Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

vdcasino

lordcasino

marsbahis

vipslot

celtabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

betlivo

eyfelcasino

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

meritking telegram

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

casival

luxbet

betnis

parmabet

betvoy

meritking

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

armabahis

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

betlivo

hazbet

netbahis

betra

primebahis

betturkey

betturkey giriş

otobet

otobet giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

robinbet giriş

betpark giriş

holiganbet

betpark

uyuşturucu satın al

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

starzbet

jojobet

betmarino

avrupabet

lordcasino giriş

dengebet

celtabet

betcool

kareasbet

betcool

millibahis

betnis giriş

casival

betvoy

hazbet

betnef

avrupabet

betmarino giriş

betmani

betvakti

marsbahis

prensbet

betmani

millibahis

eyfelcasino

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

gobahis

betnef

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

armabahis

meritking giriş

meritking

alobet, alobet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

grandpashabet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

mislibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

grandpashabet giriş

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

sweet bonanza

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking giriş

meritking güncel giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

betvakti

parmabet

gobahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

mislibet giriş

cratosroyalbet

mislibet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

romabet

meritking

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

sekabet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

grandpashabet

casibom

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Featured Kitaifa

WAHITIMU WA MASOMO YA SHERIA NCHINI WASISITIZWA KUWA NA UTAMADUNI WA KUJISOMEA.

Written by Alex Sonna

 

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma, akizungumza wakati akiongoza maadhimisho ya Siku ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika Leo Aprili 15,2024 jijini Dodoma.

 Makamu Mkuu wa Chuo cha UDOM Prof. Lughano Kusiluka akizungumza wakati wa  maadhimisho ya Siku ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika Leo Aprili 15,2024 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma (hayupo pichani), wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika Leo Aprili 15,2024 jijini Dodoma.

Na Gideon Gregory, Dodoma.

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma amewasisitiza wanafunzi wanaohitimu masomo ya Sheria nchini kuwa na utamaduni wa kujisomea kwani kwasasa dunia inapitia mabadiliko makubwa ya matumizi ya Teknolojia kwenye utendaji wa kazi.

Jaji Mkuu ameyasema hayo leo Aprili 15,2024 Jijini Dodoma wakati akiongoza maadhimisho ya Siku ya Sheria ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo yameongozwa na kauli mbiu isemayo “Uimarishwaji wa kliniki za sheria vyuo vikuu katika kukuza na kupanua wigo wa upatikanaji wa haki Tanzania”.

“Maarifa katika Karne ya 21 huletewi, unatafuta na unatafuta kwa kusoma bahati nzuri tuna mifumo mizuri ya Teknolojia ambayo inatuwezesha kusoma na Mwalimu Nyerere alisema wenzetu wanapotembea sisi tunapaswa kukimbia,”amesema.

Amesema hivyo katika zama hizi za teknolojia wanapaswa kukimbia ili kwenda sawa na wenzao kwani kasi ya mabadiriko ni kubwa sana.

Aidha amesema kwasasa kuna changamoto kubwa ya mrundikano wa mawakili katika maeneo ya mjini hivyo amewaomba wanafunzi hao pindi watakapohitimu masomo yao kusambaa katika maeneo mbalimbali ya nchi ikiwemo Vijijini ili kuweza kuwasaidia wananchi wanaopitia changamoto za kisheria.

“Mnapokutana na wananchi katika kutoa msaada wa Kisheria moja ya majukumu yenu ni kuhakikisha mnafahamu changamoto za kisheria ambazo zinawakabiri wananchi wa kawaida, kuna watu wapo Tanzania lakini hawajui uhalisia wa changamoto zinazo wakabiri wananchi wa kwaida,”amesema.

Pia ameongeza kuwa hakuna uwekezaji mkubwa kama uwekezaji wa maarifa kwani Karne hii ya 21 inahitaji zaidi maarifa ili kuweza kutimiza majukumu yao ipasavyo.

Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Chuo cha UDOM Prof. Lughano Kusiluka ameiomba Mahakama kuwa na matawi ya vyuo vya sheria kila kanda ili kuweza kuwasaidia wanafunzi wanaotaka kusoma sheria kubakia katika maeneo yao kuliko kusafiri kufuata vyuo hivyo sehemu za mbali.

“Mimi nashauri ila mtaangalia kama litakuwa ni jambo jema kwakuwa tuna Majaji wengi kwenye kanda na hao ndiyo wakuwafundisha hawa kwenye mafunzo kwa vitendo, kwakuwa tuna TEHAMA ambayo inaweza ikawasaidia watu kusoma na vitendo nadhani ingekuwa ni vizuri Mahakama ikafikiria kuwa na matawi ya shule za Sheria angalau katika kila kanda ili vijana hawa waweze kusoma huko,”amesema.

Amesema wamekuwa wakishirikiana vyema na Wizara ya Katiba na Sheria na wadau wengine kama njia ya kuweza kuwajengea uwezo na ufanisi mkubwa vijana wanahitimu masomo yao ya Sheria.

Maadhimisho ya Siku ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa mwaka huu yanaadhimishwa kwa mara ya Tatu rangu yaasisiwe.

About the author

Alex Sonna