Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

Featured Kitaifa

THTU YATAKA HATUA KALI WANAOHUJUMU NHIF,YAIPA SERIKALI ANGALIZO KUHUSU KIKOKOTOO

Written by mzalendo
Mwenyekiti wa Chama Cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), Dkt. Paul Loisulie,akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Uchambuzi na Mapendekezo ya hoja za NHIF na Pensheni nchini Tanzania.
Na Alex Sonna-DODOMA

KUELEKEA Bima ya Afya kwa Wote Chama  Cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu (THTU) imeshauri serikali kuendelea kuchukua hatua kali dhidi ya watu wanaotumia  vibaya fedha za mifuko ya bima ya afya ili kukomesha tabia hiyo.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa THTU Taifa Dk. Paul Loisulie, wakati akitoa  Mapendekezo ya Hoja Za NHIF na  Pensheni Nchini Tanzania.

Alisema pamoja na changamoto zote na dalili isiyo nzuri juu ya Bima ya Afya kwa  wote,  THTU inaamini kuna mambo ya kufanyika kwa utashi sahihi  na nia thabiti ili kuwezesha Bima ya Afya kwa wote ifanye kazi kwa  ufanisi mkubwa.

“Serikali iwe na hasira na wivu juu ya rasilimali zinazotapanywa  kila mara katika mifuko hii na kuchukua hatua ya kukomesha. 

Aliongeza kuwa :”Isisubiri ripoti ya CAG bali ichukue hatua mapema. Serikali pia  iepuke utaratibu wake wa kukopa au kujichotea pesa kutoka  kwenye mfuko ili pesa hizo zitumike kugharamia huduma za afya tun a si vinginevyo,”

Loisulie  alishauri   Bunge litimize wajibu wake kikamilifu katika kutunga sheria rafiki  kwa wafanyakazi na wanajamii Pamoja na kuisimamia serikali  katika usimamizi wa mifuko husika.

Alisisitiza kuwa Bunge halipaswi kuwa  sehemu ya kulalamika bali kutatua changamoto zinazojitokeza

Katika hatua nyingine alisema upo ulazima wa Wafanyakazi, wanajamii na wanufaika wote wa  Bima kuamka usingizini na kuacha tabia ya kugugumia chini kwa  chini huku Mfuko ukiteketea.

“Ijengeke tabia ya kuhoji na  kushinikiza uwajibikaji pale matumizi mabaya na usimamizi  usioridhisha inapobainika na mamlaka zinazoaminika kama CAG,”alifafanua . 

Aliongeza kuwa :” Ifanyike mijadala ya wazi na shirikishi kuhusu uhai wa mfuko  mara kwa mara ili kubaini changamoto na namna ya kuzitatua  badala ya kuachia mfuko peke yake. Hii itahusisha pia kutumia  ripoti za kitaalamu za tathmini juu ya mwenendo wa mfuko,”. 

Kuhusu Kikokotoo, (THTU) imependekeza Kikokotoo kifanyiwe mabadilko kwa kuongeza umri baada ya kustaafu toka miaka 12.5 hadi 15.5 na  wanachama wapewe angalau 50% kama mafao ya mkupuo.

 amesema “Kuhusu hoja ya Kikokotoo kinachotumika  hakiakisi hali halisi  ya wanachama – kanuni  8(1)(a)(b)(c) (a) kigezo cha umri (b) kigezo cha malipo  ya mkupuo mapendekezo yao ni Kikokotoo kifanyiwe mabadilko  kwa kuongeza umri baada ya kustaafu toka miaka 12.5 hadi 15.5.”amesema Dkt.Loisulie
Pia  wanachama wapewe angalau 50%  kama mafao ya mkupuo itumike 1/540 badala ya 1/580.
Kuhusu Waziri husika kuwa na  mamlaka ya kuamua kiwango cha michango ya mwanachama katika mfuko wanapendekeza Kifungu kidogo cha 18(2)(b) kiondolewe. 

About the author

mzalendo