marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WACHIMBAJI WADOGO SONGWE, LESENI 37 ZA UCHIMBAJI MADINI ZATOLEWA

Written by mzalendo

Na Mwandishi Wetu, Songwe

Serikali ya Awamu Sita, chini ya uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan imetekeleza ombi la siku nyingi la Wachimbaji w
Wadogo Wilayani Songwe kwa kuwatengea eneo la uchimbaji na kuwakabidhi jumla ya Leseni ndogo 37 zilizopo eneo la Kata ya Saza kutoka Leseni hodhi namba RL0009/2014 ya iliyokuwa Kampuni ya Bafex Tanzania Limited.

Hayo yameelezwa leo Machi 23, 2024 na Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde alipofika eneo la Saza Wilayani Songwe kukabidhi leseni 19 kwa wachimbaji wadogo wa Kikundi cha Songwe Gold Family (SGF) na wachimbaji wengine wadogo wadogo 18 huku mchakato wa kuendelea kutoa Leseni zaidi ukiendelea.

“Nimefika hapa leo kwa maelekezo ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amenielekeza nije kuwakabidhi leseni zenu za wachimbaji wadogo mlizomuomba na kuwa mnakwenda kuwekeza mitaji mikubwa sasa na kuongeza mzunguko wa fedha zitokanazo na shughuli za madini kufikia zaidi ya Trilioni moja,” amesema Mavunde.

Waziri Mavunde amesema pamoja na kwamba wachimbaji hao wanachimba kwa kubahatisha, kwa kipindi cha Julai, 2023 hadi Februari, 2024 wamezalisha kilo 729.6 zenye thamani ya shilingi bilioni 101.06 na kueleza kuwa anaamini kwa kupatiwa leseni hizo hawatomwongusha Mhe. Rais kwa kuongeza uzalishaji na mapato yatokanayo na madini.

Pia, Mhe. Mavunde amebainisha kuwa, Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuhakikisha inaondoa ujanja ujanja kwenye shughuli za uchimbaji madini ambapo tayari imekwishatangaza kufuta jumla ya leseni na maombi 2648 ambazo hazijaendelezwa na zimekiuka taratibu za umiliki wa leseni za madini.

Mhe. Mavunde ameendelea kusisitiza kwamba hatasita kuendelea kufuta leseni kwa wamiliki wote ambao wanakiuka taratibu za umiliki wa leseni za madini, ambapo ametoa mfano wa uwepo wa baadhi ya watu 6 tu wanaomiliki leseni zenye ukubwa wa zaidi ya ekari milioni 13.

Vilevile, Waziri Mavunde ameahidi kuwa baada ya Serikali kuwakabidhi wachimbaji wadogo Leseni ndogo za uchimbaji, inakwenda kuweka utaratibu mzuri wa kukabidhi taarifa za utafiti wa eneo hilo kwa kikundi cha SGF na hivyo kumuagiza Mkuu wa Wilaya kuhakikisha kwamba leseni tatu namba 10, 11 na 12 ziwe wazi ndani ya siku 14 ili kupisha maeneo hayo kutangazwa ili kupata uwekezaji mkubwa.

Awali, akisoma risala kwa Waziri Mavunde, Mwenyekiti wa Kikundi cha Wachimbaji wadogo cha Songwe Gold Family (SGF), Bw.Simon Ndaki amebainisha kwamba Kikundi chao kiliomba siku nyingi maeneo ya kuchimba na kupelekea kushindwa kuwekeza mitaji mikubwa kutokana na kukosa uhakika wa maeneo.

“Tunaahidi sasa kwamba tunakwenda kuwekeza mitaji mikubwa na kuhakikisha tunaongeza mchango zaidi wa mapato ya halmashauri na Pato la Taifa kwa ujumla,” amesema Ndaki.

Akieleza kuhusu masuala mbalimbali ya Wilaya ya Songwe, Mbunge wa Jimbo la Songwe, Mhe. Philipo Mulugo amwishukuru Serikali ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutatua changamoto hiyo iliyodumu kwa muda mrefu na kumwomba Waziri Mavunde kupeleka shukrani za wachimbaji wadogo kwa Mhe. Rais na kueleza kwamba wapo tayari kusaidia kurejesha fedha zaidi ya bilioni 72 zilizolipwa Bafex Tanzania Limited kwa uzalishaji mkubwa wa dhahabu.

Naye, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Songwe, ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Mhe. Solomon Itunda ameeleza kuwa zaidi ya asilimia 70 ya mapato ya Wilaya yanatokana na shughuli za uchimbaji madini, na kuahidi kwamba ataendelea kushirikiana na wachimbaji wadogo kuhakikisha sekta ya madini inakua zaidi Wilayani Songwe.

About the author

mzalendo