKT amesema kwa upande wa mafunzo ya vijana silabi na miongozo yote  imetengenezwa kwa kufuata maelekezo ya Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Mabele.
Kanali Matanza amesema jukumu lake ni kuhakikisha yale yote silabi na masomo yanatakiwa kutekelezwa kwa  vijana kwa mujibu wa sheria yanatekelezwa.
Amesema ofisi yake ndio inaratibu na kusimamia kwa kufuata maelekezo kupitia mafunzo hayo wanaowafundisha huwa wanapata semina elekezi yapi wafanye na yapi hawatakiwi kufanya.
“Kwa maana hiyo hatutegemei kwamba haya mafunzo wakufunzu wataenda kinyume.Niwatoe hofu vijana hususani Wanawake JKT ni salama anachofundishwa mwanaume ndicho anachofundishwa mwanamke hakuna vitisho manyanyaso mazoezi yameratibiwa,”amesema Kanali Matanza.
Naye, Kamanda wa Kikosi cha 822 KJ  Rwamkoma,Luteni Kanali Gaudencia Mapunda amewahimiza wazazi na walezi kutumia fursa ya mafunzo ya JKT kwani yana faida kubwa
Amezitaja  faida hizo  ni uzalendo,ujasiri na kupenda  kazi kwani kila mmoja ni shuhuda kijana anaemaliza mafunzo huwa amekamilika.
“Nitumie nafasi hii kuwaasa wazazi na walezi waleteni  wahudhurie mafunzo hasa wale wa kike mimi mwenyewe ni Kamanda wa kikosi na nilianza huko,”amesema Luteni Kanali Mapunda.

About the author

mzalendo