slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

sekabet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

rinabet, rinabet giriş

aresbet, aresbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

jojobet

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet güncel giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

onlyfans leaks

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

onlyfans leak

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

bets10

bets10

trust score weak 3

jojobet giriş

ikimisli giriş

slot siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

casibom

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

grandpashabet

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

tarafbet

güvenilir slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

betgar, betgar giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

casibom

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

meritking

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

pusulabet

matbet

vdcasino giriş

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis

Hacklink panel

Casibom

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

betist

Featured Kitaifa

DKT. BITEKO AAGIZA WIZARA YA MAJI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA MAJI SAFI NA SALAMA

Written by mzalendo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameitaka Wizara ya Maji kuhakikisha watanzania wanapata huduma ya maji safi na salama ili kuendana na thamani halisi ya miundombinu ya maji iliyojengwa na Serikali kwa gharama kubwa ili kuwapa huduma wananchi kwa ufanisi.

Dkt. Biteko ametoa agizo hilo Jijini Dodoma tarehe 22 Machi, 2024 wakati akifunga Maadhimisho ya Wiki ya Maji Tanzania ambayo yameenda pamoja na Siku ya Maji Duniani.

Ameagiza Wizara na Mamlaka za Maji zijielekeze kwenye ujenzi wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo mabwawa ya kuvuna maji ya mvua katika maeneo yasiyo na vyanzo vya maji vya uhakika na kusisitiza kuwa suala hilo lisisubiri rasilimali fedha ya kutosha bali waanze kutekeleza na rasimali zitaendekea kuja wakati utekelezaji umeshaanza.

Vilevile ametoa wito kwa mwananchi mmoja mmoja, Taasisi za Serikali, Binafsi, Madhehebu ya Dini na makundi mengine kuweka miundombinu ya kuvuna maji ya Mvua kwenye nyumba zao ili kuimarisha upatikanaji wa maji kutokana na mvua zinavyopatikana.

Akizungumzia hifadhi na utunzaji wa mazingira, Dkt. Biteko amewataka Wananchi wajitokeze kutoa maoni katika mkakati wa hifadhi vyanzo vya maji wakati huu Serikali ikiendelea na utayarishaji wa Dira ya Taifa ya Mwaka 2050 ili suala la hifadhi za vyanzo vya maji lipewe kipaumbe kinachostahili.

Aidha ameagiza Bodi za Maji na Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuongeza jitihada za kudhibiti uchafuzi wa mazingira na hata wawekezaji wanapokuja nchini lazima wazingatie utunzaji wa mazingira ili yasiathirike.

Katika hatua nyingine, Dkt. Biteko amezishukuru Sekta Binafsi na Wadau wa Maendeleo kwa ushirikiano wanaoutoa kwa Serikali katika Sekta ya Maji na kuwaasa kuendelea kukuza ushirikiano ili kuwasambazia wananchi maji kwani bado kuna kazi kubwa ya kuwapelekea wananchi Maji.

Vilevile ameitaka Wizara ya Maji kusimamia kikamilifu maeneo yote yenye vyanzo vya maji, kujengea uwezo wataalam wake katika kuandaa maandiko ya maji yatakayowezesha kupata fedha zaidi za mabadiliko ya tabia nchi zitakazosaidia kupata fedha za utunzaji wa mazingira na pia Sekta zinazohusiana na maji zishirikikine kwa karibu katika usimamizi na si kila mtu kuwa na sheria yake hali inayoleta ukinzani katika utendaji wa kazi.

Kuhusu mpango uliopo wa uhifadhi wa vidakio vya maji ambao gharama yake ya utekelezaji ni shilingi bilioni 875 ambazo zinapaswa kutoka Sekta mbalimbali, Dkt. Biteko ameagiza Wizara ya Maji kutenga fedha kwenye bajeti yake ili kuhakikisha kuwa mpango huo unatekelezeka.

Amesema vyanzo vingi vya maji vimeharibika na vingine vinaendelea kuvamiwa hivyo Siku ya kilele cha Wiki ya Maji kila mtu ajitathmini na kuchukua hatua kuhusu juhudi zinazowekwa kwenye utunzaji wa mazingira ili vizazi vinavyokuja vikute mazingira yaliyo salama.

“ Tafiti za maji za mwaka 2019 zinaonesha kuwa, kiasi cha maji kinachopatikana kwa mtu kwa mwaka kinaendelea kupungua siku hadi siku kutoka mita za ujazo 12,600 katika kipindi cha Uhuru hadi mita za ujzo 2,105 kwa mwaka 2022 hivyo tusipochukua hatua na jitihada za makusudi hali hii itaendelea kushuka kila mwaka kwa sababu maji yanaendelea kupungua katika vyanzo,” Amesema Dkt. Biteko

Dkt. Biteko ametoa pongezi kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa kinara wa kumtua mwanamke ndoo kichwani kwa kutenga fedha, kutoa maelekezo na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maji nchini.

Awali, Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso alisema kuwa miaka ya nyuma Wizara hiyo ilikuwa ya kero na lawama lakini kutoka Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani ameibadilisha na kuendelea kumtua mama ndoo kichwani na pia ametekeleza miradi mingi ambayo huko nyuma ilikwama.

Amesema katika Vijiji 12, 318 tayari vijiji 9,737 vimesambaziwa maji ambapo amewataka wataalam katika Wizara hiyo kutozoea shida za Wananchi hivyo popote pale ambapo maji yanahitajika basi wananchi wapate maji ikiwemo kuchimba visima vitakavyowasaidia wananchi kupata maji.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria Maadhimisho hayo ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhe. Selemani Jafo na Naibu Waziri wa Maji, Maryprisca Mahundi, Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Joseph Kilangi.

About the author

mzalendo