marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

1win

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

imajbet

vdcasino

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Featured Kitaifa

WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA WILAYANI MALINYI

Written by mzalendo

Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendelea na kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali.

Wamesema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa huo zimesababisha maji kupita juu ya barabara na kusababisha mmomonyoko katika kingo za barabara na baadhi ya makalvati na madaraja hivyo kuathiri miundombinu hiyo iliyopelekea shughuli za kiuchumi kusimama kwa muda.

Wananchi hao Cheyo Nkiya mkazi wa Kijiji cha Mnazi mmoja, Athuman Mfaume mkazi wa Kijiji cha Sofimajiji, Amisa Ngatoluwa mkazi wa Kijiji cha Mtimbila, na Ruben Patrick mkazi wa Kijiji cha Kiswago wakizungumza kwa nyakati tofauti wameishukuru serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha kuwa inarekebisha haraka miundombinu ya barabara na madaraja ili iweze kupitika.

Wamesema kuwa uharibifu wa barabara ulisababisha wananchi kutumia usafiri wa pikipiki ambao walikuwa wanatozwa kati ya shilingi 20,00 mpaka 30,000 kwa umbali usiozidi Kilomita 20 kuelekea makao makuu ya wilaya ya Malinyi katika eneo la Mtimbila.

Kwa upande wa madereva wanaofanya usafirishaji wa watu na bidhaa kwa kutumia trekta Haidari Shaban na Mohamed Ramadhan wakazi wa Ifakara wamekiri kuwa usafiri wa trekta unaharibifu barabara huku wakiwasihi madereva wengine kuacha kutumia barabara hizo kipindi hiki cha mvua.

Akizungumza mara baada ya kukagua urejeshaji wa miundombinu katika barabara ya Lupilo-Malinyi Bw William Sungura ambaye ni Mhandisi Mwandamizi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Morogoro amesema kuwa serikali inaendelea na juhudi za kuhakikisha inarudisha mawasiliano hususani kwa maeneo yaliyokuwa yamekata mawasiliano.

Ametoa rai kwa madereva wanaotumia trekta kuwakwamua madereva wengine barabarani na kujikwamua wanapokuwa wamekwama kutoacha mashimo mara baada ya kujikwamua kwani jambo hilo linalosababisha barabara kujifunga na kuongeza changamoto zaidi ya uharibifu.

     

About the author

mzalendo