marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

pusulabet

matbet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

ultrabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

tambet

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

jojobet giriş

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

enjoybet giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

Featured Kitaifa

MAKAZI YA ASKARI WA ZIMAMOTO KIKOMBO   KUBADILI TASWIRA YA JIJI LA DODOMA- KATIBU MKUU GUGU

Written by mzalendo

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Ally Gugu amekagua  na kuridhishwa  na ujenzi wa  makazi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, yaliyopo Kikombo jijini Dodoma ambapo, jumla ya majengo ya ghorofa sita yenye uwezo wa kuishi familia 60 yakiwa yamekamilika na majengo mawili yakiwa katika hatua ya msingi.

Akizungumza katika ukaguzi huo, Katibu Mkuu Gugu amesema kuwa ujenzi wa makazi hayo ya Askari ambao ni waajiriwa katika kada za awali za Jeshi lengo lake ni  kuleta ustaarabu na staha kwa Askari hao na pia kuboresha na kuendelea kubadili taswira ya jiji la Dodoma kutokana na mwonekano wake.

“Nampongeza sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Serikali yake.Thamani ya mradi huu kwa ukubwa  wake unathamani ya fedha zisizopungua  Shilingi bilioni 11. Mpaka sasa majengo sita yamekwisha kamilika ambapo jumla ya familia 60 zitakwenda kunuifa na makazi haya. Majengo mawili yatakayobeba familia 20 yapo katika hatua ya msingi na lengo la mradi ni kufikia familia  80. Hii ni motisha kwa Askari na inaonesha dhahiri jinsi Serikali inawajali Askari wake ikiwemo Askari wa Jeshi hili.”Alisema Gugu

Awali, akizungumza na Maafisa, Askari na Watumishi Raia katika kikao maalumu cha kujitambulisha na kufahamiana mara baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara, Gugu amewahimiza Watumishi kufanya kazi kwa ushirikiano kama timu moja, kuzingatia weledi na kuthamini jitihada zinazofanywa na Serikali katika kuimarisha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Katika kutekeleza majukumu ya msingi ya Jeshi hilo, Gugu amesema Jeshi hilo halina budi kuendelea kushiriki ipasavyo katika udhibiti wa matukio ambayo yanaweza  kuleta majanga na athari kwa binadamu na mali zake na hivyo amelielekeza  Jeshi hilo kuendelea  kujenga uelewa kwa kutoa elimu kwa jamii ili kuendelea kubaki salama.

Katika hatua nyingine Katibu Mkuu Gugu ametembelea na kukagua ujenzi wa Jengo la Wizara Mtumba na kituo kipya  cha Zimamoto na Uokoaji kilichopo Nzuguni, jijini Dodoma.

About the author

mzalendo