marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

Featured Kitaifa

NAIBU WAZIRI PINDA ASISITIZA MADIWANI KUWAELIMISHA WANANCHI KUHUSU MATUMIZI BORA YA ARDHI.

Written by Alex Sonna

Naibu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya makazi Mhe. Geofrey Pinda, amewataka Madiwani kutumia nafasi zao kukutana na wananchi kuwaelimisha juu ya matumizi ya ardhi ili kuepusha migogoro ambayo imekuwa ikitokea mara kwa mara.

Amesema hayo leo machi 23, 2023 wakati akizungumza katika mkutano wa wadau kujadili utekelezaji mradi wa uboreshaji usalama wa milki za ardhi uliofanyika kwenye viwanja vya chuo cha maendelo ya wananchi wilayani Kilwa Mkoani Lindi.

Naibu waziri Pinda ameeleza kuwa wananchi wanawakilishwa na viongozi wao waliowachagua katika nafasi mbalimbali kuanzia katika ngazi ya vijiji, hivyo kunapotokea jambo linalohitaji elimu basi Ni vyema viongozi waliopo kuhakikisha kuwa wanatoa elimu ya mambo ya ardhi.

Akizungumzia juu ya urasimishaji wa ardhi, Naibu Waziri amewaahidi wananchi kuwa serikali imejipanga kuhakikisha kuwa sera na sheria za ardhi Nchini zinafuatwa na kusimamiwa vizuri, ndio maana imekuja na mpango wa kuhakikisha kuwa ardhi ya vijiji inapimwa.

“Wilaya ya Kilwa ni moja ya wilaya ambazo zina ongezeko kubwa la watu ambalo limeenda sambamba na ukuaji wa vijiji hivyo serikali kupitia Rais Dkt.Samia ameandaa mpango madhubuti kuendeleza ardhi nchini”

“Nimesikia maoni ya wananchi na viongozi mbalimbali wakiwepo wabunge wenu, madiwani na watendaji mbalimbalimbali wakiongea kuhusu migogoro ya ardhi, hivyo wizara tukaiingiza kilwa kwenye mpango na vijiji 69 vitahusika kwenye mradi huu katika utaratibu huu wa awali” ameeza Nibu Waziri Pinda

Naibu waziri pia amewataka watendaji wa Wizara ya Ardhi kwa ngazi ya Mkoa na Wilaya, kufanya kazi za upimaji na umilikishaji wa ardhi kwa kuzingatia haki kwa wananchi wote bila kuangangalia hadhii au nafasi zao katika jamii.

“Msimuhudumia mtu kwa hadhi yake, wahudumieni watu kulingana na haki zao ili kufanya zoezi hili kuwa la heshima kwa Serikali, Taifa na wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hiki ndcho ambaco hata waziri wangu Jery Slaa amekuwa akilisisitiza wakati wote”

Awali akitoa salaam za wanachi kwa Naibu waziri, Mkuu wa wilaya ya kilwa Bw Abdallah Mohamd Nyundo, amesema jamii inakabiliwa na changamoyo ya kutotambua maeneo gani ni ya wakulima, yapi ya wafugaji hali ambayo imekuwa ikichangia sana migogoro ya ardhi na kuleta madhara kwaa wananchi.

“Ni matumaini yangu kuwa ujumbe huu wa Naibu waziri utachukua maoni yetu na kuwayafanyia kazi kupitia mradi huu ambao ni muhimu sana kwa mustakabali wa ukuaji na ustawi wa wananchi wanaoishi katika mano mbalimbali ya wilaya hii”

“Tunayo changamoyo ya kutotambua maeneo gani ni ya wakulima, yapi ya wafugaji hali ambayo imekuwa ikichangia sana migogoro ya ardhi na ni matumaini yangu kuwa ujumbe huu wa Naibu waziri utachukua maoni yetu na kuwayafanyia kazi kupitia mradi” ameeleza Mkuu wa Wilaya.

Kwa upande wao daadhi ya wananchi wanaoishi katika vijiji mbalimbali vya wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi, wamepongeza zoezi la urasimishaji wa ardhi unaoendelea Wilayani humo, kupitia mradi wa kubosha usalama wa milki za ardhi unaotekelezwa na Wizaa ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Bi.Asia Mohamed kutoka kijiji cha Nanjilinji A amesema “mradi huu utasaidia utazilinda haki za wananchi waliopo, waliopita na hata wajao, tunampongeza sana Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuiruhusu Wizara ya ardhi kutekeleza mradi huu”

“Wilaya ya Kilwa ni moja ya maeneo ambayo yalikuwa na migogoro mingi ya ardhi hasa mipaka ya vijiji lakini kupitia mpango huu, tumeshaanza kuona manufaa kwa sababu tayari wataalam wameshaanza kupata elimu na tumeielewa sana” amesisitiza Mzee Kimbwembwe.

Kwa upande wake Athuman Hassan Kingoropi mkazi wa kijiji chapita Wilayani Kilwa, ameipongeza wizara ya Ardhi kwa utekelezaji wa mradi huo wa uboreshaji usalama wa milki za ardhi akisema kuwa utasaidia kupanga maeneo ya wananchi kufanyia shughuli zao.

“Kupitia mradi huu sasa wananchi tunapata maeneo ya kilimo, ufugaji, makazi, shule, makaburi na vitu vingine vingi, haya mambo sisi hatukuyazoea lakini sasa yanatekelezeka kwenye maeneo yetu na sisi tunatoa ushirikiano kwa 100%” amesema Kingoropi

About the author

Alex Sonna